Rev. Reinhard Bonnke: Kusanyiko kubwa la injili linalosisimua liambatanalo na uzushi mwingi

Nimewahi hudhuria mkutano wake Malawi mwaka 1985 uliokuwa na miujiza kibao.
nakumbuka mabango yalikuwa yameandika " IDZANI MUDZAONE ZOZIZWA ZA MPAMVU YA MULUNGU ZOCHITIKA MMOYO WANU"
kumbe wewe ni mmalawi
 

Nakumbuka Siku alipoita watu kuwaombea wasiumwe malaria tena nilikuwa ni mmojawapo. Niliombewa na mpaka leo sijawahi Kuumwa tena malaria na uzao wangu. Msikose mkapokee kwa hitaji lenu
 

Kwa hiyo unataka kutueleza kuwa al Qaeda na so called magaidi ni viongozi wa dini na mnawatambua? Sometimes tumia akili uweze kupambanua ukweli wa neno na Imani ya dini husika. Mungu amekupa utashi kupambanua.
 
Ni zaidi ya saa moja nimeona kile ambacho kimefanyiwa kazi na jicho pevu kwanza nianze kumpongeza Mohamed Ally kwa weledi mkubwa kwa kufichua ufedhuri wa Victor kanyari na hii ipo sana kwenye ulimwengu wa leo kwa kila dini , muhimu ni kuwa na elimu ya kuyendea mambo ,
kingine faiza unapo ona ubaya jua pia na uzuri upo kwa maana kwamba si wote wanahubiri kutaka fedha kam Mohamedy mchambuzi makini tofauti na wewe Faiza alivyo muhoji Askofu ambaye alikiri uwepo wa mambo haya kama yalivyotabiriwa kwenye maandiko matakatifu
sasa unaweza kudhibitisha hicho cha Askofu kanyari na mahubiri yanayoendelea Mwanza kuwa yana ufanano na hiki ulicho post?
 
Yupo viwanja vya furahisha na mwanae DANIEL COLENDA
 
Utapeli wa Global Church Mission Tz-Mwanza Serikali Wapi?
 
Habari njema za Yesu Kristo anayesamehe dhambi za watu WOTE zinaendelea kuhubiriwa. Ni bora uwe sehemu ya wale wanaotaka kusamehewa dhambi zao. Kwa kuwa tangu kufufuka kwake wengine walipinga na wanapinga na bado watapinga LAKINI Yesu Kristo anaendelea kusamehe dhambi hata sasa.
 
Mungu aendelee kuubariki mkutano huo
Na miujiza iendelee kutendeka na watu wampokee yesu.
 
Huu uzi ni aina ya promo yenye ubunifu, kasema unafiki lakini hakuna sehemu kagusia, pia kajidai kakosea muhubiri kwa kufanya masahihisho pale mwishoni mwa uzi. Hovyo kabisa
 
Huu uzi ni aina ya promo yenye ubunifu, kasema unafiki lakini hakuna sehemu kagusia, pia kajidai kakosea muhubiri kwa kufanya masahihisho pale mwishoni mwa uzi. Hovyo kabisa
Hovyo mwenyewe, uliza ujibiwe
 
Mengine siwezi eleza, yaliyoelezwa na waliochangia kuhusu uzushi ndio habari zenyewe zilizokuwa zikipita hapa na pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…