Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Kwa
maelezo uliyoyatoa ni rahisi mhusika kuelewa kupitia uzi huu na hivyo kujipanga vinginevyo au kuharibu mipango iliyopo mbele ikiwemo 7 January! Hatua hivyo huu sio ushauri!
 
Hivi zile kanda za tape cassette bado zipo? Maana nimesikia kama jamaa anataka kusikiliza nyimbo za side B hivi[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
 
Okay
 
Tanzania kungekua na wanaume 10 kama wewe Marekani wangekua wanakuja kuomba Masada Tz
 
mbele ya ndugu zakena mchungaji, atajiua huyo then utakuwa umepata nini..........wanaume wenzangu kabla hujaanza kutafuta mtu wako omba sana Mungu, ikibidi funga na maombi ya nguvu hata kwa iki 1 then ingia ktk mchakato. vinginevyo utakuwa mtu a kulipiza visasi kutokana na kutendwa kila siku
 
Mzee baba nasubiria kwa hamu na mimi hiyo tarehe saba. Naomba baada ya tukio uje utupe mrejesho.
 
Huyu sio W wa Pi kweli.
We komaa na revenge ili nao wajifunze.
 
inaonekana umeumizwa hasa........Kitakacho fuata siku hiyo ni wewe kuumia zaidi kwani huyo jamaa anakuja kujitambulisha na wewe pamoja na jamaa zako kuelezwa ukweli kuwa Binti hakutaki hivyo kuwaomba mushiriki kushuhudia TUKIO la watu kutoa POSA.........!!!!! HAPO UTAUMIA ZAIDI NA UTAJUTA.................!!!!!
 
Kwa uzi huu naona kama tayari wahusika wamejulishwa kwamba kuna msala unakuja
Na sifikir kama atafanikiwa coz muhusika akisoma ujumbe huu au mtu yyt wa karibu yake lzm amtonye tu.Hii ingekua siri na mwisho angekuja kumwaga series nzima.Haka ka episode tayar kanaenda kuzima next episode.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…