mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Tembelea KFC au PIZZA HUT. Achana na migahawa ya ajabu ajabu
Unapatikana wapi? Nataka tuingie mkataba wa muda mrefu.Chakula ninachopika mimi tu ndo kizuri dar nzima.
Ni mobile restaurant.
Kuna kitu cha 'kuku chukuchuku' pale hatari sanaBrake point Kinondoni makaburini
Hao Brake point kino kuna siku nilijilaumu, nilienda na njaa yangu nipige supu kuku kienyeji nilikoma nikaletewa kisupu hakieleweki.
mgahawa wa shilole upo wapi?
Una akili kabisa ule makaburini, huku mkaburi huku danguro la leaders club, huku mbwejini, yaani chakula kishuke kabisa?Brake point Kinondoni makaburini
Food Point posta.Ndugu zangu wenyeji wa Dar, ivh ni sehemu gani nzuri ambayo wanauza vyakula vitamu vitam kipenzi cha wengi. Sometimes mm naona ni vzur kubadili mazingira. Bei haijalishi
plseee🚮Selebonge Kino Facebook hutajuta ni bandika bandua kila kitu kipo
What,huko masaki mdau hawezi, pale kwa bonge 5-10 anakula na kuvimbiwaplseee🚮