- Thread starter
- #21
Wafanyabiashara wapambanaji huko daslam, ni maarufu mtandao wa instaNdo akina nani hao huko daslam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafanyabiashara wapambanaji huko daslam, ni maarufu mtandao wa instaNdo akina nani hao huko daslam
Umeona eeh....me mwanzo nlijua ni mtu mzuri mhhh kuja kuona kumbe ni sugar mamy tu wa utopoloMleviii lakini kila jumapili yupo kanisani[emoji847][emoji847]
Analelewa, wanamwita kidong'oli hahahaIla yule mwanaseria mchaga anakula maisa kweli kweli muda wote mapicha picha ...
Haya mazali mbona wengine hatuyapatagi
Celebrity wa nn?[emoji1787][emoji1787]Niko Lindi, hizi za mitaa ya daslaam, hao ni celebrity, nenda jukwaa la historian we bibi
Analelewa, wanamwita kidong'oli hahaha
hahahaha.ukipata jibu ni tagCelebrity wa nn?[emoji1787][emoji1787]
Ngoja tuwaachie wenyewe wanaowajua.Ndo akina nani hao huko daslam
Huyo baba atakuwa mpole sana..mtu anayejielewa hawezi ruhusu mke wake aingie insta live sa nne usiku kuchambana aiseeHivi wanapataga wapi wanaume wa kuwakalisha chini na kusikiliza umbeya Kama Yule kweka?
Mbona wanaume wengine hawana haya mambo?!
Ila Rest sijui Kwa nini anapenda vita namna hiyo
Haya cheza hivi..jamaa anacheza [emoji1787][emoji1787]Ila inaonekanaga anapelekeshwaga sana huyu mangi.
Haya twende kanisani...sawa mama
Haya twende tukaogelee...sawa mama
Haya twende kwenye kitchen part...sawa mama
Haya sogea hapa tupige picha...sawa mama
Sura ake inaonyesha ni mtu anayepelekeshwa sana.
Na makofi anapigwaHaya cheza hivi..jamaa anacheza [emoji1787][emoji1787]
Sasa mtu kama analelewa unategemea nn anakuwa kama mtt vile njoo unywe uji nenda kalale 😃Ila inaonekanaga anapelekeshwaga sana huyu mangi.
Haya twende kanisani...sawa mama
Haya twende tukaogelee...sawa mama
Haya twende kwenye kitchen part...sawa mama
Haya sogea hapa tupige picha...sawa mama
Sura ake inaonyesha ni mtu anayepelekeshwa sana.
Unavyotiririka unanikumbusha kwa mbaaaali warumi. (RIP)Jana huko mitandaoni palizuka ugomvi wa haja uliopelekea mwanamama Restuta Kweka aka rest BBQ kuingia live na kuwachamba mno Open Kitchen na Rachel Temu.
Kisa cha ugomvi ni biashara mpya alioianzisha ya kuuza dawa za kupunguza uzito kwa haraka. Upendo wa open anafanya mazoezi akiamini atapunguza uzito kwa mazoezi lakini it seems kuna wakala wa rest alimfata dm kumshawishi atumie hizo products.
Sasa Rest kachokozwa na Rachel kakasirikaaaa anamchamba mpaka Pendo wa Open Kitchen na anamnanga eti ana mali za urithi.
Yani dunia hadaaa, hivi Rest amesahau mara hii majuzi tu alikua analialia apate urithi kutoka kwa mzazi mwenzie Jonii. Rest kama unasoma hapa usijiingize kwenye bifu za ugomvi, utapoteaaa kwenye raman
Sawa Mungu!Mleviii lakini kila jumapili yupo kanisani[emoji847][emoji847]
Swali zuri sanaKwani nani alianza kumchokonoa mwenzake?
Bure kabisa yule. Eti anamsema mwenzake ana mali za urithi wakati yeye anataka urithi kwa baba mtoto wake, anasema mwenzake nyumba yake mbaya ina makabati ya mpingo na korido, wakati yeye kapanga na mapazia miaka nenda kabadilisha juzi hahaha. Jikoni pako rafuu nafuu ya mwenzie mwenye makabati ya mpingo. Anamwita mwenzie nguruwe mweusi hajui nguruwe mweusi ni WA pori na nyama yake ndo tamuu, yeye nguruwe mweupe akiitwa ndo anaona wamembully, nyambafu huyu rest.Resty nilikua namheshim kumbe nimegundua kichwani hazimo
Manake ameanza kumbully mwenzie amfananishe na nguruwe wakati yeye watu walipomwambia mnene hapendezi alikua anawablock
Kaenda mbali adi kumwambia mwenzie sio mrembo kisa mweusi wakati vipodozi anavyouza anatumia adi models weusi!
Yani kumbe yule ni bure kabisa