cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
hawakosekanagi haowenye chuki zenu mko kazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawakosekanagi haowenye chuki zenu mko kazini
Ninavyojua mimi ni kuwa Sebastian Ndege na Reuben Ndege, ni brothers wa tumbo moja.hapana ni majina ya pili tu, yule ni Sebastian Ndege, huyu ni Reuben Ndege
Nchakali anajua sana kuhusu Industry, one of the best.nilikua nafatilia sana kipindi chake cha 'so so fresh na mzeya', kila ijumaa usiku, jamaa yuko vizuri haswa kwenye kupasha habari za music wa hiphop ( majuu na Tz)
hapana ni majina ya pili tu, yule ni Sebastian Ndege, huyu ni Reuben Ndege
Ninavyojua mimi ni kuwa Sebastian Ndege na Reuben Ndege, ni brothers wa tumbo moja.
Huyu Si Ndio AMEmzalisha Yule Dina Mariosi?
inazungumzwa hivyo maeneo ya Kijiwe Nongwayap jamaa kwenye media industry anajua ataitendea haki nafasi yake mpya aliopta je ni nafasi ya ruge ndio amerithi ama
haya maelezo yatoe fotokopi kabisa uyabandike mlangoni pale Clouds itasaidia piaReuben ndo umeamua kuja kujisifia hukuuu. Huko scanad si ukafanya mpaka Kampuni ikataka kupelekwa mahakamani kisa madeni ulivokuwa country manager kwa masaa hadi ukarudishwa cheo chako cha kutengeneza matangazo tu. Hebu wacha sifa zisizo na tija viatu vya Ruge utaweza wewe ndugu yangu????? Mwenzako alikuwa anaongea na kila mtu na anamskiliza kila mtu wewe kacheo tu ulichopewa scanad unawazungushia kiti watu hadi mkapoteza biashara yote kwa kampuni zingine... ukweli ni mwenye uwezo anaonekana ila sio wewe ndugu yangu. endelea kujisifia na wewe ukipewa kiti clouds mwaka tu nakuhakikishia wataondoka wote mmoja mmoja wateja hadi wafanyakazi kama walivooondoka scanad, labda kama umebadilika. Anyway hongera kwa kujisifu mkuuu sio kwamba nakusema ah ah..ila badilika ndugu yana ubrazameen mwingi sanaa huyu jamaa ndo ataiuaaa kabisa clouds, ila ndio vizuri maana anahitajika mtu mwingine tasnia ya redio atawale... natumai EFM na Times wanacheka huko waliko, huuu ndio muda wao eh bwana ehhh kweli Clouds maji ya shingo hadi huyu jamaa bogus bogus kapewa nafasi nyeti ka hiyo...tutaona kama utaweza kuendeleza mawasiliano ya Ruge..yetu macho labda ka ameokoka hehehehehe