Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Maswabirina
 

Attachments

  • 182146833_474791747089430_7272800756808210750_n.mp4
    4 MB
[emoji3][emoji3]Mungu anakuona mweeeh!huyu form four kamaliza 2006 na alikua anasemaga ye anataka four tu hana mpango wa mengine ana kweli kapata four 26 maisha yake yamesonga na yanasonga sana tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeeh mie nikajua wa 70s mwanzoni.
Kuokokaa....??!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
SI kaokoka huyu?
 
Muhimu pesa...

Huenda angefaulu kwa viwango tofauti na hivyo asingekuwa mpambanaji kama alivyo sasa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…