Rest In Peace Kizzo Gunz

Friends and relatives get bent out of shape hearing the late Frank’s memory being denigrated for wearing earings. Frank himself wouldn’t give a hoot if he heard them. He went to the US in the 90’s and when he came back he might have met such blowback to the adopted fashion culture. But he was never fazed by the backlash, never took the jewelry off and never shied away from mixing it up in the thick of social circles.

He was always impeccably presentable but never stuck up, always willing to lend a hand when he could. He will be forever remembered. May he rest in eternal peace.
 
Naona hupendi ujinga umewapa za uso ila wabongo hawapendi kukaa kimya hata jambo wasilolijua
 
Duh!hizi sasa sifaa NN kingereza km kichina [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Pole kwa msiba
 
Pumzika kwa amani zote Franklin aka Kizzo Gunz. Nakukumbuka enzi zile za Darhotwire na Ile forum nyingine ya Tanzania economy. Comments zako za ucheshi na zakufurahisha. Top man..
 
Uwe mbaya uwe mzuri kufa ni lazima.

Kama sisi tutakufa wewe utabaki! Utabaki mpaka lini?

Unataka uijenge dunia?

aliekufa miaka 40 na aliekufa mwaka jana wote wamekufa na wamesahaulika...Ni maisha
 
Mazoea tu. Mbona mi nimempost kote na hajawahi kunila. Alikua kwenye kundi ambalo 80% ya wadada wa mjini wameshaliwa na hilo kundi. Ndo sababu wanawake wengi wanamjua
Hilo kundi enzi tuko wanafunzi lilikua linaulizana kuna demu gani mzuri aneshtua mashule Yale makubwa makubwa wanakulia mingo mpk wanakukula so may be ni hilo au ndo aina ya makundi hayo!
 
Hilo kundi enzi tuko wanafunzi lilikua linaulizana kuna demu gani mzuri aneshtua mashule Yale makubwa makubwa wanakulia mingo mpk wanakukula so may be ni hilo au ndo aina ya makundi hayo!
Ndo kundi la aina hiyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…