Restaurant nzuri Dar es Salaam

acha upumbavu wewe, afu jifunze ku balance shobo, unambiwa ukweli unakaza kichwa, wewe mtoto wa juzi tu ndio kwanza umemaliza diploma ya marketing pale CBE unakuja kuleta ujinga wako hapa JF
 
Cape Town fish market (ctfm)msasani
Ukitoka kitu cha shule kama unaenda masaki mkono wa kushoto.

Ukitumia daladala omba msaada fish market.
Kama unausafiri wako ingia gugo πŸ—Ί.
Kwa kutumia Uber,imeisha hiyo..utakuwa ushafika.

Sea food unapiga na white wine 🍷 na cocktail nyepesi.

Kila la kheri mkajiinjoi zenu
 
acha upumbavu wewe, afu jifunze ku balance shobo, unambiwa ukweli unakaza kichwa, wewe mtoto wa juzi tu ndio kwanza umemaliza diploma ya marketing pale CBE unakuja kuleta ujinga wako hapa JF
hahaaa you are interesting,. by the way mkuu mimi ni MD wa kawaida sana sio successful katika uchumi ila am enjoying my job tangu mwaka 2016(mwaka uliomaliza ww bachelor yako ukapata gpa ya 2.6).

naomba nikushauri kua katika hili wewe ndio umefeli kubalance shobo, and with all due respect sijafurahishwa na kauli yako ya kuniita mtoto wakati hujanizidi sana maana una 37 years(japo mwezi may2020 ulitaka kurudi kwa babaako kisa umeishiwa kodi ya nyumba)

naomba nisifike mbali sana mkuu, ila umekwama sana kudandia basi kwa mbele, for the very least nimeomba radhi kwa mwenye uzi ila nashangaa sana ulivodandia gari kwa kumwaga porojo nyingi.View attachment 1606218View attachment 1606220View attachment 1606219View attachment 1606217
 
yes hapa napo pamekaa njema!! ila kumaliza 100k ni kugusa tuπŸ˜€..kuna totozi pale zinamwaga umombo tu!! wanatema yai utafikiri tupo Miami Beach, FL
 
Reactions: len

Siku hizi mizaha mingi sana nashauri @Moderator apart from likes naomba atuwezeshe pia tuwe tuna option ya kudownvote comments za mizaha na ikifika idadi fulani ziwe zinajifuta ili wahusika wajione. Maana ni kero sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…