Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Mmh yaani nikupende, nikujali na kukugharamia halafu UNIZINGUE...Sina muda wa kulipa kisasi.
Kisasi ni juu ya Mungu..huna haja ya kuhangaika.
Mungu mwenyewe huwa analipa,ni suala la muda tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa sikubaliani na wewe mmeachana iyo imeisha mambo yakuanza kuongea naye yanatoka wapi(nasikiaga mnasema et hatukuachana kwa ubaya) mi naona mkishaachana kila mtu ashike njia yake,alafu msimamo wake ni mzuri kwa sababu kama angeendelea kuwasiliana nae mdada angejipa matumaini kwamba uwenda siku moja akanirudia(angeendelea kijipotezea mda)Anyway, kumuacha ilikuwa sahihi kabisa. Kisasi kilipaswa kuishia hapo.
Ila kuendelea kung'ang'ania kutomsamehe na kukubali kuongea naye ni udhaifu mkubwa sana..
Ugumu ni kukubali kuongea naye kwa manufaa ya akili na afya yake lakini kutokuwa tayari kabisa kuwa kwenye mahusiano naye..
Lakini wewe hukuwa tayari kwa sababu ni udhaifu wako uliamini ukidiriki kuongea naye basi ungerudiana naye.
Kisasi Ni juu ya Mungu...sina muda wa kulipa kisasi,Mmh yaani nikupende, nikujali na kukugharamia halafu UNIZINGUE...
Dah mi adhabu yangu hata sio kubwa Ila ni Kukufanya malay* tuu.
Yaani nitasugua hiyo mbususu bureee na sikupi tenaa hata 100 nyeusi.
Ukiona unasuguliwa na uhudumiwi Tena then jiongeze.
Siku UKIJIFANYA eti umenifumania wewe, hapo ndio nitakuchana ukweli na itakua mwisho wetu.
Ukiwa mbishi basii nitaendelea Kukufanya fuc* mate, ukichoka utajiondoa maishani mwangu.
#YNWA
Mkuu please endeleza mkasa, tupo tunakungojea wewe tuMama wa binti alinipigia simu muda huo ni mwaka hivi umepita, akawa anasema kuna mwnaume amepatikana wa kumuoa binti yake ila binti hatak anaogopa usije ukaamua kumsamehe alafu ukarudi ukakuta ameolewa maana bado ananisubirj, hivyo anaomba niongee naye nimwambie nimeshaoa ikiwezekana mama atafinance ipatikane hata picha kwamba nimefunga ndoa alafu nimtumie binti ili moyo wa binti ukubali kuniachia, nikakataa. Akawa analia sasa yule mama kwenye simu, anaongea huku analia, daah huruma ikanijia hapa, nikamwambia sawa, sitaki afinance chochote ampelekee binti simu nitaongea naye na kama haamin hizo picha mimi nitamtumia, baadae nikaona sina sababu ya kumuonea huruma yule binti nikawaza nimpige tukio lingine hapa.
Nikawaza nimuite Yule binti ambaye ni rafiki yake aje, twende kwenye maduka ya nguo za harusi tukodi nguo ili tupigie picha alafu tuzitume hizo picha azidi kuonja joto la jiwe, nikiwa katikati ya mawazo hayo nikaona nimshirikishe yule mshkaji wangu hili wazo, jamaa alinisihi sana nisifanye hivyo akasema ninakoenda huko naenda kumpoka shetan majukumu yake namim ndo nitakalia kiti cha shetan sasa, maana shetan mwenyewe hayupo km mim endapo nitafkia huko.
Nikapima nikaona niachane na hiyo kitu, nikaongea na binti akawa anazid kuomba msamaha na haamin km ile anayoisikia ni sauti yangu eti, nakamwambia nishakusamehe ila mapenz mim nawew hakuna tena, nimekupigia simu hii baada ya mama yako kuniambia hutaki kuolewa eti unanisubiri mimi, nikamweleza mim nimeshaoa tayari na haiji kutokea ukaishi namimi tena, akajiliza liza pale akasema haamin hadi aone picha za harus labda ataamini, nikafanya mchakato wa hizo picha baada ya siku 2 nikamtumia.
Akasema ananipenda sana, na hana jinsi tu lakin yupo tayari awe mke wa pili au haya mchepuko kwangu kuliko kuolewa na mwanaume mwingine, nikamuona hanazo kabisa, nikaachana naye, nikamwambia mama yake nishafanya alichoniomba kufanya so naamin binti yake sas ataishi kwa amani alinishukuru sana. Nikamwambia fresh, akataka kunilipa nikamwambia aachane na hilo wazo la kipuuzi.
Maisha yakaendelea, nikasahau kabisa habari za yule binti ila alikuwa haishi kunitumia tumia msg, miaka takriban miwili ikapita nikapata mchongo fulan hivi kwenda Sweden kwa miezi minne, hiyo ilikuwa mwaka jana sasa mwezi wa 3, mwezi wa saba nikarud kuendelea na majukum yangu km kawaida. Nikawa naishi maisha yangu, fresh tu. No dem wala nin hapo.
Sasa nikasema nilete mrejesho mwaka jana hiyo baada ya kuona mambo yametulia tu fresh, nikaona sio poa kuwa kimya huku JF.. nilipanga kesho yake nianze kuandika sasa, usiku ule nikapokea simu, ni ya mwanaume aliyejitambulisha kuwa ni wa mume wa yule binti...
ITAENDELEA...
Tutashukuru sana mkuu [emoji120]Ok, nitaandika moja na kumaliza kila kitu
Kumbuka kuwa,mtu asiyesamehe na yeye hatasamehewa,hilo tendo ukilifanta utaishia kuwa mgonjwa milele moyoni mwakoKwa ufupi hii ni taarifa tu, so ushauri wako hautabadili chochote wala kuongeza chochote, vipi lakin uzima upo??
Ni hivi, mi huwa siumizwi alafu anayeniumiza akabaki salama, nikiumizwa mi nakuumiza mara 10 alafu fresh, maisha yenyewe mafupi haya, mi niwe na stress alafu wew ucheke ili kiwe nini... sipendagi ubwege kabisa, na nitabaki kwenye kumbukumbu zako milele ukijifanya kuniletea habari za ajabu..
Miez 8 iliyopita nilidate na dada mmoja hivi mrembo, height moja hivi mauzo sana na mzigo wa kuvuta huko nyuma haukuwa haba, kifupi mvuto wa yule dem hauna shaka, kama ni maksi basi A ya 95+... mapema nikamwambia mambo ya kiboya sitaki, km utacheat jitahidi nisijue, nikijua umeumia....Akajifanya hadi kulia pale kwamba ananilove nyang'anyang'a na kamwe hakuna mwanaume kama mimi, nikasema poa but take my words ukinizingua hutoamini nitakachokufany, na km hunitaki niache uende, na kama pia itakuw mechi za dharula tu alafu kimya tuambiane, moyo wangu hauchezewi.. akasema nisiwe na shaka ananipenda, nikasema poa.
Tabia yangu ni kwamba kamwe siwezi kuwa na mpenzi zaid ya mmoja kwa wakati mmoja, so nikiwa na mmoja huyo huyo. Sasa mwezi mmoja nyuma nikausoma mchezo dizain kama demu wangu analiwa hivi, sikumuuliza, nikakomaa hadi nikapata password zake facebook na insta.. nikazama inbox yake, daah ni balaa tupu, ashapigwa mashine na mshikaji mmoja hivi, then jamaa dizain kama anakomaa naye amle 0715 hiv sema demu anabana.. text yake hii hapa..
"Baby naridhika sana nawew, ila unanibania side B, nyimbo za side A zote nimeskiliza why uninyime za side B mpenz?, kama side A nilsikilza kwa elfu 70 bas side B lazma dau lipande.. nielewe bas"
Demu akajibu..
"Mi nina mtu na tuna malengo je akigundua na kuniacha itakuwaje"
Jamaa..
"Hawezi gundua, kwani huwa anakagua huko, ila navyokujua huwez nibania.. nitakutoa out ukafanye shopping ya maana, na nitakutumia 100,000 kesho"
Demu...
"Mmh poa tutaangalia tukikutana tar.22 jamaa akiondoka kama tulivyopanga".
Zipo nyingi nying but hizo kiufupi,....
Mimi kwa huyu demu..., nampa nachopata, najinyima sana apate yeye, nishamtoa shopping za maana mara kibao na tayari nishaandaa pesa nzuri tu kwa ajili yake, Krismass na mwaka mpya, maana tar.hizo sitakuwepo kutokana na majukum ya kazi yangu, nammudu kiujumla, nguo, usafiri, pesa ya kula, malazi nafanya mimi.. yeye hana chochote zaid ya gamba lake la diploma. Muda wote huo sina demu zaid yake.. na on bed naperfom fresh hadi anaomba poo yeye..
Nilichokifanya baada ya kugundua hilo, nimescreenshot charting zote hadi picha walizopiga wakiwa lodge wametumiana kupitia fb messenger nimejitumia kwenye simu yangu, then nimeuchuna.. kifupi tayari nimeshampiga chini ila siwez kumwambia tuachane kiboya boya hiv bila yeye kuonja joto la jiwe kidogo, na kamwe sitafanya naye mapenz tena.. ambacho kimebaki kwake ni kumpa kidonda cha milele..
Ifahamike ananipenda japo tamaa anazo, ashanitambulisha kwa rafiki zake wote, dada yake, hadi mama yake.. kifupi anaitwa mrs mimi... na uchafu anaoufanya ni siri kubwa sana na ndo maana anatumia fb messenger maana anajua siwez hisi chochote huko.. tayari tarehe ya kupeleka barua ishapangwa, tarehe 07 jan... mashangazi zake wote wanajiandaa kwa tukio hilo.. upande wetu pia tunajiandaa..
Nataka nifanye nini?? Siku hiyo ya tukio la kwenda kwao kujitambulisha rasmi ndo siku yangu ya kumuumiza, maana kwao anaaminika sana, anaimba kwaya kanisan, ana vyeo vingi ving vya huko kanisani.. na huwezi mzania hata kidogo kama ni mshenzi.. siku hiyo mbele ya Mchungaji wake, ndugu zake, mama ake, mashangazi na marafiki zake wakiwa na smartphone zao naenda umiza mtu vibaya sana, sio kwamba nitampiga hapana, ila nataka nimafanyie tukio ambalo litaweka maumivu ya kudumu kwenye moyo wake na kamwe hatokuja nisahau..
Tarehe 7 january, save the date....
USIPOTEZE MUDA KUNISHAURI CHOCHOTE, HUWA NIKIPANGA SIPANGUI..
Umechepuka nikagundua nikupa ukweli Mimi na wewe basi.Kisasi Ni juu ya Mungu...sina muda wa kulipa kisasi,
Hiyo revenge yako itaapply kwa watu wenye tabia za kimalaya..ila kwa wengine lazima ufeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi huo muda wa kuchepuka sina.Umechepuka nikagundua nikupa ukweli Mimi na wewe basi.
UKIJIFANYA kulialia nakupokea Ila ndio utasuguliwa tu mbunyee.
Yaani na mimi nakua kama wewe, nagongana na wengine kimya kimyaa.
Mpaka unakuja kugundua kwamba NAKUFANYA malaya USHAPOTEZA MUDA.
sitokwambia kuwa wewe malaya Ila utashangaa tu, ukiniomba hela sina, ukitaka kuja kwangu nakukaribisha.
Mpaka kuja kugundua nimekuweka fuc* mate lazima uumie na ndio itakua revenge yangu hiyo.
#YNWA
Endelea mkuuuMama wa binti alinipigia simu muda huo ni mwaka hivi umepita, akawa anasema kuna mwnaume amepatikana wa kumuoa binti yake ila binti hatak anaogopa usije ukaamua kumsamehe alafu ukarudi ukakuta ameolewa maana bado ananisubirj, hivyo anaomba niongee naye nimwambie nimeshaoa ikiwezekana mama atafinance ipatikane hata picha kwamba nimefunga ndoa alafu nimtumie binti ili moyo wa binti ukubali kuniachia, nikakataa. Akawa analia sasa yule mama kwenye simu, anaongea huku analia, daah huruma ikanijia hapa, nikamwambia sawa, sitaki afinance chochote ampelekee binti simu nitaongea naye na kama haamin hizo picha mimi nitamtumia, baadae nikaona sina sababu ya kumuonea huruma yule binti nikawaza nimpige tukio lingine hapa.
Nikawaza nimuite Yule binti ambaye ni rafiki yake aje, twende kwenye maduka ya nguo za harusi tukodi nguo ili tupigie picha alafu tuzitume hizo picha azidi kuonja joto la jiwe, nikiwa katikati ya mawazo hayo nikaona nimshirikishe yule mshkaji wangu hili wazo, jamaa alinisihi sana nisifanye hivyo akasema ninakoenda huko naenda kumpoka shetan majukumu yake namim ndo nitakalia kiti cha shetan sasa, maana shetan mwenyewe hayupo km mim endapo nitafkia huko.
Nikapima nikaona niachane na hiyo kitu, nikaongea na binti akawa anazid kuomba msamaha na haamin km ile anayoisikia ni sauti yangu eti, nakamwambia nishakusamehe ila mapenz mim nawew hakuna tena, nimekupigia simu hii baada ya mama yako kuniambia hutaki kuolewa eti unanisubiri mimi, nikamweleza mim nimeshaoa tayari na haiji kutokea ukaishi namimi tena, akajiliza liza pale akasema haamin hadi aone picha za harus labda ataamini, nikafanya mchakato wa hizo picha baada ya siku 2 nikamtumia.
Akasema ananipenda sana, na hana jinsi tu lakin yupo tayari awe mke wa pili au haya mchepuko kwangu kuliko kuolewa na mwanaume mwingine, nikamuona hanazo kabisa, nikaachana naye, nikamwambia mama yake nishafanya alichoniomba kufanya so naamin binti yake sas ataishi kwa amani alinishukuru sana. Nikamwambia fresh, akataka kunilipa nikamwambia aachane na hilo wazo la kipuuzi.
Maisha yakaendelea, nikasahau kabisa habari za yule binti ila alikuwa haishi kunitumia tumia msg, miaka takriban miwili ikapita nikapata mchongo fulan hivi kwenda Sweden kwa miezi minne, hiyo ilikuwa mwaka jana sasa mwezi wa 3, mwezi wa saba nikarud kuendelea na majukum yangu km kawaida. Nikawa naishi maisha yangu, fresh tu. No dem wala nin hapo.
Sasa nikasema nilete mrejesho mwaka jana hiyo baada ya kuona mambo yametulia tu fresh, nikaona sio poa kuwa kimya huku JF.. nilipanga kesho yake nianze kuandika sasa, usiku ule nikapokea simu, ni ya mwanaume aliyejitambulisha kuwa ni wa mume wa yule binti...
ITAENDELEA...
FINTUENDELEE...
Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.
Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.
Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.
Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.
Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.
Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.
MWISHO,
Ngoja nimpelekee hii story JbTUENDELEE...
Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.
Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.
Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.
Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.
Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.
Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.
MWISHO,
Hongera kwa msimamo! Forgiveness is for the weak!!! Ni either revenge au kupotezea( ghosting, cutting off). Naona wengine bado wameshikilia mafundisho yao ya sunday school hahaahaaaNimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.
MWISHO,