Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

'Well said'
 
Pole sana achana na visasi jua karma is real atajuta muda sio mrefu
 
Mkuu safari yako bado ipo tarehe 22 ni kesho ? Na vipi asipoenda kwa huyo mwanaume Bado utapeleka kilio utabadili msimamo ?
 
Songa mbele
Japo umekataa ushauri nakushauri usigeuke
 
Hakuna kitu bitter kama kumnunulia dem wako chupi kaaaaali afu mchizi anakuja kuivua na kuitupa juu ya neti kisa tu aupate utamu ulojaribu wewe kuuficha.
Mzee kama mwisho m'baya naiwe nitakusotea mpaka laana ulofanya ikutafune.
 
ukifanya hivyo akijiua utashukuru mungu au utajuta fikiri kabla ya kutenda kikubwa ni kuachana naye tu c o kumfanyia hvyo je ww u msafi kiasi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…