sasa hereni na gauni vyote si vitu vyakike hivyo ....mwanaume utaanzaje kuvaa vitu vya kike,ili umvutie nani sasa kama sio na wewe unataka kukunwakwa hyo ukivaa hereni tu.wewe ni shoga.?
na ukivaa gauni?
Kiswahili pls,wengine hatuna uelewa na hio lugha ukizingatia umefafanua kitaalumu tatizo lililomwondoa mshikaji na uelewa wa kutafsir lugha za kitaalamu sio wote wamejaliwa mkuuFranklin Ndosi was diagnosed with kidney failure in September 2008 with his kidneys functioning at 30%. Since then, he has been using prescribed medication until March, 2012 when he had to start dialysis and had his first kidney transplant on the 25th Oct. 2012. Unfortunately due to an infection, he found himself back in dialysis in April of 2014 leading to a second transplant which was done on the 24th Oct 2014. Sadly, due to a rejection and medical mismanagement , he is currently on dialysis once again as he tries again to reach out to family in search for another donor.
Huyu ni Shogayao au?
Ndio alikufanyia mchongo kwa dada yake wa Nyama festival pale Moshi nin?Hajawahi kabisa. Alikua mshkaji tu. Sema ningekua sio mchoyo angenikula siku nyingi sana.
Duuh, R.I.P to him kwa kwelNimeshangaa mpaka Clouds wanatangaza
Acha kashfa! Boya wwDah, kudadeki. Njemba katinga hereni masikioni!! Wanaume wa Dar bwana! Sijui wanapumuliwa kisogoni! Anyway, R.I.P.
Itakua alikua sio mtu poa kwa dada zetu,hahaha yani videmu vinalia balaaHahahahaa.
Kawapitia sana?Wadada wa mjini wote wanaombeleza Twiter...RIP
Ilikuwa anawachungulia sana wadada nini? Mbona wanamlilia hivyo?Alikua anaumwa figo mkuu. Kaka yake na Carol Ndossi wa Nyama Choma Festival.
Uptown is a place where I lay my dogs......Mimi namjua Peter Gunz tu...wana undugu?
And Lord TariqMimi namjua Peter Gunz tu...wana undugu?
Wengine hao wa kike bendera ufuata upepo.Pole sana mzigua...nimemuona akisambaa sana kweny magrp huko wsp,,haswa yenye watoto wazuri wakike
hyo sio sababu.ya kumuhukumu MTU kuwa ni shoga.s
sasa hereni na gauni vyote si vitu vyakike hivyo ....mwanaume utaanzaje kuvaa vitu vya kike,ili umvutie nani sasa kama sio na wewe unataka kukunwa
Ila kuna msemo mmoja ukiona manyoya ujue ndege kashaliwa so wanaompost waweza kukuta aliwala zaidi ya 75%. Hata uwe na lifestyle gani wadada wa mjini wanavyojidai kujikubali hawawezi kumpost ovyo tu mtuWadada wengi wanamjua sababu ya lifestyle yake na kampani