The fact Ngweir is dead, haya mengine ni mapambio tu na kushrehesha, sidhani kama Watanzania tuna kazi au tunahitaji report za chanzo cha kifo.
Ingekuwa ni hivyo mauwaji ya kitu chenye ncha kali yasingekuwepo hapa kwetu.
Nakuambia.....!FP hebu njoo huku rafiki. Unakumbuka nilihoji kuhusu authenticity ya hiyo ripoti?
Common sense yangu iligoma kukubali haraka haraka maana, kwanza, ni mapema mno kwa toxicology report kutoka haraka namna hiyo. Pili, hakukuwa na link yoyote kwenye hiyo taarifa ambayo inathibitisha kwamba iliandikwa na huyo daktari. Tatu, hakukuwa na contact info zozote kwenye hiyo taarifa.
Ndo hapo radar zangu zikaanza kubeep. Sasa wasemaje rafiki? Haya mambo ya taarifa za kwenye mitandao ni ya kuyachukulia kwa makini sana la sivyo kuingia mkenge ni rahisi sana.
Bofya hapa uone uchambuzi wa wengine kuhusiana na hiyo so called taarifa.
most us guessed the same though the real real report has not been release yet ...but I dont think it 'll be that much different from our thoughts.. anyways R.I.P Ngwair.
Why do you think it wont be different? Do you know the source? Were you there or you hav heard from someone credible there? I think very few knows the truth by now.
Magazeti ya leo yamenukuu hiyo taarifa kama ilivyo eti ndo sababu ya kifo cha Mangwea. Kama ni kweli hyo taarifa ni ya uongo basi magazeti yetu kweli hayana weledi hata karesechi kadogo tuu kuhusu uhakiki wa taarifa hawana.