Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo English yake ss kwmb "does you. i dont related to you"[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwani wapi nimesema unanijua?
Mbona unajistukia dogo??
Acha kujikuta..mtu akikwambia wewe mdogo wake si lazima uwe umetoka naye tumbo moja.
Acha kujikuta, ukweli umeupata
Kwani hao baraza la mitihani huwa wanatoa na kiasi cha asilimia alichopata mtahiniwa au huwa wanatoa alama tu kama A, B, C, D?Ndio ni vigumu kufikiwa
Jamaa alipata 98%
Ya physics
97% chem
99% math
98% Gs
Sa kuna TO anaweza kufikia hapo
Wakijibu nitagKwani hao baraza la mitihani huwa wanatoa na kiasi cha asilimia alichopata mtahiniwa au huwa wanatoa alama tu kama A, B, C, D?
Unapoint nzuri ila kwenye huu uzi ni wa kusifu na kuabudu mkuuWhat do you mean hakupata nafasi ya kujiendeleza, alinyimwa mkopo ????
Huyu sio pointi tatu peke yake kwenye historia ya TZ , wengine mbona waliendelea vizuri?
Elias was a small thinker. To him, ma tuition ya sekondari na Alteza ya bomba mbili was all he could dream of.
Si kosa letu au la serikali kwamba alifeli chuo au hakuendelea mbele kitaaluma. Kosa la serikali ni kuwaita hawa watoto Tanzania One wakati mitihani sio standardized, hujui nani kampita nani.
Manake, kama alama ya A ni kati ya 91-100, atayepata 91,92,93,94 na atayepata 100, wote watakuwa wamepata A.Wakijibu nitag
Tatizo Waafrica huwa tunapenda kulazimisha watu waishi vile tunavyoishi, km mtu ana dharau hyo ni tabia yake na ni jinc ww unamuangalia ndo mana unadhani ana dharau, lkn wenzetu hawa deal na personality ya mtu ila wanaangalia fikra za mtu ambazo ndiyo huwa zinageuka kuwa msaada kwa nchi na dunia kwa ujumla.Kama dharau zake ndio kilikuwa kikwazo nadhani alipaswa kufanyiwa counseling na watu positive.Naamini angekuwa sawa tu.
Isiwe kwamba nyinyi mnao soma History ndiyo mna uwezo mdogo, ndiyo maana A hazipatikani kwa wingi.Anaiona history ni kama story anazozizungumzia,Atafute A zake aone zinavyokuwa ngumu,,
Hivi ni ‘advance’ au ‘advanced’ level?Ukiacha hiyo ya Olevel..Geog ya advance Ndiyo ni ngumu ila huwezi linganisha na physics..
Huu ni utani jamani.
SIYO KWELI.Wacha kutupoteza.....
akili na maarifa ni watoto wa baba mmoja...
ni wakaazi wa mtaa mmoja.....
ni pacha ambao huwezi watenganisha
Asante mkuu kwa ufafanuzi huu, ufafanuzi huu utawasaidia wengi wanaofikiri kuwa mtu akiwa 'genius', basi asiweke bidii katika masomo. Wengi wanaojiona wana uwezo huwa hawajibiidishi, hasa kwa levels za secondary. Akiona kapata alama nzuri 'o level', basi anajiona genius (wenyewe wenasema 'mimi nina nature'), na wanapojiunga na levels za juu huamini watafaulu hata bila kuweka bidii katika masomo, wengi wao huanguka. Kumbe ukiwa 'genius', kwa kuwa unaelewa sana, usibweteke, bali unatakiwa usome vitu in advance, kwa kuwa una uwezo wa kuelewa kabla ya kufundishwa na mwalimu. Take it as a gift.Genius ndiyo wanaosoma sn mana huwa wanawahi kuelewa hvyo ni rahisi kusoma mambo mengi kuliko slow learners.
Naomba kujua rekodi ya Tuntemeke SangaMtanzania mwenye akili zaidi au mtanzania mwenye uwezo mkubwa wa kukariri?
Tanzania ina watu wawili tu wenye akili zaidi.
Anyway RIP, Rest in Eternity. May The Holy Mary, Mother of mercy be with you
- Nyerere
- Tuntemeke Sanga
Kwahiyo alidisco kwa mara ya pili tenaMay his soul rest in eternal peace.
Huyu mwamba hakumaliza petroleum engineering pale udsm, alidisco akiwa third yr. nlikuwa nyuma yake mkuu. Mwamba alikuwa anajua sana, sema petroleum ilimpeleka puta sana.
Kwahiyo alidisco kwa mara ya pili tena
*****
feza boysYeah kwa mara ya pili nafikiri baada ya hapo alienda kufundisha shule moja ya private kubwa nmesahau jina lake
Kwani hao baraza la mitihani huwa wanatoa na kiasi cha asilimia alichopata mtahiniwa au huwa wanatoa alama tu kama A, B, C, D?
Sawa.broh mtumiaji wa mwisho yaani wewe unaeangalia mtandaoni unaona grades tu. ila walioko jikoni wanaona mpaka raw marks. mimi ni shaihidi wa hilo.
Kwasababu wewe ni kilaza.Andika na wewe tuone
Hiyo physics unaiona lelemama??
Sasa unalinganisha physics na econometrics??mkuu upo serious kweli?!?
Pata na wewe 99% ya physics tuamini kama kwako ni ya kawaida.