Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Pole sana mkuu

Kesho sio mbali, utuletee mrejesho hali itakuwa vipi
 
Tarehe 07 ni kesho, tutegemee mrejesho muda gani?..Hizo pich kama vip print ziweke ndani ya barua ya posa!.
 
Think twice Man, i know it hurts but you don have to go that far, as you said the gal loves you, you shuldave sit down and talk abt it jus u n her....

This is life Man don be a killer, just wait and let a Karma do a job.

Dedication Song: MAN DOWN by Rihanna.
 
Utume na huku mkuu nasi tujioneee
[HASHTAG]#subcribed[/HASHTAG]
 
Safi sana, mkuu kesho jioni tunaomba mrejesho
 
Wakuu tar 07/01 bado tuu?, nimekuja kuchungulia feedback
 
Siyo Mwanaume wewe. Cha mbechembe mingi sana za kike.


Kaa ukujua kuchapiwa ni siri ya ndani. Kisha ushaambiwa kumchunguza bata humli.


Kwa kifupi, ulichokitaka umekipata baada ya kupekua simu yake.

Huna kudu bloo
Kwa hiyo mkuu ukikuta bi dada amemtunuku mchepuko tigo na tena kumbe ashaliwa sana na mchepuko bila ww kujua na wamepanga siku ya kwenda kuliwa jicho tena ww utanyamaza kimyaa? Jua kitu kimoja mkuu kwa sisi wanaume si wote wenye tabia za kupenda penda hovyo kuna mwingine akipenda mmoja ndo huyo huyo sasa unakuta bi dada ndo kivuruge sasa hapo kuvumilia kupo kweli?
 
Ewaaa moyo wako moyo wangu mpe lesson ahisi tofauti ya kuwa mkweli na muongo. BIG UP
 
Aisee mna maneno ya kupoza nyie viumbe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kademu kakijinyonga u will regret, hiyo dhambi utawakimbia ndugu zako wote
Akijinyonga mkuu si ujinga wake mwenyewe huyo demu? Je mkuu mleta uzi angejinyonga kwa kukuta txt za huyo bi dada?bi dada si ndiyo angepata uhuru kabisa wa kwenda kwa msela atakavyo hebu msiangalie upande mmoja tu .
 
Nafikiri kesho tarehe 7,ndio kuna update ya story yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…