Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Maswabirina
 

Attachments

  • 182146833_474791747089430_7272800756808210750_n.mp4
    4 MB
[emoji3][emoji3]Mungu anakuona mweeeh!huyu form four kamaliza 2006 na alikua anasemaga ye anataka four tu hana mpango wa mengine ana kweli kapata four 26 maisha yake yamesonga na yanasonga sana tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeeh mie nikajua wa 70s mwanzoni.
Kuokokaa....??!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
SI kaokoka huyu?
 
[emoji3][emoji3]Mungu anakuona mweeeh!huyu form four kamaliza 2006 na alikua anasemaga ye anataka four tu hana mpango wa mengine ana kweli kapata four 26 maisha yake yamesonga na yanasonga sana tuKuokokaa....??!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Muhimu pesa...

Huenda angefaulu kwa viwango tofauti na hivyo asingekuwa mpambanaji kama alivyo sasa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom