Rest In Peace Kizzo Gunz

Rest In Peace Kizzo Gunz

Better things never last ,but awkward and unpleasant creatures last longer than expected ,i dont know the secret in between,?
Mwenyezi Mungu tuondolee hiki kikombe '
 
Uzi Umekuwa Syo wa pole tena
Umekuwa uwanja wa vita

Ova
Dah na kweli... hebu punguzen jmn. Nataka kuamini hakua mtu wa hivyo bali mstaarabu katika nafasi yake. Wote hatulingani jmn. Tumuache apumzike mahali pema peponi na sie tuendelee kuomba kifo chema hasa wale ambao bado tuposafarini...

RIP KIZZO
 
Marehem alikuwa bataboy, mtoto wa kishua..Aliniacha shule A level alafu alikuwa na roho ua unabii batani.. ukitaka Red Label anakupa...Wadada vya mjini walimpenda sana sabab akiwa sehem lazma atapay bills...Sema watamlilia leo..mwaka ujao wanamsahau..Another one takes over..Ndo maisha ya mjini..R.I.P
 
acha kutetea use*ge mjinga wewe...wamasai ule ni utamaduni wao kutoboa masikio na hawatoboi kwa muundo huo ambao marehemu ametoboa....wenyewe wanatoboa matundu makubwa...hizo hereni marehemu alizo vaa ni ishara ya ushoga na ukienda sehemu kama mombasa ukipita umevaa hereni kama hizo usishangae ukishikwa t*ko hajalishi wewe ni shoga au sio shoga
Mkuu.. marehemu hasemwi kwa mabaya..tusimuhukumu ilihali ameshafariki..tutumie busara mkuu
 
hata ushoga ni hivyo hivyo... kuna sehemu ukiwa shoga watu wanakuona ni mtu wakawaida kabisa...ila kwa Tz kubali,kataa mwanaume kuvaa hereni ni ishara ya ushog....kuhusu wasanii,sio kila kitu ni chakuiiga maana hata wasani hao pia kuna mashoga..mtu anaweza kuwa shoga(anakunwa) na bado ana mke na watoto,alafu kwenu ni wapi
Yaaani hata mimi , naona wanampamba Tu.
Ngoja nijikoncludie atakuwa alikuwa mwenzake na marehemu KAOGE
Wajalaana nyie utasema hamkuzaliwaaa mxiewwwwww kama mtu humjui,hakuhusu kikeni wala kiumeni,hujawah mvalisha wala kumlishaa akiamuaa kutembeaa uchi au kuvaa nguo inakuhusu nini???ndosii sisi tunamjuaaa kitambo kaka wa watu hana neno na mtu ilaa nyie mnaojiita marijali uchwaraa ndo nyie bao mojaa chali,hivi wanaume wa siku hizi mbonaa mna tabiaa za kike saanaa ,mmekuwa wmabeyaa kuliko wanawake ,nyie mlifata nini mombasa kama sio kwenda kuliwaa??manake wa mombasa anamjuaa wa mombasa mwenzio ,mnapata wap ujasiri wa kumdiscuss marehemu bora hata ungemjuaa ndo kwanza mmemuona leo nyie mliotapikwa manake mngekuwa mmezaliwa atleast mngeheshimu marehemu ,Mungu anawachukuaa watu wazuri kama wakina Ndossi anaacha mataka taka kama nyie mnaoongea pumba while mpo nyuma ya key board ,sisi tunaomjuaa acha tuomboleze kama ww umjue nenda kasukutue hayo mapum**yenu .......marehemu mnaotembeaa nyie

Haya ndo madhara ya kuzaliwa shambaa Alafu maisha ya shida na kuja kupatiaa elaa ukubwani ndo maana akili zenu bdo zipo kilocal local......VUMBAPU NYIE
.
.
.Yaan naandika huku natetemeka manake nayamani niwatukane nashindwaaa........
Kizo hautasahaulika baba rest in Peace ulikuwa mtu na nusu nakukumbukaa kwa mengi saaaaaa na ulipigana saaana lakin Mungu alikupenda zaidi ...tutakukumbuka daimaa kwangu utabaki kuwa 'SHUJAAA'
 
Mkuu.. marehemu hasemwi kwa mabaya..tusimuhukumu ilihali ameshafariki..tutumie busara mkuu
farao alifanya mambo mabaya kibao na mpaka leo anasemwa....huyu nani asisemwe
 
Wajalaana nyie utasema hamkuzaliwaaa mxiewwwwww kama mtu humjui,hakuhusu kikeni wala kiumeni,hujawah mvalisha wala kumlishaa akiamuaa kutembeaa uchi au kuvaa nguo inakuhusu nini???ndosii sisi tunamjuaaa kitambo kaka wa watu hana neno na mtu ilaa nyie mnaojiita marijali uchwaraa ndo nyie bao mojaa chali,hivi wanaume wa siku hizi mbonaa mna tabiaa za kike saanaa ,mmekuwa wmabeyaa kuliko wanawake ,nyie mlifata nini mombasa kama sio kwenda kuliwaa??manake wa mombasa anamjuaa wa mombasa mwenzio ,mnapata wap ujasiri wa kumdiscuss marehemu bora hata ungemjuaa ndo kwanza mmemuona leo nyie mliotapikwa manake mngekuwa mmezaliwa atleast mngeheshimu marehemu ,Mungu anawachukuaa watu wazuri kama wakina Ndossi anaacha mataka taka kama nyie mnaoongea pumba while mpo nyuma ya key board ,sisi tunaomjuaa acha tuomboleze kama ww umjue nenda kasukutue hayo mapum**yenu .......marehemu mnaotembeaa nyie

Haya ndo madhara ya kuzaliwa shambaa Alafu maisha ya shida na kuja kupatiaa elaa ukubwani ndo maana akili zenu bdo zipo kilocal local......VUMBAPU NYIE
.
.
.Yaan naandika huku natetemeka manake nayamani niwatukane nashindwaaa........
Kizo hautasahaulika baba rest in Peace ulikuwa mtu na nusu nakukumbukaa kwa mengi saaaaaa na ulipigana saaana lakin Mungu alikupenda zaidi ...tutakukumbuka daimaa kwangu utabaki kuwa 'SHUJAAA'
Achana nao Mambembe
 
Marehem alikuwa bataboy, mtoto wa kishua..Aliniacha shule A level alafu alikuwa na roho ua unabii batani.. ukitaka Red Label anakupa...Wadada vya mjini walimpenda sana sabab akiwa sehem lazma atapay bills...Sema watamlilia leo..mwaka ujao wanamsahau..Another one takes over..Ndo maisha ya mjini..R.I.P
Ndo ubinadamu mkuu. Alikua na roho nzuri sana Kizzo.
 
Back
Top Bottom