reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Yanga wanampenda hatari!!Manara yupo pale Yanga kwa ajili yake mwenyewe.Watoto waende chooni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga wanampenda hatari!!Manara yupo pale Yanga kwa ajili yake mwenyewe.Watoto waende chooni.
Ubingwa wa ligi mara 27 au hujui hilo we Tom boyWe tomboy yanga ni champion wa nini
Hiz ndio zimebaki ngonjera zenuUbingwa wa ligi mara 27 au hujui hilo we Tom boy
Mkuuu hawa Uto kule Nigeria Watapigwa ALHBAAMkuuu we ni msoma nyota?
Jamaa wamepigwa kimoko chaliiii
Ile Kauli mbiu ya Utopolo waliyodanganywa danganywa na Msukule wao kuwa Return of Champions walipigwa changa la Macho. Lengo la Mwamba Manara lilikuwa ni kujipa promo yeye Binafsi kwamba he is a Champion.
Anyway Utopolo Maji yamezidi unga, hamtoboi wala hamwendi popote zaidi ya kwenda Kigamboni kuogelea.
WanaMsimbazi njooooni tuanze sherehe maaana Rivers uwezo upooooooo
Wamelambwa kile cha MAUZI.. kimoko tu.![emoji1533]Wacha kwanza dk 90 zikwisheeeee
Imeshakua hivyoAibu kubwa,Biashara na Azam wameshinda alafu Yanga wasishinde!itakua aibu kubwa.
Kunywa maji mengi bwana Uto.....kubalini level zenu ni African sports.Kwaiyo wasipoenda popote we unafaidika na nini, unaandika utumbo gani wewe