Restaurant gani Dar es Salaam ninaweza kupata WIFI yenye kasi zaidi?

Restaurant gani Dar es Salaam ninaweza kupata WIFI yenye kasi zaidi?

Za sahizi binadamu wenzangu.

Nipo Dar es Salaam Nilikuwa nauliza ni restaurant au hotel gani ninaweza kupata WIFI yenye kasi sana na ambayo ina GB nyingi nina ma file ninayotakiwa ku download kwenye PC yangu jumla ni 156GB.

Sasa mimi hiyo budget siwezi kuitumia kwenye manunuzi ya bundle za kawaida maana ni kubwa sana.

Natanguliza shukrani.
Mzee mbona unapenda sana kamserereko?restaurant ni sehemu ya kula.
 
Za sahizi binadamu wenzangu.

Nipo Dar es Salaam Nilikuwa nauliza ni restaurant au hotel gani ninaweza kupata WIFI yenye kasi sana na ambayo ina GB nyingi nina ma file ninayotakiwa ku download kwenye PC yangu jumla ni 156GB.

Sasa mimi hiyo budget siwezi kuitumia kwenye manunuzi ya bundle za kawaida maana ni kubwa sana.

Natanguliza shukrani.
Nunua bando lako acha Ubahili [emoji2][emoji2]
Na utakapoenda kutumia hiyo Wi-Fi unatakiwa matumizi yako yasiwe chini 50K
 
Kama unaona kazi, Andaa hiyo 20k kisha niandikie TITLE (vichwa vya habari) za vitu unavitaka na wapi vilipo kisha nikudownloadie.

Nakushushia mwenyewe naKuwekea kwenye External FREE DELIVERY nakuletea Mzigo wako hadi ulipo,unanipa changu nageuza.
 
Ukitoa 50,000 nakushushia hizo tutorial zako nakuekea kwenye EXTERNAL DRIVE ya 250GB nakuletea Free Delivery hadi ulipo.

Yani ki ufupi ni NunuanExternal yenye vitu unavyovitaka na zaidi kwa 50k.
 
Za sahizi binadamu wenzangu.

Nipo Dar es Salaam Nilikuwa nauliza ni restaurant au hotel gani ninaweza kupata WIFI yenye kasi sana na ambayo ina GB nyingi nina ma file ninayotakiwa ku download kwenye PC yangu jumla ni 156GB.

Sasa mimi hiyo budget siwezi kuitumia kwenye manunuzi ya bundle za kawaida maana ni kubwa sana.

Natanguliza shukrani.
Coral Beach Hotel, Masaki. Mtandao wao una kasi ya ajabu sana. Thank me later
 
Cha ajabu anataka kulala au kula kempisk au sehemu ya matawi ya juu, hasa hiyo Ela si kununua tu bando na kuweka tu.
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom