Umechomoa eenh? Basi nadhani siku nyingine hutarudia.
Eistein and Newton walifeli mitihani?
Eistein na Newton wamefanya mambo ma vyuoni huko ambako unaandika kitu kinasomwa na miamba mienzio duniani nzima ndio unapitishwa kwamba wewe kweli kichwa kimesheheni ujazo.
Sio kuji showcase kwa watoto wa sekondari tuition za mchikichini na kunakili maswali ya vitabuni kuyajibu na kusemwa umeandika kitabu.
Heck no! Umedesa , you plagiarized that jazz, bro.
Elias Kihombo is a sad profile of massive underachievement.