Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

TUENDELEE...

Baada ya binti kufika kwa wazazi wangu, akajieleza jinsi anavyopata shida na hawezi kuishi bila mimi, jinsi malengo yake yalivyokufa na maisha yake yalivyobadilika. Mzee akanipigia simu na kunieleza ujio wa yule binti pale nyumbani, nikamwambia ampeleke polisi arudi kwao sina muda wa kupoteza kuongelea kitu ambacho jibu lake linajulikana.

Mzee na Bi mkubwa wakaniomba sana niende pale home tukaongee, kwa heshima ninayowapa wazazi wangu ikabidi niende, mzee akawasiliana na wazazi wa binti kuwapa taarifa kwamba binti yao yupo pale, mama wa binti akajipanga kuja kumuona bint yake, baada ya siku 2 nikaenda hom, nikakuta mama wa binti yupo pia, baada ya kufika binti akaanza kuangua kilio akisistiza asemehewe, akaomba km itashindikana kbs basi aishi namim km mfanyakazi wangu hata wa ndani, alikuwa anaongea upuuzi.

Tukawa na kikao kifupi, nikaongea wazi kwamba ukurasa wa yule binti nimeufunga, hana nafasi tena kwangu kwahiyo mama amchukue mwanae arudi naye kwao, akaolewe na wengine huko ila kamwe haiwezi kuwa mimi, hapakuwa na jinsi zaidi ya kukubaliana na msimamo wangu, mama yake akaomba basi niwe angalau naongea na binti yake japo awe ananiskia, nikaona ni ujinga wa hali ya juu mimi kufanya hivyo, nikakataa kufanya huo upuuzi.

Kwa shida shida binti ikabidi aondoke na mama yake kurudi kwao, lakin bado hakua na amani, wakat anaondoka pale alijua nipo Tanga na nafanya kazi na taasisi gani. Alipofika kwao bado hakuwa na utulivu wakat wote alikuwa analia na alipoteza hamu ya kula, akazidi kukonda, habari ile ilikuwa pia imeenea kwahiyo aibu nayo ikawa inamtesa, nikarudi zangu Tanga kuendelea na majukumu mengine.

Mzazi wa yule binti aliongea na mzee akapata namba yangu ya simu akawa ananipigia na kuniomba sana nimsamehe mwanawe maana maisha ya binti yake yamebadilika na yeye km mama anajiskia vibaya sana, akaomba niseme hata kiasi cha pesa ili akilipe km fidia ya ufusika wa binti yake, nikakataa. Akawa ananipigia simu mara kwa mara na ananisistiza kwamba amefanya kila kitu kuhus binti yake lakn hakuna improvement na hakuna namna ya binti yake kuwa sawa zaidi ya mimi kuwa naye karibu.

Nikawa naona ananipigia kelele, sirudigi nyuma, maisha yakaendelea. Nikiwa Tanga naendelea na majukumu yangu nikapigiwa simu na baba wa binti, akaniomba niseme nilipo ili aje tuongee ana kwa ana km wanaume, nikakataa, nikamwambia aongee kwa simu tu tena dk chache, akaniomba kiume kwamba habari za kumuoa binti yake najua haiwezekani tena lakin wao km wazazi wananiomba niwasaidie kt kumfanya yule binti awe sawa, maana wao wamefany kila kitu lakn imekuwa ngumu kwa binti kuwa sawa, nikaona upuuzi, hainihusu chochote. Nikamkatalia.

Ikapita miezi km 3 hv nikiwa tu napokea msg mara kwa mara kutoka kwa wazazi wa binti, nikawa sizijibu. Baadaye nikaoata mapumziko ya kama wiki 2 hivi nikarudi dsm kupumzika. Wiki ya kwanza ikaisha vizuri ila wiki ya 2 ya mapumziko nikapata ugeni pale hom kwangu, ni aliyekuwa rafiki wa karibu na binti, alisema alikuwa anakuja mara kwa mara pale hom kunibahatisha maana hata namba za simu zilikuwa hazipatikani so safari hii ameshukuru kunikuta, akaomba tuongee, nikamwambia poa.

Kwa kuwa nilitoka muda mrefu sana hom, nyumba ilikuwa chafu sana, akafanya usafi akapika, tukiwa tunakula mazungumzo yakaanza...

ITAENDELEA.

Mrejesho: Sehemu ya nne
Wewe jamaa Mimi Nina roho ngumu. Na wanawake wapuuzi siwapendi hata akiwa mama yangu mzazi. Ila hii yako sio roho ngumu Ni roho hatari. Na sio mfano wa kuigwa [emoji23][emoji23]

Kuwafanyia jeuri Hadi wazazi huo Ni ungese. Maana Kama kumdharirisha ulisha fanya ila ulicho kuwa unataka Ni kumuua kabisa.

Na naamini hata Kama alikukosea kwa ulicho mfanyia umezidisha na utalipwa na wewe
 
TUENDELEE...


Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.

Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.

Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.

Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.

Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.

Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.

MWISHO,
Mkuu we kabila gani eti?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Una roho mbaya shetani anasubiri.Sijui wewe ni mpagani maana hata neno la msamaha kwako limekupita kushoto utadhani hujawahi kutenda dhambi.Wanawake wenzangu ombeni sana Mungu msipate na mijianaume kama hii haishindwi kukuchoma na gunia tano za mkaa.Kisasi gani hicho kisichokwisha?
 
Una roho mbaya shetani anasubiri.Sijui wewe ni mpagani maana hata neno la msamaha kwako limekupita kushoto utadhani hujawahi kutenda dhambi.Wanawake wenzangu ombeni sana Mungu msipate na mijianaume kama hii haishindwi kukuchoma na gunia tano za mkaa.Kisasi gani hicho kisichokwisha?
Unaolewa lini dada.?
 
Una roho mbaya shetani anasubiri.Sijui wewe ni mpagani maana hata neno la msamaha kwako limekupita kushoto utadhani hujawahi kutenda dhambi.Wanawake wenzangu ombeni sana Mungu msipate na mijianaume kama hii haishindwi kukuchoma na gunia tano za mkaa.Kisasi gani hicho kisichokwisha?
Amefanya vema wanaume wote tukubaliane kufanya hivi msitufanye maboya
 
TUENDELEE...


Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.

Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.

Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.

Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.

Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.

Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.

MWISHO,
Nikiwa mkubwa nataka niwe na msimamo kama wewe bro.

Ume ni inspire, wewe unafaa kuwa 'rolimodo'.
 
TUENDELEE...


Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.

Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.

Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.

Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.

Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.

Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.

MWISHO,
Wewe ndio shujaa wa afrika sio jiwe
 
Back
Top Bottom