Mzee mbona unapenda sana kamserereko?restaurant ni sehemu ya kula.Za sahizi binadamu wenzangu.
Nipo Dar es Salaam Nilikuwa nauliza ni restaurant au hotel gani ninaweza kupata WIFI yenye kasi sana na ambayo ina GB nyingi nina ma file ninayotakiwa ku download kwenye PC yangu jumla ni 156GB.
Sasa mimi hiyo budget siwezi kuitumia kwenye manunuzi ya bundle za kawaida maana ni kubwa sana.
Natanguliza shukrani.
Sea cliff paleHiyo karambezi ipo wapi?
Nina 10k mkuuUna sh ngap nikuelekeze ofisini ilala, shauri moyo. Speed ni 20Mbps/s
Mi nataka yenye Wi-Fi mkuu.Mzee mbona unapenda sana kamserereko?restaurant ni sehemu ya kula.
Fanya 30K unashusha gb 200 fresh kabisaNina 10k mkuu
Ungekuwa Arusha ungelipia buku unatumia unlimted kwa siku nzima speed n 10MbNina 10k mkuu
Aweeeh acha hizo mkuu kwanza nimekosea makadirio sio hizo Gb make it ni 50GBFanya 30K unashusha gb 200 fresh kabisa
Bibi hakuna hotel yenye jina hilo hapa Tanganyika kwa sasa labda huko Kizimkazi.Kilimanjaro Kempinski.
Tutorial youtube ni full course.Mi nataka kujua una download kitu gan asante
Nunua bando lako acha Ubahili [emoji2][emoji2]Za sahizi binadamu wenzangu.
Nipo Dar es Salaam Nilikuwa nauliza ni restaurant au hotel gani ninaweza kupata WIFI yenye kasi sana na ambayo ina GB nyingi nina ma file ninayotakiwa ku download kwenye PC yangu jumla ni 156GB.
Sasa mimi hiyo budget siwezi kuitumia kwenye manunuzi ya bundle za kawaida maana ni kubwa sana.
Natanguliza shukrani.
Kama 50GB njoo na 12K fresh una enjoyAweeeh acha hizo mkuu kwanza nimekosea makadirio sio hizo Gb make it ni 50GB
Sawa nipe location ni sehemu gani na wanafunga saa ngapi?Kama 50GB njoo na 12K fresh una enjoy
Hahaha haya banaNunua bando lako acha Ubahili [emoji2][emoji2]
Na utakapoenda kutumia hiyo Wi-Fi unatakiwa matumizi yako yasiwe chini 50K
Coral Beach Hotel, Masaki. Mtandao wao una kasi ya ajabu sana. Thank me laterZa sahizi binadamu wenzangu.
Nipo Dar es Salaam Nilikuwa nauliza ni restaurant au hotel gani ninaweza kupata WIFI yenye kasi sana na ambayo ina GB nyingi nina ma file ninayotakiwa ku download kwenye PC yangu jumla ni 156GB.
Sasa mimi hiyo budget siwezi kuitumia kwenye manunuzi ya bundle za kawaida maana ni kubwa sana.
Natanguliza shukrani.
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cha ajabu anataka kulala au kula kempisk au sehemu ya matawi ya juu, hasa hiyo Ela si kununua tu bando na kuweka tu.