‘Respect us!’ President Kenyatta warns foreign countries against meddling in Kenyan affairs

‘Respect us!’ President Kenyatta warns foreign countries against meddling in Kenyan affairs

Hivi sasa ndio 'mabeberu' huwa wanapewa zao za uso. Respect us! Sio kwa kupanick na kukodoa mimacho ukifoka foka na kusema kwamba mlishinda sijui vita vya Kagera.
Mkuu, kwani shida ni nini? Kitu gani hao "mabeberu" wamefanya hadi UK akatokwa na povu namna hii?
Wamemwambia nini? Au wamemchoka na axis power inakuwa shifted to the south so kupanic na desperation kama yote?
 
Hivi sasa ndio 'mabeberu' huwa wanapewa zao za uso. Respect us! Sio kwa kupanick na kukodoa mimacho ukifoka foka na kusema kwamba mlishinda sijui vita vya Kagera.
Hahaha huku wwnzako mabeneru sasa iv wame fyata mkia wana u ga mkono na wengi wameanza na kujifunza kiswahili kwa speed. Iyo kauli ya UK ana wadanganya tu nyie mabweze wake

Ukumbuke Macron akinuna hapo project yenu ya barabara ile inaoota mbawa
Na mlivyo na madeni sasa ....embu kwanza kaweke signature kwa BBI
 
Hebu usifananishe nchi kubwa na kanchi kadogo. Idadi ya watanzania ni millioni 60 na ushee.
Angalia worldometer kama unabisha.

mkuu hata tukiwa milioni 70 lakini bado najiuliza wakenya mil 50 wanaishije kwenye nchi ndogo vile ? wakati sisi tu li nchi lote hili lakini bado tunabanana
 
Kwa hili nakinzana na rais wetu, Afrika imejaa madikteta na kusababisha umaskini na ukata wa ajabu, chaguzi zikifanyika wanasindika kura na kubaka demokrasia na haki za watu. Hapana rais wangu lazima tusemwe na mabeberu, la sivyo tutaangamizwa, hebu angalia majirani wote waliotuzunguka, wote kote ni kilio, umaskini na kiza tupu.
 
President Uhuru Kenyatta has slammed foreign countries over what he termed as trying to interfere and direct Kenya on how to run its affairs.

The Head of State said while Kenya appreciates support and collaboration with other nations, the country will not be dictated to by anyone else.

“We thank the officers of the United Nations and all development partners who have been close collaborators but at this juncture I must make it clear that while we appreciate your support and look forward to your collaboration you must remember that Kenya has its owners, and its owners are 50 million Kenyans,” said President Kenyatta.

He added: “I ask you to refrain from trying to direct us in which way we should go. We are clear on where we want to go. We ask you to join us, to support us in that endeavor. But do not interfere because we shall not allow for you to dictate to us which direction that should be. Nawaomba kwa heshima kubwa mutushemu ndio tuwaheshimu. Kila mtu ako na shida zake even they have their own problems to resolve huko kwao. I say that in good faith. I shall not allow that and we shall not allows that as a country.”

The President was speaking as he officially commissioned the ground breaking of G47 Ugatuzi towers in Nairobi that will host county governments offices.

The head of state also launched county governments COVID-19 social economic re-engineering strategy covering 2020 to 2023 that seeks to help the country bounce back from the economic vagaries of Covid-19 that has seen economic growth slump to 0.6 percent in 2020 from 5.4 percent in 2019.
Anaiga baada ya kumsikia muheshimiwa Kabudi
 
Jombaa, kati ya Kenya na Tz ni nchi gani ndio inapokea misaada kwa wingi? Tena misaada ya aibu ya kufadhili sekta nyeti na basic kama Elimu na Afya? Huoni aibu kwamba mabeberu wanawasomesha watoto wa Dona Kantrii na kuwalipa mishahara walimu, manesi na madaktari?
Tanzania , maana Tanzania inapewa msaada mpaka wa unga , mchele hata kujilisha haiwezi
 
Hivi sasa ndio 'mabeberu' huwa wanapewa zao za uso. Respect us! Sio kwa kupanick na kukodoa mimacho ukifoka foka na kusema kwamba mlishinda sijui vita vya Kagera.

Aha haaa,
Anaongea kinyonge, eti, mthituingilie mambo yetu ya ndani, wakati mabeberu tayari wako chumbani wanajivinjari.
😁😄😃
 
Jombaa, kati ya Kenya na Tz ni nchi gani ndio inapokea misaada kwa wingi? Tena misaada ya aibu ya kufadhili sekta nyeti na basic kama Elimu na Afya? Huoni aibu kwamba mabeberu wanawasomesha watoto wa Dona Kantrii na kuwalipa mishahara walimu, manesi na madaktari?

😃😀😁
Umesahau China na waarabu walivyo leta chakula cha wakenya wanaolala njaa kwenye paper based ea economic giant.
 
kumbe wakenya wapo milioni 50, nilisikia na watanzania ni idadi hiyo sasa najiuliza wakenya wengi hivo wanaishi vipi kwenye hiyo nchi na ni ndogo

Swali la kwanza lilikuja kichwani kwangu pia, nikaanza kuhisi labda jogorafia yangu imekaa vibaya naifananisha Kenya na Rwanda pale kwenye ramani.
 
Sasa kwa nini unasema "ulisikia" watanzania ni millioni 50. Wewe ulisikia wapi? Acha kupotosha.

Takwimu halali ni zile zinatolewa na mamlaka maalumu baada ya sensa ya kitaifa. Mara ya mwisho ilifanyika 2012 ilikua 44.9 million.
 
Back
Top Bottom