Rest In Peace Kizzo Gunz

R.I.P Franklin Ndossi...Mwenyenzi Mungu ampokee mja wake na awafariji wafiwa wote
 
ni vitu vya ajabu sana.
MTU keshajilalia zake .anapambana na hali yake huko.
mnaanza kujadili heleni zake.
simtetei lakini pia tusimuhukumu.
MAREHEMU HASEMWI VIBAYA.
You are missing a point hapa! Nia ya huyo jamaa anataka kutufunza tuliobaki kuwa waangalifu na muonekano wako. Obvious ukivaa hereni tutakufikiria kuna wanaume wanakufaidi.
 
Pole sana
 
You are missing a point hapa! Nia ya huyo jamaa anataka kutufunza tuliobaki kuwa waangalifu na muonekano wako. Obvious ukivaa hereni tutakufikiria kuna wanaume wanakufaidi.
kwa hyo wamasai nao wana babuliwa?
acheni kujikuta watakatifu.
siku zote haujamsema uje kumsema MTU keshalala.?
kazi ya kuhukumu ni ya mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…