Reuben Ndege kavae viatu vya jasiri uingoze njia

Reuben Ndege kavae viatu vya jasiri uingoze njia

Nimepatwa na furaha sana baada ya kuona taarifa kwenye ukurasa wako wa mtandao wa Instagram ukiufahamisha umma/mashabiki kuwa kwa sasa umerejea CMG, Clouds Media Group, imekuwa furaha kwa wengi ila hofu kwa wengi pia.

Reuben Ndege almaarufu Nchakali, ulipikwa Clouds na jasiri marehemu Ruge ukawa zao bora na hatimae SCANAD wakaona hapana wakakukaribisha na kukupa nafasi uuoneshe uuma upande wako wa creativity uko vipi.

Ukiwa SCANAD ulipaza sauti na wachache hawakuelewa ila walioko kwenye tasnia ya Advertisement waliumia kichwa na kuwaza haya madini huyu mtu anayatoa wapi, Kampuni kubwa umeshiriki kuandaa kampeni za bidhaa kwa njia ya matangazo, Coca Cola, Vodacom, Tigo, Kvant, Chai Bora, etc.

Naweza sema uzalendo na Upendo ulionao Clouds ndio umekurejesha na ni heshima kwa Ruge huko aliko anatabasamu nakuona viatu vyake mvaaji amepatikana,sidhani kama umeangalia sana maslahi, kama ni maslah SCANAD naamin walikuwa na uwezo wa kukuretain kwa nafasi uliokuwa nayo na ungebaki ila la hasha.

Wengi walijiuliza viatu vya jasiri angevaa nani, na jina lako lilikuwa midomoni mwa kila mtu naona ule msemo wa Sauti ya watu ni sauti ya Mungu umejidhihirisha, kapambane na tukutakie kila kheri wale waliohisi Mawingu imefika Mwisho nadhani wameanza kuona ndio kwanza Imezaliwa upya.

Kila la heri Reuben Ndege (Nchakali).
Sawa mtoto wa Ruge tumekusikia
 
Sasa Nchakali kama ni kweli anaenda kuwa mkuu wa vipindi na uzalishaji kwa nini watu wanataka awe more of CEO type of things??..Ruge alikuwa ni zaidi ya hicho cheo alichokuwa nacho

Naamini kama ni kweli amepewa hiyo nafasi,bado atakuwa chini ya Seba Maganga..na hiyo nafasi yake inabase sana kwenye ubunifu na production kwenye vipindi,na inamtaka mtu anayejua presenter qualities na mambo kibao kuhusu utangazaji..mambo ya corporate wanafanya wengine kama Maganga n.k
 
Hapo umenena
Sasa Ncha kali kama ni kweli anaenda kuwa mkuu wa vipindi na uzalishaji kwa nini watu wanataka awe more of CEO type of things??..Ruge alikuwa ni zaidi ya hicho cheo alichokuwa nacho
Hapo umenena maaana doh .

9
Naamini kama ni kweli amepewa hiyo nafasi,bado atakuwa chini ya Seba Maganga..na hiyo nafasi yake inabase sana kwenye ubunifu na production kwenye vipindi,na inamtaka mtu anayejua presenter qualities na mambo kibao kuhusu utangazaji..mambo ya corporate wanafanya wengine kama Maganga n.k
 
Sasa Nchakali kama ni kweli anaenda kuwa mkuu wa vipindi na uzalishaji kwa nini watu wanataka awe more of CEO type of things??..Ruge alikuwa ni zaidi ya hicho cheo alichokuwa nacho

Naamini kama ni kweli amepewa hiyo nafasi,bado atakuwa chini ya Seba Maganga..na hiyo nafasi yake inabase sana kwenye ubunifu na production kwenye vipindi,na inamtaka mtu anayejua presenter qualities na mambo kibao kuhusu utangazaji..mambo ya corporate wanafanya wengine kama Maganga n.k
sina cha kuongeza
 
Mzeeeiiiyaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bwege nn sasa c kumfahamu kama wewe unamjua ni wewe wengine hatumjui ukizingatia ni Vyombo vya habari wengi wanajulikana kwa sauti sio sura
picha ya nini we mtoto wa kiume ujue, Picha ya mwanaume mwenzio ya nini
 
Nimepatwa na furaha sana baada ya kuona taarifa kwenye ukurasa wako wa mtandao wa Instagram ukiufahamisha umma/mashabiki kuwa kwa sasa umerejea CMG, Clouds Media Group, imekuwa furaha kwa wengi ila hofu kwa wengi pia.

Reuben Ndege almaarufu Nchakali, ulipikwa Clouds na jasiri marehemu Ruge ukawa zao bora na hatimae SCANAD wakaona hapana wakakukaribisha na kukupa nafasi uuoneshe uuma upande wako wa creativity uko vipi.

Ukiwa SCANAD ulipaza sauti na wachache hawakuelewa ila walioko kwenye tasnia ya Advertisement waliumia kichwa na kuwaza haya madini huyu mtu anayatoa wapi, Kampuni kubwa umeshiriki kuandaa kampeni za bidhaa kwa njia ya matangazo, Coca Cola, Vodacom, Tigo, Kvant, Chai Bora, etc.

Naweza sema uzalendo na Upendo ulionao Clouds ndio umekurejesha na ni heshima kwa Ruge huko aliko anatabasamu nakuona viatu vyake mvaaji amepatikana,sidhani kama umeangalia sana maslahi, kama ni maslah SCANAD naamin walikuwa na uwezo wa kukuretain kwa nafasi uliokuwa nayo na ungebaki ila la hasha.

Wengi walijiuliza viatu vya jasiri angevaa nani, na jina lako lilikuwa midomoni mwa kila mtu naona ule msemo wa Sauti ya watu ni sauti ya Mungu umejidhihirisha, kapambane na tukutakie kila kheri wale waliohisi Mawingu imefika Mwisho nadhani wameanza kuona ndio kwanza Imezaliwa upya.

Kila la heri Reuben Ndege (Nchakali).
Soso fresh katika ubora wa awali wenye asili halisi!!
Nitafurahi siku nikisikia ML chris na DJ bonny Love nao wamerejea mjengoni... kuna watu wanaujua entertainment na wanafanya kama kazi wanayoipenda!!
 
Weakness ya Ncha kali ni maganja. Very few people ambao ni chain smokers wa weed na wana rational thinking, tolerance na humble.

Ikiwa kumuongoza Mswahili dina marius ameshindwa ataweza Kuvaa viatu vya marehemu jasiri muongoza njia. Scanad ilipotea kwenye anga za marketing sababu ya Poor management. VTL alipotoa mkono wake kuwapa kazi scanad ilipotea kabisa
 
Back
Top Bottom