mkereketwamkereketwa
Member
- May 7, 2012
- 21
- 4
Hizi reshuffle udom zinatisha kwakweli, kuna watu wanahamishwa kila leo na wengine wapo tuu...ndio kusema wanaohamishwa sana wanaboronga au???au ndo wanaompinga huyo mbilikimo wenu tehe tehe tehe...jamani. Na huko social huyo aziza ndio nani au mnaogopa kwakuwa ...tufanye kazi acheni kuchongeana. Angle , mwalongo, mwanana kazi hamjui na tabia zenu ni mbwaya mbona hamuhamishi au ndo vibaraka wa "zakayo"? Haya bwana vc amka uendeshe chuo chako la sivyo andunje atakiua lol.....mliohamishwa wooooooooooooooooote iwe kwa majungu, kwa heri kwa unafiki nawapa bigup kwakuwa ni wazalendo hamulei ujinda. Kwa mnaopata fedha akina kusaja, gloria, aziza, mwandege na wenzio mjiandae 2015 kwani hakika rais ataondoka na mandondocha yake yyyyyyyyyyyooote.