Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

TUENDELEE...


Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.

Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.

Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.

Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.

Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.

Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.

MWISHO,
Ebhana eeh hii stori pekee ambayo toka nijiunge na jamii forum imenisisimua sana na kujiona mimi kumbw nafanana
akili na huyu jamaa... hongera sana mkuu.., nina iman wewe ni mshabiki wa hip hop
maana ungekuwa sio mtu wa hip hop usingeweza kukaza kiasi icho.
 
.
Screenshot_20210515-193006.jpg

Cc: KOROE
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi siwezi.

Na wewe willingly kabisa unaenda chovya kwa mwanamke mwingine kweli!

Hata sisi tuna mioyo ya nyama,hatuna mioyo ya chuma ama mbao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naweza nikaamua nikala then nikasepa,dah ila mwanamke wangu kweli aliwe siwezi samehe.
Wewe ukitoka na mtu utatoka nae tena
 
Mimi naweza nikaamua nikala then nikasepa,dah ila mwanamke wangu kweli aliwe siwezi samehe.
Wewe ukitoka na mtu utatoka nae tena
Hata yeye anaweza akaliwa na akasepa.

Usitende yale usiyopenda kitendewa na mwenzio.

Ukitaka mtu mwema basi Anza wewe kuwa mwema.

Hakuna mwenye uhalali wa kutenda dhambi,awe mwanamke au mwanaume.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata yeye anaweza akaliwa na akasepa.

Usitende yale usiyopenda kitendewa na mwenzio.

Ukitaka mtu mwema basi Anza wewe kuwa mwema.

Hakuna mwenye uhalali wa kutenda dhambi,awe mwanamke au mwanaume.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi sana mama,ila always mwanamke ndo rahisi sana kutoka nje ya mstari.
 
Kuna watu humu wananiita mimi katili lakin wanasahau ukatili niliifanyiwa na huyu binti, mazee huyu binti nimewahi kumpa million 1 na laki 2 kwaajili ya kumsaidia kweny msala fulan, nikiona itafaa nitaujumuisha huko mbele. Nilimpenda na kumpa good life la viwango vya juu. Acheni nyie
Achana nao hao mafala

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
TUENDELEE...


Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.

Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.

Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.

Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.

Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.

Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.

MWISHO,
Usisahau kuleta mrejesho

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Wewe jamaa Mimi Nina roho ngumu. Na wanawake wapuuzi siwapendi hata akiwa mama yangu mzazi. Ila hii yako sio roho ngumu Ni roho hatari. Na sio mfano wa kuigwa [emoji23][emoji23]

Kuwafanyia jeuri Hadi wazazi huo Ni ungese. Maana Kama kumdharirisha ulisha fanya ila ulicho kuwa unataka Ni kumuua kabisa.

Na naamini hata Kama alikukosea kwa ulicho mfanyia umezidisha na utalipwa na wewe
Hakuna atakacholipwa maana alishamuachia Yule demu moyoni

Ulitaka warudiana nae ili weje

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom