Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Halaf dan pol nitakukata mitamaa[emoji23][emoji23] ukaamua utumie jina hili hili la fb. Za miaka mshkaji wangu? Umsima ng'aa? Ngakumbwa ensi so duvesumbua sumbua kula fb kwaa..[emoji3059][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha enzi za mwalim hizo, niko poa tu sijui ww
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie mwnyw sion ucharuko wa Rachel saiv, au ndo km walivosema huwa anawehuka asipokunywa mashudu, now anaona anafatilia masharti,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa Rachel kapoa Hadi Raha aendelee hivi hivi aisee, Ila ingawa umbeya naumiss
 
Pale Bar ameshindwa kupiga rangi fresh kuweka pasafi akaweka zile jumping castle za watoto jaman! Massawe yeye hana time zaidi kukumbatia kabati lake
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mange hajawahi kumkana mtoto wake wa kwanza ni vile tu haishi nae....tofauti na Resti anadai ana watoto wawili wakati anao watatu na huyo mkubwa anaishi nae ila amemuweka tofauti unaweza sema beki 3

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Sasa umri wake ni upi maana huyo binti mkubwa sana
 
Back
Top Bottom