Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Msaada tafadhari - nina swali la ''kizushi''
Hivi unapoambiwa kuandika document huku wakiwa wamerestrict idadi ya maneno, let say less than 500, nini hasa kinatakiwa?
Ni rahisi kuhesabu maneno hayo kama unatumia MS Word (tools then word count) lakini, kama unasubmit hard copy ya hiyo document, wapokeaji watahesabuje hayo maneno kuhakiki kama umetimiza masharti??
Huwa wanahesabu kweli (kwa kuhesabu neno moja moja, especially kwa hard copy) au lengo lao hasa huwa ni kwamba wanataka labda one page document?
Mwenye uzoefu anisaidie hapa
Hivi unapoambiwa kuandika document huku wakiwa wamerestrict idadi ya maneno, let say less than 500, nini hasa kinatakiwa?
Ni rahisi kuhesabu maneno hayo kama unatumia MS Word (tools then word count) lakini, kama unasubmit hard copy ya hiyo document, wapokeaji watahesabuje hayo maneno kuhakiki kama umetimiza masharti??
Huwa wanahesabu kweli (kwa kuhesabu neno moja moja, especially kwa hard copy) au lengo lao hasa huwa ni kwamba wanataka labda one page document?
Mwenye uzoefu anisaidie hapa