Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Kwa ufupi hii ni taarifa tu, so ushauri wako hautabadili chochote wala kuongeza chochote, vipi lakin uzima upo??

Ni hivi, mi huwa siumizwi alafu anayeniumiza akabaki salama, nikiumizwa mi nakuumiza mara 10 alafu fresh, maisha yenyewe mafupi haya, mi niwe na stress alafu wew ucheke ili kiwe nini... sipendagi ubwege kabisa, na nitabaki kwenye kumbukumbu zako milele ukijifanya kuniletea habari za ajabu..

Miez 8 iliyopita nilidate na dada mmoja hivi mrembo, height moja hivi mauzo sana na mzigo wa kuvuta huko nyuma haukuwa haba, kifupi mvuto wa yule dem hauna shaka, kama ni maksi basi A ya 95+... mapema nikamwambia mambo ya kiboya sitaki, km utacheat jitahidi nisijue, nikijua umeumia....Akajifanya hadi kulia pale kwamba ananilove nyang'anyang'a na kamwe hakuna mwanaume kama mimi, nikasema poa but take my words ukinizingua hutoamini nitakachokufany, na km hunitaki niache uende, na kama pia itakuw mechi za dharula tu alafu kimya tuambiane, moyo wangu hauchezewi.. akasema nisiwe na shaka ananipenda, nikasema poa.

Tabia yangu ni kwamba kamwe siwezi kuwa na mpenzi zaid ya mmoja kwa wakati mmoja, so nikiwa na mmoja huyo huyo. Sasa mwezi mmoja nyuma nikausoma mchezo dizain kama demu wangu analiwa hivi, sikumuuliza, nikakomaa hadi nikapata password zake facebook na insta.. nikazama inbox yake, daah ni balaa tupu, ashapigwa mashine na mshikaji mmoja hivi, then jamaa dizain kama anakomaa naye amle 0715 hiv sema demu anabana.. text yake hii hapa..

"Baby naridhika sana nawew, ila unanibania side B, nyimbo za side A zote nimeskiliza why uninyime za side B mpenz?, kama side A nilsikilza kwa elfu 70 bas side B lazma dau lipande.. nielewe bas"

Demu akajibu..

"Mi nina mtu na tuna malengo je akigundua na kuniacha itakuwaje"

Jamaa..

"Hawezi gundua, kwani huwa anakagua huko, ila navyokujua huwez nibania.. nitakutoa out ukafanye shopping ya maana, na nitakutumia 100,000 kesho"

Demu...

"Mmh poa tutaangalia tukikutana tar.22 jamaa akiondoka kama tulivyopanga".

Zipo nyingi nying but hizo kiufupi,....

Mimi kwa huyu demu..., nampa nachopata, najinyima sana apate yeye, nishamtoa shopping za maana mara kibao na tayari nishaandaa pesa nzuri tu kwa ajili yake, Krismass na mwaka mpya, maana tar.hizo sitakuwepo kutokana na majukum ya kazi yangu, nammudu kiujumla, nguo, usafiri, pesa ya kula, malazi nafanya mimi.. yeye hana chochote zaid ya gamba lake la diploma. Muda wote huo sina demu zaid yake.. na on bed naperfom fresh hadi anaomba poo yeye..

Nilichokifanya baada ya kugundua hilo, nimescreenshot charting zote hadi picha walizopiga wakiwa lodge wametumiana kupitia fb messenger nimejitumia kwenye simu yangu, then nimeuchuna.. kifupi tayari nimeshampiga chini ila siwez kumwambia tuachane kiboya boya hiv bila yeye kuonja joto la jiwe kidogo, na kamwe sitafanya naye mapenz tena.. ambacho kimebaki kwake ni kumpa kidonda cha milele..

Ifahamike ananipenda japo tamaa anazo, ashanitambulisha kwa rafiki zake wote, dada yake, hadi mama yake.. kifupi anaitwa mrs mimi... na uchafu anaoufanya ni siri kubwa sana na ndo maana anatumia fb messenger maana anajua siwez hisi chochote huko.. tayari tarehe ya kupeleka barua ishapangwa, tarehe 07 jan... mashangazi zake wote wanajiandaa kwa tukio hilo.. upande wetu pia tunajiandaa..

Nataka nifanye nini?? Siku hiyo ya tukio la kwenda kwao kujitambulisha rasmi ndo siku yangu ya kumuumiza, maana kwao anaaminika sana, anaimba kwaya kanisan, ana vyeo vingi ving vya huko kanisani.. na huwezi mzania hata kidogo kama ni mshenzi.. siku hiyo mbele ya Mchungaji wake, ndugu zake, mama ake, mashangazi na marafiki zake wakiwa na smartphone zao naenda umiza mtu vibaya sana, sio kwamba nitampiga hapana, ila nataka nimafanyie tukio ambalo litaweka maumivu ya kudumu kwenye moyo wake na kamwe hatokuja nisahau..

Tarehe 7 january, save the date....

USIPOTEZE MUDA KUNISHAURI CHOCHOTE, HUWA NIKIPANGA SIPANGUI..
Pole sana mkuu

Kesho sio mbali, utuletee mrejesho hali itakuwa vipi
 
Tarehe 07 ni kesho, tutegemee mrejesho muda gani?..Hizo pich kama vip print ziweke ndani ya barua ya posa!.
 
Think twice Man, i know it hurts but you don have to go that far, as you said the gal loves you, you shuldave sit down and talk abt it jus u n her....

This is life Man don be a killer, just wait and let a Karma do a job.

Dedication Song: MAN DOWN by Rihanna.
 
Utume na huku mkuu nasi tujioneee
[HASHTAG]#subcribed[/HASHTAG]
 
Safi sana, mkuu kesho jioni tunaomba mrejesho
 
Siyo Mwanaume wewe. Cha mbechembe mingi sana za kike.


Kaa ukujua kuchapiwa ni siri ya ndani. Kisha ushaambiwa kumchunguza bata humli.


Kwa kifupi, ulichokitaka umekipata baada ya kupekua simu yake.

Huna kudu bloo
Kwa hiyo mkuu ukikuta bi dada amemtunuku mchepuko tigo na tena kumbe ashaliwa sana na mchepuko bila ww kujua na wamepanga siku ya kwenda kuliwa jicho tena ww utanyamaza kimyaa? Jua kitu kimoja mkuu kwa sisi wanaume si wote wenye tabia za kupenda penda hovyo kuna mwingine akipenda mmoja ndo huyo huyo sasa unakuta bi dada ndo kivuruge sasa hapo kuvumilia kupo kweli?
 
Ewaaa moyo wako moyo wangu mpe lesson ahisi tofauti ya kuwa mkweli na muongo. BIG UP
 
Think twice Man, i know it hurts but you don have to go that far, as you said the gal loves you, you shuldave sit down and talk abt it jus u n her....

This is life Man don be a killer, just wait and let a Karma do a job.

Dedication Song: MAN DOWN by Rihanna.
Aisee mna maneno ya kupoza nyie viumbe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kademu kakijinyonga u will regret, hiyo dhambi utawakimbia ndugu zako wote
Akijinyonga mkuu si ujinga wake mwenyewe huyo demu? Je mkuu mleta uzi angejinyonga kwa kukuta txt za huyo bi dada?bi dada si ndiyo angepata uhuru kabisa wa kwenda kwa msela atakavyo hebu msiangalie upande mmoja tu .
 
Nafikiri kesho tarehe 7,ndio kuna update ya story yako
 
Back
Top Bottom