Reuben Ndege (Ncha Kali) atua E-FM

Hivi kumbe hakurudigi tena clouds naskia zama.... Ndo alikua ana mwekea uzibe kurudi.

Kuna kitu kitakuwa Nyuma ya Pazia,Kwanini Reuben na Dina wameondoka Clouds na wameenda kuajiriwa Radio Nyingine? Kumbuka wote hawajaacha clouds na kwenda direct kwenye hizo radio bali walikaa benchi sana ndio wakaenda hizo radio,Kuna nini kilichowaondoa?

cc: warumi , Matola
 
Last edited by a moderator:
Kutoka CLOUDS FM kwenda EFM ni kurudi hatua 10 nyuma
 
Huyu Reuben Ndege ni yule MD wa Ndege Insurance au ni mwingine?
 
Kuna baba shop moja ipo kwa Aziz Ally ina picha ya ya dj akisugua cd (sijui ndiye Mafuvu) na imeandikwa mafuvu sijui ni yakE!
 
Ni kweli lakini hiyo ni sawa nakutaka kuwa na taifa la viwanda la umeme wa uhakika hakuna "jina zuri la timu lakini timu"
Likikushinda jenga, kibanda
 
Hivi kumbe hakurudigi tena clouds naskia zama.... Ndo alikua ana mwekea uzibe kurudi.
Ilikua hv kipind dina ana mimba akaenda kujifungua akapatikana da huu sasa da huu akawa mtam hatare na kipindi kikapata wasikilizaji weng kuliko kipind chochote cha clouds so ikawa ngumu dina kurudi maan watu walimzoea da huu kwa mda mfupi so akatemwa juu kwa juu kila siku anapigwa kalenda ndo akaamua aende E fm akasepe na kijiji nahic anapatikana katika kipind cha joto la asubuhi mida yaa saa tano kama sijakosea cause sio msikilizaj sana wa E fm
 
mm kidogo nipo tofauti na nyie nafikiri efm wameingia na stratergy nzuri kwa ushindani uliopo lazma uchukue presenter wenye fan base kukuza radio yako huwezi ukachukua presenter wasio na majina kwa kutaka radio yako isikilizwe so baada ya kupata brand equity ndo anaweza kuchukuapresenter wa kawaida e fm wako sawaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…