Rest BBQ asipoangalia atapotea kwenye ramani ya biashara za mtandao

Rest BBQ asipoangalia atapotea kwenye ramani ya biashara za mtandao

Jiko wazi mkorofi yule...na Rechel wake...

Rest wamuacha kabisa... halinaga shida na mtu... ni lizuri kama roho yake..
Yaani wanapenda kumchokoa chokoa Sana Kama Rachel temu ni mgomvi mnooo!!!
Sijui hata Ana shida gani na resty ,wivu tu asijilinganishe na restuta hata kidogo yeye anaishi kwa hisani ya mzimbabwe huko Kenya Ila resty ni self made haijalishi njia gani amepitia hakuna tajiri msafi ktk uso wa ardhi,kutwaa kumsimanga Mara hivi ,Mara vile,anakaa kimya wangejua alikotokea na pale alipofikia rest Ni mlokole na ametulia Sanaa!
Wamuache atafute riziki yake ya halali nyuma ya pazia hatujui
Afu Upendo ni very insecure hajiamini hata kidogo Yule dada,akubali tu maumbile yake na Mungu alishampa Hakuna Cha kubadilika
Yale mavazi anayovaaga afu watu wanamsifiaga[emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]jamani watu wanaafiki mweeeeehh!!
Mbona akivaa nguo za staha anapendeza Sana!
Amuche Resty mrembo wetu ,unene wa rest usilinganishe na Open jamani kaahh[emoji3526][emoji3526][emoji1493][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Jiko wazi.... alijisikia tu kukumbukwa na Wananzengo....
Mi staki kuamini aliamua tu kumkorofisha restg anamuonea wivu tuu[emoji26][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!

Wamuache restitua buraa...ndoa imemtuliza Sana Namuombea Mungu atulie vile vile mama Hayley

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Yaani wanapenda kumchokoa chokoa Sana Kama Rachel temu ni mgomvi mnooo!!!
Sijui hata Ana shida gani na resty ,wivu tu asijilinganishe na restuta hata kidogo yeye anaishi kwa hisani ya mzimbabwe huko Kenya Ila resty ni self made haijalishi njia gani amepitia hakuna tajiri msafi ktk uso wa ardhi,kutwaa kumsimanga Mara hivi ,Mara vile,anakaa kimya wangejua alikotokea na pale alipofikia rest Ni mlokole na ametulia Sanaa!
Wamuache atafute riziki yake ya halali nyuma ya pazia hatujui
Afu Upendo ni very insecure hajiamini hata kidogo Yule dada,akubali tu maumbile yake na Mungu alishampa Hakuna Cha kubadilika
Yale mavazi anayovaaga afu watu wanamsifiaga[emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]jamani watu wanaafiki mweeeeehh!!
Mbona akivaa nguo za staha anapendeza Sana!
Amuche Resty mrembo wetu ,unene wa rest usilinganishe na Open jamani kaahh[emoji3526][emoji3526][emoji1493][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama Rachel huwa namuona kubwa jinga...

Umri wake ni wa kuanza kutukanana na Rest jamani? Amehangaika Dunia nzima hakuna alichopata... Leo yupo busy kutukanana na Rest... Rest mwenyewe kamzidi mbali mno..Kwanza huwa nafurahi sana vile Rest anavyomkalia kimya...Rachel ndiyo anapandwa hasira sasa... na bado...

Mimi binafsi ki ukweli Rest nampenda...nampenda tu... hana baya. Kuna wakati tuliwahi kwenda Rest Park wakati yupo Mbezi chini... Nyie... yule Dada ni Mkarimu mno.. Hana ubaguzi wa wateja wake.. kuangalia huyu ni Celebrity au siyo... ni unakuwa treated vizuri hadi unapenda...

Acha aji'enjoy aisee... Hela ni hela tu.. hakuna hela safi wala chafu..
 
Mi staki kuamini aliamua tu kumkorofisha restg anamuonea wivu tuu[emoji26][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!

Wamuache restitua buraa...ndoa imemtuliza Sana Namuombea Mungu atulie vile vile mama Hayley

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Upendo yuko na shida mahali..yule kiboko yake ni Sarah Terrence... kuna kipindi moto uliwaka Jiko wazi aka'surrender mwenyewe...

Rest abarikiwe sana.. Imagine analea hadi watoto wasio wake..na anawatunza vizuri tu.. kwanini Mungu asimbariki jamani...
 
Ila inaonekanaga anapelekeshwaga sana huyu mangi.

Haya twende kanisani...sawa mama

Haya twende tukaogelee...sawa mama

Haya twende kwenye kitchen part...sawa mama

Haya sogea hapa tupige picha...sawa mama

Sura ake inaonyesha ni mtu anayepelekeshwa sana.
Mmeyakosa...acheni wapeane raha
 
Kama Rachel huwa namuona kubwa jinga...

Umri wake ni wa kuanza kutukanana na Rest jamani? Amehangaika Dunia nzima hakuna alichopata... Leo yupo busy kutukanana na Rest... Rest mwenyewe kamzidi mbali mno..Kwanza huwa nafurahi sana vile Rest anavyomkalia kimya...Rachel ndiyo anapandwa hasira sasa... na bado...

Mimi binafsi ki ukweli Rest nampenda...nampenda tu... hana baya. Kuna wakati tuliwahi kwenda Rest Park wakati yupo Mbezi chini... Nyie... yule Dada ni Mkarimu mno.. Hana ubaguzi wa wateja wake.. kuangalia huyu ni Celebrity au siyo... ni unakuwa treated vizuri hadi unapenda...

Acha aji'enjoy aisee... Hela ni hela tu.. hakuna hela safi wala chafu..
Resty wa 1988 , Rachel anaenda 40 hukoo...!!!amuache Sana tu dada wa watu Wala hawafanani!
Rachel stress zimemzidi Yule Hana lolote,wivu tu kajituma mdada wa watu kufanikiwa leo wanamuonea wivu tu!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Resty wa 1988 , Rachel anaenda 40 hukoo...!!!amuache Sana tu dada wa watu Wala hawafanani!
Rachel stress zimemzidi Yule Hana lolote,wivu tu kajituma mdada wa watu kufanikiwa leo wanamuonea wivu tu!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Si ndiyo hapo....
Anaacha kufanya ligi na rika lake anahangaika na Rest....

Rest hata asipofanya biashara zake hizo.... Ana uhakika wa kula Kodi ya nyumba pale Usafini...
 
Si ndiyo hapo....
Anaacha kufanya ligi na rika lake anahangaika na Rest....

Rest hata asipofanya biashara zake hizo.... Ana uhakika wa kula Kodi ya nyumba pale Usafini...
lakini baba mtoto si ametoka jela?
 
Upendo yuko na shida mahali..yule kiboko yake ni Sarah Terrence... kuna kipindi moto uliwaka Jiko wazi aka'surrender mwenyewe...

Rest abarikiwe sana.. Imagine analea hadi watoto wasio wake..na anawatunza vizuri tu.. kwanini Mungu asimbariki jamani...
Ilikuwaje tena na Sarah? Nampendaga sana, ni mzuri mpaka roho yake, ukila terrace unaenjoy
 
Si ndiyo hapo....
Anaacha kufanya ligi na rika lake anahangaika na Rest....

Rest hata asipofanya biashara zake hizo.... Ana uhakika wa kula Kodi ya nyumba pale Usafini...
Nyumba ya usafini ilikuwa ya john na ilishauzwa kitambo
 
Back
Top Bottom