Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

TUENDELEE...


Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.

Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.

Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.

Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.

Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.

Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.

MWISHO,
Ila we jamaa ikitokea nafasi kule ukanda wa Gaza omba, tena utapewa cheo ndani ya wiki moja!! Nna misimamo ila hii yako imepitiliza...

NB: Kamata huyo rafiki yake weka ndani
 
Kuna watu humu wananiita mimi katili lakin wanasahau ukatili niliifanyiwa na huyu binti, mazee huyu binti nimewahi kumpa million 1 na laki 2 kwaajili ya kumsaidia kweny msala fulan, nikiona itafaa nitaujumuisha huko mbele. Nilimpenda na kumpa good life la viwango vya juu. Acheni nyie
Mkuu achana nao ni wapuuzi hawajui mapenzi yanavyouma, haswa kwa mtu ulompenda na kujitolea kwake kw moyo wote.
 
Una roho mbaya shetani anasubiri.Sijui wewe ni mpagani maana hata neno la msamaha kwako limekupita kushoto utadhani hujawahi kutenda dhambi.Wanawake wenzangu ombeni sana Mungu msipate na mijianaume kama hii haishindwi kukuchoma na gunia tano za mkaa.Kisasi gani hicho kisichokwisha?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi nina misimamo ya hatari ila wewe ni kiongozi wetu. Sheria yangu namba moja kwenye mahusiano, ni nikijua kwa kuproove kwamba umetoa mbwa nje wakati tupo kwene relationship na mimi nakupiga chin na siji kukusamehe, sababu usaliti haunaga bahati mbaya kama mtu kakusaliti ni alikuwa msaliti toka mwanzo, na stail yangu ya kuacha ndio mbaya, simu zako napokea msg najibu ila mapenz hayapo tena na nakubadilishia code tu ya mazingira nayo kaa yan huwez kuja ukanikuta mwenyewe ntatafuta hata ndugu zangu wawili waje wakae kidogo ila we ukija unawakuta na haupati muda wakuwa na mimi alone sikuchukii ila nakuwa sikupend so hata kunyanduana inakuwa haipo, hela sikupi tena yan hata ukiomba hela mwisho wa mwezi unapigwa kalenda, sipend UPUUZ MIMI.
 
Una roho mbaya shetani anasubiri.Sijui wewe ni mpagani maana hata neno la msamaha kwako limekupita kushoto utadhani hujawahi kutenda dhambi.Wanawake wenzangu ombeni sana Mungu msipate na mijianaume kama hii haishindwi kukuchoma na gunia tano za mkaa.Kisasi gani hicho kisichokwisha?
Ndo mtulizane
 
Una roho mbaya shetani anasubiri.Sijui wewe ni mpagani maana hata neno la msamaha kwako limekupita kushoto utadhani hujawahi kutenda dhambi.Wanawake wenzangu ombeni sana Mungu msipate na mijianaume kama hii haishindwi kukuchoma na gunia tano za mkaa.Kisasi gani hicho kisichokwisha?
Waombee pia na wanawake wengine wasigawe side B kwa tamaa ya Laki na anajua kabisa ana mchumba ambaye yupo kwenye process za kuoa,

Wachague moja kudanga au kuolewa- hupaswi kiwa kotekote.

Kiufupi kuishi na mtu kama huyo harafu anajiita mlokole ni hatari sana, ana uwezo wa kukill , hata kukuambukiza magonjwa
 
Hapana aisee misimamo mingine haina mana, na ni ukatili dhidi ya ubinadam, mwanamke kama unampenda kwanini umchunguze sana?
Haha haha mkuu, we bado sana ipo siku huyo unayempenda, na kwakuwa umeshamzoea
likitokea jambo fulani utaanza kuhisi mbona sio kawaida yake na hapo ndipo uchunguzi huanza...

Binadamu wote tumeumbwa na uchunguzi au udadisi, so Mkuu sioni unachojaribu kutetea.
 
Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.


MWISHO,
Nice! Msimamo wako ni mzuri mkuu na pia ndio silaha yako, kwahiyo itumie kwa umakini sana maana inaweza ikapiga pande zote kama mtu
atakuzidi hatua.

Alafu pia, siku ukiingia kwenye mahusiano na huyo rafiki yake itakuwa umejitia kitanzi mwenyewe, na ni mfano mzuri ambapo silaha yako inaweza kutumika dhidi yako. Ameshakujua wewe ni mtu wa aina gani kwahiyo siku ikitokea na yeye ameteleza kivyovyote, kunauwekano mkubwa wa yeye kufanya kila aliwezalo ili usijue na ikitokea akahisi unaweza kujua kwa njia yoyote ile basi hatakuwa na budi ya kufanya 'chochote kile' kuhakikisha na yeye hapotezi kama ilivyotokea kwa rafiki yake.

All the best.
 
Watu wanamuona mleta mada katili kwasababu ya emotional feeling zao zimewachota kwenye hii story waamnini hivyo,
yani walitaka kuona Happy ending kwa huyo binti ndio wafurahi...

nilichogundua kutoka kwa wadau ni hiki:
Mchumba wako unayemchumbia,kumuhudumia .. akikucheat Ni jambo la kawaida humu kwa wengi

Kunasa taarifa za makubaliano ya mchumba wako kutatka kufanya mapenzi kinyume cha maumbile - hili nalo sio jambo la kutisha humu watu wanaona ni kawaida sana..


Mwanamke wa hivi hafai kuwa mama wa familia

Anafaa kuwa mdanganji tu!

Hakuna ukatili wowote jamaa alioufanya zaidi ya kuonyesha uthibitisho kuwa convice wazazi ambao walikuwa wakimsikiliza binti wa kilokole mwana kwaya, akikana hajawahi kufanya hayo makosa...

Mwenzie yupo busy anahangaika na ishu za posa na washenga..
Yeye yupo busy na free data ya fb messenger anauza side A elfu70, side B wame bid kwa Laki...
life is not fear!
 
We boya tu
Pamoja na mapungufu yake bora huyo binti hakuolewa na wewe, kama alikumiza wewe iweje uwaumize Hadi ndugu zake, utalipa kwa uliyofanya.
Alifanya ukatili sana ategemee malipo na yeye kwann hakumuacha tu na maisha yake? Atakuwa na matendo magumu sana atajikuta anaoa kila siku......anafanya ivo ukute ata mtu anayemuita baba ake sio biological faza ata maza ake alikuwa na mazambi vilevile
 
Back
Top Bottom