Reshuffles UDOM zinatisha

Reshuffles UDOM zinatisha

Hahahahhaha,mama mkwe nimeshamjua pia bwana.Ila ni noma,si huyuhuyu alikuwa Swahiba wa mtu anayemuita "Zakayo" leo??,Mhhhhhh maisha bwana.Nahisi angekuja aombe msamaha tusije tukamtaja bure hapa.Au anataka naye kuw mtu wa UN???

Hapo UDOM wapo wengi wa aina yake. Yupo na mkuda mwingine ana roho mbaya kama sumu ya nyuklia, bora ukutane na cobra. Akipewa kamadaraka kidogo ananyanyasa wenziwe. Kapigwa chini anajidai kuleta majungu kwenye mitandao. Hao ni maswahiba na huyo anayejiita mkereketwamkereketwa. Ila nataka wajijue kuwa urafiki wao ni wa mashaka. Watazidi kuumbuka tu.
 
Poleni wanadodoma. Na ile kazi ya islamazation nayo imeisha?maana hiko nasikia ni uislamu mtupu! hasa mambo ya ajira.[/Q

Watanzania na hoja za udini lol!!

Watanzania kwa kupenda kusikia!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kuhusu Jihad/crusade UDOM siwezi kuyasemea

Ila nakushauri mwenye hoja atembelee mitandao ya vyuo vikuu vya umma pamoja na UDOM halafu atoe hizo data za vioungozi na dini zao.

Nashauri pia mwenye ubavu wa kupata payroll za vyuo hivyo azipitie angalau kwa majina tu ingawa inaweza kuwa si sahihi kwa 100% lakini inaweza kutoa picha ya udini uliopo.
 
Watanzania kwa kupenda kusikia!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kuhusu Jihad/crusade UDOM siwezi kuyasemea

Ila nakushauri mwenye hoja atembelee mitandao ya vyuo vikuu vya umma pamoja na UDOM halafu atoe hizo data za vioungozi na dini zao.

Nashauri pia mwenye ubavu wa kupata payroll za vyuo hivyo azipitie angalau kwa majina tu ingawa inaweza kuwa si sahihi kwa 100% lakini inaweza kutoa picha ya udini uliopo.

Udini siyo idadi but practice kama vile kutoa huduma kwa kuwapendelea watu wa dini yako nk
 
Udini siyo idadi but practice kama vile kutoa huduma kwa kuwapendelea watu wa dini yako nk

Kaka jamaa kadai upendeleo huo upo katika ajira na admission za wanafunzi kupata ukweli data zinapatikana kwenye payroll ana list ya wanafunzi waliopo hapo hata kwa majina tu ingawa kwa sasa majina mengine hayaashirii dini ya mtu wapo akina John Michael nk waislam na akina Asha, Rukia, Juma, Hassan Wakristu.
 
Haja hoja yoyote. Huyu bwana anajulikana kwa majungu. Kuhamishwa kutoka idara moja kwenda nyingine kuna ajabu gani. Taasisi gani isiyohamisha watu duniani. Pia mtu kukaa sehemu moja kuna sababu nyingi zikiwemo utendaji mbaya au mzuri. Yote yanategemea matashi ya mwajiri.

Hivi hawa watu wa UDOM hawana kazi au? kila siku UDOM, UDOM tumewachoka bwana na majungu yenu. Huyu aliyeandika anajulikana sana wala si mwanafunzi kama wengine mnavyodhani ni mfanyakazi mwendeshaji tena yeye wala hajahamishwa ila tu ana yake binafsi.

Wewe huoni haya unatukana mabosi wako wanaokuweka mjini. Umesahau ulipokuwa unasotea kibarua? Kila siku ofisini kwa jamaa kuwaomba wakusaidie maombi yako yakubaliwe. Mpaka kwa sangoma umefika kumuomba ati akusaidie kupata kazi. Umepata sasa unaichezea. hoo nimehamishwa, sema umehamishiwa wapi? Wacha majungu bwana usipotoshe umma kwa ubinafsi wako.

Wanaoipenda nchi yao wanachapa kazi wewe endelea na majungu yako.

Jamani wewe unayejiita Mamamkwe unaposhirikiana na mwajriwa wako kupambana na waajiriwa wengine unakosea sana,we ni mama mtu mzima sana kujiingiza kwenye marumbano na wafanyakazi,na kwa upande mwingine kuwatumia wafanyakazi wengine kama huyo anayejiita Nyakashenyi unaowadanganya eti ni rafiki zako unakosea sana.We K....aaa samahani ,Nyakashenyi huyo mama jifanye ni rafiki yako halafu tutaona utakachokipata tofauti na watu wengine.Nyakashenyi we ni mwalimu unaingiliaje mambo ya wafanyakazi waendeshaji watu wakianza kuwaandama wadini mnaanza kutafuta huruma kwa watu,kaka kasome PhD achana na mambo ya kupambana na watu.Mnajidai mnamjua mtoa mada mnadhani ninyi watu hawawajui?wasiowajua ni walioko nje ya UDOM,na kwa taarifa yenu watu wanawacheka sana, acheni kutuaibisha.Mnajifanya eti mtamtaja mtoa mada,mtaje na mimi niwataje wote wawili hata kama mamkwe ni bosi wangu.Watu hawachangii kwa sababu wanamheshimu huyu mama, sio kwamba wanakubaliana na mawazo yake, na pengine wengine wanaogopa kufukuzwa kazi kama anavyojisifia eti amefukuza watu kazi!!!Kwa hiyo jamani mama mkwe umejipa jina lenye heshima sana jiheshimu na walioko chini yako watakuheshimu.Haya mambo yanatuchosha!!kama ukitaka kuendelea kurumbana endelea nami nitakujibu ila angalia usijivunjie heshima,maana huwa sioni sababu ya kumheshimu mtu asiyejiheshimu.Meza hicho kidonge kitakufaa jioni hii.Nyakashenyi sina muda wa kurumbana na wewe maana kinachokusumbua ni njaa,uvivu(baada ya wanafunzi kukurusha kwenye magazeti kwa kuwalazimisha kununua downloaded materials eti unaita "compendium)na kitu kingine kinachokusumbuaga siku zote, kwa hiyo kurumbana na wewe ni kupoteza muda.Endeleeni bhana ila kumbukeni Tanzania ni yetu wote.
 
Hili swala la malumbano na majungu ndo sometimes linanifanya nijifikirie mara mbili kwann nilisoma udom ..yaan hiki chuo Kama Tanzania sina jinsi Bali kusuport nnapotokea
 
Watu wengi UDOM wamekalia umbeya badala ya kufanya kazi. Waliozoeleka kwa manung'uniko na malalamiko pasipo kufanya kazi wanaeleweka kuanzia ujaji wao kazini na utendaji wao. Waislam mnatutia aibu mmeingia kazini kwa kubebwa na mfumo, kazi hamuwezi lakini mnatanguliza umbeya mbele. UDOM ni chuo cha umma tufanyeni kazi tuache majungu na kelele zisizo na maana Watanzania wanatutazameni.
 
its quite number of years ever since we heard rumors at the university of Dodoma but nothing has been taken to rescue the situation some of the workers are get chased away claiming that they are not producing to the maximum likewise other are taken out of the system because of the gossiping that are going on within the university of Dodoma
We need to reach a point where university of Dodoma stand as a center of academic excellence and not a center for political race where even those who are not expert(politicians) are being given opportunity as lecturer and leave those who are competent out of the system. For sure if such situation will remain to prevail it will reach a place where the graduate from university of Dodoma cannot compete with graduate from other universities due to incompetences they will have harvested from Udom
 
Jamani wewe unayejiita Mamamkwe unaposhirikiana na mwajriwa wako kupambana na waajiriwa wengine unakosea sana,we ni mama mtu mzima sana kujiingiza kwenye marumbano na wafanyakazi,na kwa upande mwingine kuwatumia wafanyakazi wengine kama huyo anayejiita Nyakashenyi unaowadanganya eti ni rafiki zako unakosea sana.We K....aaa samahani ,Nyakashenyi huyo mama jifanye ni rafiki yako halafu tutaona utakachokipata tofauti na watu wengine.Nyakashenyi we ni mwalimu unaingiliaje mambo ya wafanyakazi waendeshaji watu wakianza kuwaandama wadini mnaanza kutafuta huruma kwa watu,kaka kasome PhD achana na mambo ya kupambana na watu.Mnajidai mnamjua mtoa mada mnadhani ninyi watu hawawajui?wasiowajua ni walioko nje ya UDOM,na kwa taarifa yenu watu wanawacheka sana, acheni kutuaibisha.Mnajifanya eti mtamtaja mtoa mada,mtaje na mimi niwataje wote wawili hata kama mamkwe ni bosi wangu.Watu hawachangii kwa sababu wanamheshimu huyu mama, sio kwamba wanakubaliana na mawazo yake, na pengine wengine wanaogopa kufukuzwa kazi kama anavyojisifia eti amefukuza watu kazi!!!Kwa hiyo jamani mama mkwe umejipa jina lenye heshima sana jiheshimu na walioko chini yako watakuheshimu.Haya mambo yanatuchosha!!kama ukitaka kuendelea kurumbana endelea nami nitakujibu ila angalia usijivunjie heshima,maana huwa sioni sababu ya kumheshimu mtu asiyejiheshimu.Meza hicho kidonge kitakufaa jioni hii.Nyakashenyi sina muda wa kurumbana na wewe maana kinachokusumbua ni njaa,uvivu(baada ya wanafunzi kukurusha kwenye magazeti kwa kuwalazimisha kununua downloaded materials eti unaita "compendium)na kitu kingine kinachokusumbuaga siku zote, kwa hiyo kurumbana na wewe ni kupoteza muda.Endeleeni bhana ila kumbukeni Tanzania ni yetu wote.

Kaka achana na habari za kubahatisha. Bila shaka kuna watu unawadhania. Mimi ni MaMkwe na si mama mkwe kama unavyodhani.
 
Kweli UDOM ipo juu, yaani kila mtu anataka kujua habari za UDOM sikiliza dogo acha kufuatilia maisha ya watu kama una shida ya pesa sema sio kumlalamikia andunje kila mara. Tena jaribu kuandika kwa makini ili watu waelewe andunje hana kosa. Soma organization behavior utaelewa tabia mbalimbali za taasisi
 
its quite number of years ever since we heard rumors at the university of Dodoma but nothing has been taken to rescue the situation some of the workers are get chased away claiming that they are not producing to the maximum likewise other are taken out of the system because of the gossiping that are going on within the university of Dodoma
We need to reach a point where university of Dodoma stand as a center of academic excellence and not a center for political race where even those who are not expert(politicians) are being given opportunity as lecturer and leave those who are competent out of the system. For sure if such situation will remain to prevail it will reach a place where the graduate from university of Dodoma cannot compete with graduate from other universities due to incompetences they will have harvested from Udom

You are right.
 
Sikuwa nimekimbia kama mlivyodhani...na siku zote dhana ni HARAMU. Niliwacha kwanza watu wajiachie si vema ku dominate jukwaa. Wewe unajiita Mamkwe ni wazi kuwa una frustration nyingi..ulikuja UDOM kwa mengi, kwanza kwa umri wako huo hutaiwi kuingia humu hata kidogo. Na pili kwa jinsi unavyojifanya mshika dini usingelumbana na watoto wadogo. Umepoteza pesa bure kwenda kumpiga mawe shetani kumbe ulipaswa upigwe wewe mawe...mbona tukiambiwa tuchague kati ya SHETANI na WEWE tutamkumbatia shetani...manake wewe ni mzazi wake. Kazi yako kufatilia mabinti nguo wanazo vaa wewe zinakuhusu nini??? Mbona nawe ulivaa sana enzi zako na matokeo yake unayajua..leo hao waliokuzalisha unawaita wanaharamu?? Nafasi yako inakutaka uhakikishe mazingira bora ya kufanya kazi kwa watumishi. sio udini, umbea na uongo. Unachokifanya ni kujikomba kwa bosi wako badala ya kumshauri kanuni za kazi...lakini bahati mbaya unajiingiza kwa majungu. Ulipaswa ujifunze kazi maana unajua kabisa kuwa ulibebwa fani si yako..wewe umezoea kupima misitari ya desertation. Tulia acha kufatilia watu na kujifanya una uwezo wa kuandika tutakuumbua. Umasikini unakusumbua ww, kula muda huu kabla ------ hajaondoka maana hakika narudia tena ataondoka na mandondocha yake yote. JIHESHIMU uheshimiwe...
 
Kweli UDOM ipo juu, yaani kila mtu anataka kujua habari za UDOM sikiliza dogo acha kufuatilia maisha ya watu kama una shida ya pesa sema sio kumlalamikia andunje kila mara. Tena jaribu kuandika kwa makini ili watu waelewe andunje hana kosa. Soma organization behavior utaelewa tabia mbalimbali za taasisi

Wewe unaanguka kama embe bovu
 
Jamani wewe unayejiita Mamamkwe unaposhirikiana na mwajriwa wako kupambana na waajiriwa wengine unakosea sana,we ni mama mtu mzima sana kujiingiza kwenye marumbano na wafanyakazi,na kwa upande mwingine kuwatumia wafanyakazi wengine kama huyo anayejiita Nyakashenyi unaowadanganya eti ni rafiki zako unakosea sana.We K....aaa samahani ,Nyakashenyi huyo mama jifanye ni rafiki yako halafu tutaona utakachokipata tofauti na watu wengine.Nyakashenyi we ni mwalimu unaingiliaje mambo ya wafanyakazi waendeshaji watu wakianza kuwaandama wadini mnaanza kutafuta huruma kwa watu,kaka kasome PhD achana na mambo ya kupambana na watu.Mnajidai mnamjua mtoa mada mnadhani ninyi watu hawawajui?wasiowajua ni walioko nje ya UDOM,na kwa taarifa yenu watu wanawacheka sana, acheni kutuaibisha.Mnajifanya eti mtamtaja mtoa mada,mtaje na mimi niwataje wote wawili hata kama mamkwe ni bosi wangu.Watu hawachangii kwa sababu wanamheshimu huyu mama, sio kwamba wanakubaliana na mawazo yake, na pengine wengine wanaogopa kufukuzwa kazi kama anavyojisifia eti amefukuza watu kazi!!!Kwa hiyo jamani mama mkwe umejipa jina lenye heshima sana jiheshimu na walioko chini yako watakuheshimu.Haya mambo yanatuchosha!!kama ukitaka kuendelea kurumbana endelea nami nitakujibu ila angalia usijivunjie heshima,maana huwa sioni sababu ya kumheshimu mtu asiyejiheshimu.Meza hicho kidonge kitakufaa jioni hii.Nyakashenyi sina muda wa kurumbana na wewe maana kinachokusumbua ni njaa,uvivu(baada ya wanafunzi kukurusha kwenye magazeti kwa kuwalazimisha kununua downloaded materials eti unaita "compendium)na kitu kingine kinachokusumbuaga siku zote, kwa hiyo kurumbana na wewe ni kupoteza muda.Endeleeni bhana ila kumbukeni Tanzania ni yetu wote.

Nyakasheni ni kibaraka wa huko Education...hawezi kufanya PhD hana uwezo. Kazi yake kuwalaghai wanafunzi. Kuna mwenzao master imegoma GPA anajikausha nao wanajikausha wanataka aanze upya kusoma udom...tunawakumbusha mapema hakuna hiyo policy...kama ka fail...udsm basi na afungashe virago kama wengine.
 
"Hivi hawa watu wa UDOM hawana kazi au? kila siku UDOM, UDOM tumewachoka bwana na majungu yenu...Wewe huoni haya unatukana mabosi wako wanaokuweka mjini.

Kwa namna ulivyojibu, nadhani mamkwe wewe ni kiongozi na ni mtu mkubwa hapo UDOM. Pia unajua wazi hawa watu wa UDOM wanakazi za kufanya. Unapaswa uende mbali zaidi na ujiulize "kwa nini kila siku watu hao wanazungumzia UDOM?" Kama kiongozi (endapo hisia zangu ziko sahihi) unapaswa kufanya kila uwezalo kuwafanya watu hawa aidha waache kuizungumza UDOM kila siku, au waizungumzie kwa mazuri (yaani wawe positive kama inavyoonesha kwa baadhi yao)

Halafu ondokana na dhana kwamba "viongozi" au "mwajiri" au (nikitumia maneno yako) "mabosi" ndio wanaowaweka waajiriwa mjini (mathalani huyu unayemzungumzia). Hiyo ni dhana potofu kabisa na ndiyo inayoendelea kuitafuna nchi yetu. Viongozi wetu wengi wamefika mahali wakasahau kuwa "uongozi ni dhamana" wakadhani uongozi na taasisi wanazoziongoza ni mali zao au mali za familia au ukoo wao. Mathalani, UDOM sio mali ya yeyote aliye kiongozi leo. UDOM itabaki kuwepo na wote wanaiongoza leo siku moja wataondoka na kubaki historia kwamba fulani na fulani ndio walikuwa viongozi wake waanzilishi. Kila mtanzania (aliye na vigezo na sifa zinazotakiwa kuwa kiongozi wa taasisi kama hiyo ktk ngazi yoyote) anaweza kuwa kiongoza.

Watanzania tukumbuke enzi za mwalimu haya hayakuwepo. Dhana kwamba "bosi" ndiye anayemuweka mwajiriwa wake mjini inaleta hisia kwamba huyo mwajiriwa hakuwa na sifa na vigezo stahiki vya kuwa mwajiriwa katika nafasi husina. Hapo ndipo watu wataanza kujenga hoja za "watu kuajiriwa kwa misingi ya udini, udugu, urafiki, siasa, ukanda n.k, na sio kwa misingi ya sifa na uwezo wa mtu. Siwezi kuwa nimeajiriwa kwa sifa, kuitumikia taasisi katika nchi yangu na watanzania wenzangu halafu ukasema MWAJIRI ndiye anayeniweka mjini...SI KWELI...Huo utakuwa ni upotoshaji mkubwa. Kuajiriwa ni haki ya kila mtanzania ili mradi ana sifa zinazotakiwa. Kufanya kazi katika nchi yangu ni wajibu wa kila raia. Kwa hiyo mamkwe nadhani hapo unaongelea swala la "Haki na Wajibu", SIO kuwekana mjini.

Watanzania tukifika hatua tukalitambua hilo, tutaheshimiana kazini bila kujali mkubwa wala mdogo. Kwa sababu, hata ivo ukweli ni kwamba swala la kuwa kiongozi wakati mwingine ni swala la mda tu. Huyu anayedaiwa kuwekwa mjini na anayeitwa BOSI, si ajabu kesho akawa ndiye BOSI tena.

Rai yangu kwako mamkwe ni kwamba unapaswa kuyatafakari yanayosemwa juu ya UDOM kwa jicho la kiuongozi. Tena uongozi wa taasisi ambayo hata wewe ni mpitaji tuu. Hivyo njia bora ingekuwa kwanza ni kujiridhisha kwamba yanayosemwa hayana ukweli wowote, na usaidie katika kuutoa ukweli huo ili uondoe hisia zao ambazo zitaendelea kuwa za kweli miongozi mwa wenye hisia hizo hadi pale wewe kama kiongozi kwa kushirikiana na viongozi wenzako mtabainisha ukweli wenyewe SIO kwa MANENO tu, na kwa VITENDO pia.
 
Mamkwe inaonekana una hasira na huyo mkereketwa kupindukia. Lakini Mkereketwa ana mapoint not 2b ignored kam hili la Aziza ambae sasa ni janga la udom kwa upande wetu sisi wanafunzi wa social. Tunalalmika kila uchao lakini hakuna mabadiliko. udom inahitaji kuangaliwa upya
 
Chuo cha kata hiki kinajitangaza.
 
Ikifika tarehe 30 mnaulizia mshahara!!!!!!!!!!!!!!??nyie watu wa udom??kila mtu mtaalam wa management!!!!!!!!!1
 
Back
Top Bottom