Restaurant gani au wapi wanapika chakula kizuri kwa Dar es Salaam?

Restaurant gani au wapi wanapika chakula kizuri kwa Dar es Salaam?

Job sanga

Member
Joined
Apr 3, 2019
Posts
61
Reaction score
74
Ndugu zangu wenyeji wa Dar, ivh ni sehemu gani nzuri ambayo wanauza vyakula vitamu vitam kipenzi cha wengi. Sometimes mm naona ni vzur kubadili mazingira. Bei haijalishi
 
Magomeni msikitini.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Back
Top Bottom