Restaurant nzuri Dar es Salaam

Restaurant nzuri Dar es Salaam

Pesa yake mnataka kumpangia jinsi ya kutumia wakuu?
hapana mkuu, hatumpangii... kiuhalisia kitu anachokifanya mimi na wengi hua tunakifanya pia..

ni vile tu watu(baadhi) tume-auto develop kasumba ya kujiona umemtangulia mwenzako kufanya kitu flani,... haina mantiki ila ni basi tu.
walio civilized na madiaspora wanauita "uswahili" au "ubongobongo"
 
Unakosea mkuu.... Mnakosea sana mnapokuwa mnaleta mzaha mwenzenu anapouliza jambo serious.

Ndio maana siku hizi watu serious humu jf hawaji sana maana wanaona kuna utoto mwingi.

Back in the day hata ukiwa na shida ya connection ya kazi au mchongo wowote ukija JF ilikuwa ni 90% chance ya kupata mtu au watu serious wa kukusaidia....

Ila miaka hii mnafanya mizaha sana.
nmekuelewa mkuu.. wacha niombe radhi kwa mwenye uzi, kama alikua amekereka.
 
nmekuelewa mkuu.. wacha niombe radhi kwa mwenye uzi, kama alikua amekereka.
Wewe omba radhi tu.

Usi i qualify hiyo radhi na "kama alikuwa amekereka".

Kitu muhimu ni wewe kutambua kwamba umekosea na kuomba radhi.

Kama amekereka au hajakereka si muhimu.

Kwa sababu, hii ni public forum. Watu wanajifunza mahusiano.

Na ulichofanya awali mi kumnyanyapaa mtu.
 
mkuu you cant be serious can you!?.. back in the day, .. which days do u mean!?.. nmeanza kutumia jf 2013 nkafungua account ya kwanza 2014 2019 ikafungiwa na sasa nna nyingine hii hapa.. since then jf there was always must be someone who was never serious and i fall on that group.. itc just that watu kama mimi sasahvi tumekua wengi, i always think "being matured is to be able to understand anyone, anywhere and whatever else situation mean while knowing when to SHUT UP and when to MIND YOUR OWN business".. i dont mean to offend you pal, but i hope you understand... si kila mtu ni mtoto hapahapa, if you think you are mature enough then i'll double doubt your maturity bro.

enjoy,eat and bite what suits you.
Take no offense from my comments my brother , my point was to correct your response kwa namna haujamchukulia serious mleta uzi.

Mimi pia nimekutana na scenario ya namna hiyo several times kiasi kwamba imeniumiza sana akili. But the thing is tusiwe tunageuza hii platform kuwa kijiwe cha mizaha. Don't take it personal or any other way.
 
Take no offense from my comments my brother , my point was to correct your response kwa namna haujamchukulia serious mleta uzi.

Mimi pia nimekutana na scenario ya namna hiyo several times kiasi kwamba imeniumiza sana akili. But the thing is tusiwe tunageuza hii platform kuwa kijiwe cha mizaha. Don't take it personal or any other way.
nimekupata mkuu, no offence and nothing personal.
 
Achana na wapondaji mkuu, labda bado kula kulala..
Mikocheni ..GEEZ HANGOUT karibu kwa mzee mwinyi
Mbezi beach - barabara ya chini - WINGMAN. karibu na club Hangover
Nyingine mbezi beach - NJIANI karibu na BOT FLATS
NELLYS INN kwa zena mbezi beach
Bahari beach- RUDDYS FARM

Bunju - POSTO BELLA, karibu na mianzini ingia ndani.
Ununio MASAI MARA
 
Achana na wapondaji mkuu, labda bado kula kulala..
Mikocheni ..GEEZ HANGOUT karibu kwa mzee mwinyi
Mbezi beach - barabara ya chini - WINGMAN. karibu na club Hangover
Nyingine mbezi beach - NJIANI karibu na BOT FLATS
Bahari beach- RUDDYS FARM

Bunju - POSTO BELLA, karibu na mianzini ingia ndani.
POSTO BELLA wana sea food hivi?!
 
Nenda KARAMBEZI CAFE ipo karibu na Sea cliff,masaki hutajuta hata kidogo.unaweza google ukaicheki..It has a very nice Scenery..Fantastic Ocenic view..
 
  • Thanks
Reactions: len
POSTO BELLA wana sea food hivi?!
Wanazo..
Hata masai mara au pale africana karibu na giraffe kwa CHEFKILE..
Hawa wote utawapata Instagram. Nakushauri ufanye reservation kwanza usikose meza mkuu
 
  • Thanks
Reactions: len
Wanazo..
Hata masai mara au pale africana karibu na giraffe kwa CHEFKILE..
Hawa wote utawapata Instagram. Nakushauri ufanye reservation kwanza usikose meza mkuu
Yeah na hiyo ndio muhimu
 
Mkuu next time usipoteze muda wako kuja kuuliza mambo muhimu hapa jf siku hizi kuna watoto wengi sana ambao wengi wao hata hawajaexperience maisha kiuhalisia wanabakia kutype upuuzi kwenye mambo ya msingi.

Back in the day ilikuwa ni rahisi sana kupata ushauri hapa JF unapokuwa na changamoto yoyote sababu members walikuwa ni watu serious na wanaijitambua na wasiochukulia JF kama kijiwe cha mizaha na porojo za uongo.
Wewe mwenyewe hujamjibu nilitegemea baada ya hizo paragraph nikute umempa jibu.
 
Mkuu next time usipoteze muda wako kuja kuuliza mambo muhimu hapa jf siku hizi kuna watoto wengi sana ambao wengi wao hata hawajaexperience maisha kiuhalisia wanabakia kutype upuuzi kwenye mambo ya msingi.

Back in the day ilikuwa ni rahisi sana kupata ushauri hapa JF unapokuwa na changamoto yoyote sababu members walikuwa ni watu serious na wanaijitambua na wasiochukulia JF kama kijiwe cha mizaha na porojo za uongo.
Kwa kweli hawa watoto wanaiharibu JF hasa GT kwa kasi ya ajabu sana, kwao kila kitu mzaha mzaha. Matumizi mabaya kabisa ya bundle zao..
 
Achana na wapondaji mkuu, labda bado kula kulala..
Mikocheni ..GEEZ HANGOUT karibu kwa mzee mwinyi
Mbezi beach - barabara ya chini - WINGMAN. karibu na club Hangover
Nyingine mbezi beach - NJIANI karibu na BOT FLATS
NELLYS INN kwa zena mbezi beach
Bahari beach- RUDDYS FARM

Bunju - POSTO BELLA, karibu na mianzini ingia ndani.
Ununio MASAI MARA
Asante sana brother
 
Wanazo..
Hata masai mara au pale africana karibu na giraffe kwa CHEFKILE..
Hawa wote utawapata Instagram. Nakushauri ufanye reservation kwanza usikose meza mkuu
Asante sana brother
 
Back
Top Bottom