Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Ile ni nyumba ya mwanaume aliyezaa nae mtoto wake wa kwanza,mwanaume alikuwa amefungwa na ametoka na kuichukua ile nyumba,maana aliicha kwake kwa ajili ya kumsaidia mtoto
 
Katoka na ameichukua
 
Kweka ni Wamachame,labda mzee alioa mke wa Kimbulu ndio katoa hizo pisi

Machame hakuna pisi za level ya Mbulu!

Over
Sasa iweje jamaa atuchanganyie madesa? after all sio lazima we mmachame as long as ni mchaga anaweza tokea sehem yoyote uchagani. though najua kuna kuzidiana kwa wingi wa majina na sehemu wanazo tokea
 
Mh, hiv wakina "Kweka" ni watu wa Arusha kweli, au useme amekulia huko
 
Wewe jamaa konyo sana you nailed it 2020
 
Duh nanyi malimbukeni kweli! Au sio waswahili nyie? Ningeandika where are your CPA offices ndio mngeelewa zaidi.

Ndio nimeuliza kama yeye na Mrs wake ni CPA, office zao zipo wapi?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ofisi za CPA sio, unajua CPA ni nini haswa?
Ila kinge hiki, acha tu [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…