Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiiiii hahahahHalafu ukute wewe ndio yule mwamba ulikuwa ukimchatisha binti wa jamaa kule fb[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nimendika hivyo??Kwa hiyo ww dada mumeo akichepuka na ww unachepuka??
Au ndio Mambo ya 50/50
HahahhaAlikuwa hana budi kuthibitisha umma ujue uchafu wa binti..kama mbele ya watu binti aliambiwa aeleze wazi alikuwa na mahusiano na raia gani akagoma kuwa mkweli vipi kama angembiwa kimya kimya..nani angesadiki kama ni kweli binti mlokole anafanya uhuni huo
Hakuna ambaye angemuamini jamaa kama anasema ukweli..hiyo ndio dawa yake msaliti amefanya kichakani unumuumbua hadharani tena naona kama jamaa ana moyo wa upole sana adhabu zangu ninazotoa kwa huyu mwamba naweza kusema kwangu ni mwanafunzi wa chekechea
Ngoja tumwambie mtoa mada aweke namba za mwamba aliyemchania mkeka kwa binti[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiiiii hahahah
Sio mimi buanaaaaaNgoja tumwambie mtoa mada aweke namba za mwamba aliyemchania mkeka kwa binti[emoji1787]
Yawezekana ni wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikihisi ujinga ujinga lazima nimchunguze. Ukiwa zoba utalea watoto wa wenzio ama utaletewa magonjwa ndani ya nyumba.Hapana aisee misimamo mingine haina mana, na ni ukatili dhidi ya ubinadam, mwanamke kama unampenda kwanini umchunguze sana?
Si ajabu sana kwa mwanaume kuchepuka..ila ni jambo la ajabu sana kwa mwanamke niliyemuoa kwa mahari na mimi ndo ninayemtunza achepuke hadi mimi nijue..aisee halivumiliki.Cha ajabu mnaotoa haya maneno nyie wenyewe ni wachepukaji wazuri.
Mngekuwa waaminifu kama mtoa mada angalau maneno yenu yangesound ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa na guess tu.Sio mimi buanaaaaa
[emoji44][emoji44]mwanaume kuchepuka si ajabu???[emoji134]Si ajabu sana kwa mwanaume kuchepuka..ila ni jambo la ajabu sana kwa mwanamke niliyemuoa kwa mahari na mimi ndo ninayemtunza achepuke hadi mimi nijue..aisee halivumiliki.
Baadhi ya wanawake wanavumilia watoto wa nje wa mume,lakini embu na wewe jichanganye uzae nje then umwambie ukweli mumeo.
50/50 kwenye ndoa hilo halipo na ukitunisha msuli utaumia labda tu uwe na mume asiyejielewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana kabisaaNilikuwa na guess tu.
Unaweza kuwa unashabikia hapa halafu bila kujijua unajikuta ni wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
TobaaaaaSafi sana...una roho kama yakwangu,manbo yakisenge senge hakuna kuyachekea
Umetisha sana mkuu,big up
Jamaaa moja kwa moja tumpe uwenyekiti wa watu wenye misimamo yao. Nimemwelewa sana huyu mwambaNikiwa mkubwa nataka niwe na msimamo kama wewe bro.
Ume ni inspire, wewe unafaa kuwa 'rolimodo'.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana kabisaa
Mungu hakuwepo siku ya kikao mkuu waliokuwepo walihitaji ushahidi na Mungu asingewapa isipokuwa mtendewaAngemuacha tu bila kwenda huko kwao.
Anayejua ukweli ni Mungu,kitu kama ni cha kweli,huna haja ya kuprove sana kwa watu maana Mungu anajua yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Et kuna viumbe utasikia....Safi sana...una roho kama yakwangu,manbo yakisenge senge hakuna kuyachekea
Umetisha sana mkuu,big up
maneno yapi yanaumba?Jamaa hajasema kwamba atapata ajali kweli.
Mimi sijasema kwamba atapata ajali kweli.
Jamaa amesema kwamba maneno huumba
Na mimi nimesema kuwa kusingizia mambo ya ajali si vizuri.
Hakuna sehemu tumesema atapata ama hatapata,acha upuuzi[emoji23][emoji23](in Koroe's voice)
Sent using Jamii Forums mobile app
Amepita bila kupingwa.Jamaaa moja kwa moja tumpe uwenyekiti wa watu wenye misimamo yao. Nimemwelewa sana huyu mwamba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Mungu hakuwepo siku ya kikao mkuu waliokuwepo walihitaji ushahidi na Mungu asingewapa isipokuwa mtendewa
au unless waliokuwepo wote wana moyo wa kinabii na macho ya rohoni