Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Teh teh teh teh [emoji1787][emoji1787][emoji1787], una majibu kumbe haaa haaa [emoji2][emoji2][emoji2]
Isitoshe kwenye huu uzi, umepambana Sana na hawa 'haters' .
Watu wanapenda kuropoka tu mkuu.Huenda hawajasoma advance. Kama walisoma mbona wao hawakukariri au kubahatisha kama mdau.
Advance nimetumia vitabu vya Kihombo especially waves, jamaa ana prove kuwa anajua.
Advance ndo nini?Huenda hawajasoma advance. Kama walisoma mbona wao hawakukariri au kubahatisha kama mdau.
Advance nimetumia vitabu vya Kihombo especially waves, jamaa ana prove kuwa anajua.
Dried ice is the solid form of what gas?Law and Medicine ni preferences.. what my heart desires.. naweza pia kupenda ushairi..kama Shaban Robert! Na nikawa bora sana maana akili na maarifa nimeyainvest huko!
Kwingine kote umesema vema!
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Of water vapour.Dried ice is the solid form of what gas?
Wandya lolo, Amamihayo ge shinisho! Lekagi.Dried ice is the solid form of what gas?
Sina hakika kama ni swali sahihi mimi kujibu, kujua idadi ya Ma TO, but muhimu najua kuna Ma TO wamepita kwenye mikono ya mwamba, that is enoughMa-TO wako wangapi? Tukijumlisha wa level zote
Na utaratibu wa TO umeanza mwaka gani?
Maana sasa hizi sifa mpaka naanza kuwaza
Ukisema kuna Ma TO wengi mavyuoni, viwandani na mahospitali
Ukisema kuna Ma TO wengi wamepitia mikononi kwake naanza kujiuliza Tanzania ina Ma TO
jamaa alikuwa TO, o -level na alichukua PCB , ila haikuwa rahisi kwake kurudia U TO kwa mara nyingine A level lakini , alijielekeza kusoma masomo ya biashara kwamujibu wake ndo ilikuwa passion yake, kama mwamba passion yake ilivyokuwa kufundisha.Joel nae ni TO wa mwaka gani na kwa mchepuo upi huyu jamaa
Sawa...Law and Medicine ni preferences.. what my heart desires.. naweza pia kupenda ushairi..kama Shaban Robert! Na nikawa bora sana maana akili na maarifa nimeyainvest huko!
Kwingine kote umesema vema!
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sijakupata mantiki yako ya UTU , Kuuliza ugonjwa uliomuondoa Marehemu ambaye ni MAARUFU kwenye elimu ni kuvunja UTU wake? Kama Michael Jackson walieleza ,Chadwick Boseman walieleza ,Why kwa Elias iwe ni Kuvunja UTU? Muddy Phyics ameondoka na pia elias ameondoka ,Wote walikuwa wanafundisha ,kujua vilivyoawaondoa ni muhimu inawezekana labda vilisababishwa na kufundisha kwa muda mrefu ,who knows?Utu uheshimiwe tafadhali
Kama ni hivyo basi kusingekuwa na postmortem.Kila kifo kina sababu..
Siku zikifika zimefika tu!haijalishi amekufa kwa sababu gani ..
Hata sababu ikiwekwa bado haiwezi rudisha uhai wa marehemu.
Tupo dunia ambayo yeyote anakufa tu bila kujali ana hiki au hana.
Sawa...Kama ni hivyo basi kusingekuwa na postmortem.
Saint Anne .... [emoji3590]Una kipimo chako kipya unachopima watu usoni?
One day he was talking to me about relativity the way you never heard about
He imagined about Hyper loops and one day I heard musk talking about it
Things like Space Elevators, Thought to Text and Energy-based Paint
Active Integrated Matter and lots of many things ... I wish you could meet him
Nimejibu hoja kwamba "hakuna haja ya kujua sababu ya kifo coz hata ukijua hauwezi kumrudisha" na ndio nikasema kama ni hivyo no need of postmorten(to determine the cause of death) whether entitled or not.Sawa...
Mkuu kumbe kila anayekufa anafanyiwa ama is intitled kufanyiwa POST MORTEM vile?!!
Nambie dokta wangu[emoji3590][emoji257]Saint Anne .... [emoji3590]
Kaulizeni alikofia watakuwa na majibu au nendeni msibani watasema.Nimejibu hoja kwamba "hakuna haja ya kujua sababu ya kifo coz hata ukijua hauwezi kumrudisha" na ndio nikasema kama ni hivyo no need of postmorten(to determine the cause of death) whether entitled or not.