Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Hata km waliwahi kumpita lkn yeye ndo alitusua hadi kuwa T.O,halafu kuandika kitabu pia sio suala la kubeza.Wakubali tu kuwa Elias alijitahidi na mchango wake ni mkubwa.Hawataki kukubali kama jamaa alikuwa genius..
Ukute labda waliwahi kufaulu wakampita jamaa.
Wewe umefanya nini cha maana ktk tasnia ya Elimu?Umechomoa eenh? Basi nadhani siku nyingine hutarudia.
Eistein and Newton walifeli mitihani?
Eistein na Newton wamefanya mambo ma vyuoni huko ambako unaandika kitu kinasomwa na miamba mienzio duniani nzima ndio unapitishwa kwamba wewe kweli kichwa kimesheheni ujazo.
Sio kuji showcase kwa watoto wa sekondari tuition za mchikichini na kunakili maswali ya vitabuni kuyajibu na kusemwa umeandika kitabu.
Heck no! Umedesa , you plagiarized that jazz, bro.
Elias Kihombo is a sad profile of massive underachievement.
Ukute nao walikuwa ma T.OHata km waliwahi kumpita lkn yeye ndo alitusua hadi kuwa T.O,halafu kuandika kitabu pia sio suala la kubeza.Wakubali tu kuwa Elias alijitahidi na mchango wake ni mkubwa.
story zinasema zaidi vile vitabu ambavyo wanafunzi wengi huvikwepa yeye ndio alipenda kuvitumia mfano nelkon, roger, UP(university physics) kwa upande wa physics, waliosoma physics advanced level watakuwa wanaelewa zaidi hapa,
Anaiona history ni kama story anazozizungumzia,Atafute A zake aone zinavyokuwa ngumu,,Acha kuidharau history bro unajua definition ya history aliyoitoa Edward hallet carr ni kitabu kizima?
Unajua kuhusu kina Michael Beaud?
Hakuna somo jepesi hata history ina maswali ya application Mzee.
Vijana wapumbavu sana au anajua history ndiyo definition ya is the study of past events?[emoji16]Anaiona history ni kama story anazozizungumzia,Atafute A zake aone zinavyokuwa ngumu,,
Tatizo kaka mkubwa umeanza kuwataja manabii walioletwaga Duniani kwa sababu maalumu,Marehemu ubongo wake ulikuwa unafanya kazi vizuri sana sema hakupata nafasi ya kujiendelezaUmechomoa eenh? Basi nadhani siku nyingine hutarudia.
Eistein and Newton walifeli mitihani?
Eistein na Newton wamefanya mambo ma vyuoni huko ambako unaandika kitu kinasomwa na miamba mienzio duniani nzima ndio unapitishwa kwamba wewe kweli kichwa kimesheheni ujazo.
Sio kuji showcase kwa watoto wa sekondari tuition za mchikichini na kunakili maswali ya vitabuni kuyajibu na kusemwa umeandika kitabu.
Heck no! Umedesa , you plagiarized that jazz, bro.
Elias Kihombo is a sad profile of massive underachievement.
kama ningeamua kuisoma ADv. sizani kama ningeikosa A, ila haikuwai kuwa passion yangu, ingawa kwa uwezo wangu mdogo , sikuiacha A katika level zote za ELIMU, ambapo nilisoma History.Anaiona history ni kama story anazozizungumzia,Atafute A zake aone zinavyokuwa ngumu,,
Shule uliyosoma kuna aliyepata A uliyesoma naekama ningeamua kuisoma ADv. sizani kama ningeikosa A, ila haikuwai kuwa passion yangu, ingawa kwa uwezo wangu mdogo , sikuiacha A katika level zote za ELIMU, ambapo nilisoma History.
wakutosha tuShule uliyosoma kuna aliyepata A uliyesoma nae
Anazani History ni zile simulizi alizokuwa anasimuliwa na washkji zake,Anazani kila tukio lilopita basi ni la kihistoria,,PHYSICS ni ngumu sana lakini hiyo histry inayoizungumzia ndio somo gumu upande wa Arts subjectsVijana wapumbavu sana au anajua history ndiyo definition ya is the study of past events?[emoji16]
Screen shots matokeo yaowakutosha tu
Anazani history hakuna application questions?.Anazani History ni zile simulizi alizokuwa anasimuliwa na washkji zake,Anazani kila tukio lilopita basi ni la kihistoria,,PHYSICS ni ngumu sana lakini hiyo histry inayoizungumzia ndio somo gumu upande wa Arts subjects
Connections....hatuna mtu wa kutuandika kimemo kwenda kwa flani!Hii nchi vijana wengi wa familia maskini wanajituma sana ila hawafanikiwi wanazunguka duara na kufa kwa frusttation .. why?
Mbona unatupoteza!!?May his soul rest in eternal peace.
Huyu mwamba hakumaliza petroleum engineering pale udsm, alidisco akiwa third yr. nlikuwa nyuma yake mkuu. Mwamba alikuwa anajua sana, sema petroleum ilimpeleka puta sana.
Mbona unatupoteza!!?
tumeshaambiwa hicho ni kichwa