Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

[emoji44][emoji44]mwanaume kuchepuka si ajabu???[emoji134]
Kwahiyo unataka uhalalishe dhambi ya uchepukaji kwa mwanaume!
Hufai.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo la kawaida sana. Mwanaume akitulia sawa ila akichepuka sio ajabu. Ajabu ni mwanamke kutoka nje ya ndoa yake.

Huwa inashangaza sana.

Hivi wewe leo usikie kuwa mzee wako kachepuka au usikie mama kachepuka ni ipi itakushangaza?
 
[emoji44][emoji44]mwanaume kuchepuka si ajabu???[emoji134]
Kwahiyo unataka uhalalishe dhambi ya uchepukaji kwa mwanaume!
Hufai.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijahalalisha mimi..nimesema kuwa sio ajabu sana.

Mfano

✓Si ajabu sana kwa baba mzazi kurudi usiku amelewa.

✓Ila ni ajabu sana kwa mama mzazi kurudi usiku huku amelewa chakari.

Read between the lines na uweke uhalisia kidogo.
 
Et kuna viumbe utasikia....

Haaa usishindane na mwanamke...mwanamke wa kuacha tuuuu ,mpotezeeee


Maninaaaaaaaaaa



Ingekua ivo, wanawake wasingekua majambazi,.mafisadi n.k
Hawaelewi hao...wanaume wakiamua kuonyesha rangi zao halisi wanawake wa kileo watapata tabu sana,dunia itakua uwanja wa fujo na vilio.
 
Sijahalalisha mimi..nimesema kuwa sio ajabu sana.

Mfano

✓Si ajabu sana kwa baba mzazi kurudi usiku amelewa.

✓Ila ni ajabu sana kwa mama mzazi kurudi usiku huku amelewa chakari.

Read between the lines na uweke uhalisia kidogo.
Ulevi ni ajabu kwa jinsia zote.
Uchepukaji ni ajabu kwa jinsia zote.

Mungu alipoweka amri alitupa wote tuzifuate,hakutoa kwa wanawake tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee mkuu you nailed it..Yani mpaka mwili unanisisimka.Hiki kisa kuna jamaa yangu mmoja ni msanii maarufu sana hapa tz na nje ya nchi.Kisa hiki kilimtokea sema yeye binti alimkataa jamaa na kurudisha mahali ili aolewe na mtu mwingine alitoka nje ya nchi(mbongo) na alikua na uwezo kifedha na akazaa nae mtoto mmoja wa kike.Baadae yule binti akaachika kwa yule jamaa mwingine so akawa hana direction.Ikabidi arudi kwa jamaa yangu akiwa analia anataka kurudiana nae.Jamaa akakaza vibaya mno kama ulivofanya wewe,tatizo hakua na msimamo wa kudumu.Yule demu akatishia kujiua asipomkubalia ombi lake hapo jamaa yangu akategeka na akakubali kuonana na yule binti nyumbani kwa mshikaji(kosa kubwa alilolifanya).Bahati mbaya akafanya nae mapenzi na kufungua ukurasa mpya wa mapenzi,binti akanaswa ujauzito.Wazazi,ndugu,jamaa na marafiki wa jamaa yangu walishamkataa yule binti maana alionesha dharau kurudisha mahali na jamaa alikua process ya mwisho kufunga ndoa.So ilipotokea hivo ikabidi jamaa ampeleke kwa wazazi wake kwa kisingizio cha mimba[emoji16].Kishingo upande wazazi wakakubali na jamaa ikabidi aingie tena kwenye mfumo wa yule binti bila kujua kama ana mtoto.Saizi wanaishi pamoja na kamjengea nyumba huko Kijichi na anakaribia kujifungua,,ila binti ana mambo ya ajabu sana na kamshika sana jamaa hafurukuti wala hamsikilizi mtu yeyote zaidi ya binti(inasemekana jamaa katengenezwa).Nakupongeza kwa msimamo wako japo pale kwenye kushindwa kumla yule rafiki ake binti mimi ningemtafuna siku ile ile ndio mengine yafuate[emoji23]
 
Jambo la kawaida sana. Mwanaume akitulia sawa ila akichepuka sio ajabu. Ajabu ni mwanamke kutoka nje ya ndoa yake.

Huwa inashangaza sana.

Hivi wewe leo usikie kuwa mzee wako kachepuka au usikie mama kachepuka ni ipi itakushangaza?
Yaani mwanaume kuchepuka siyo ajabu???

Nikisikia mtu amechepuka nitashangaa sana bila kujali jinsia yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alo hapo kutomla huyo rafiki yake kayumba...hapo tu lakini
Mimi naona kafanya sawa kabisa. Kajiepusha na mambo mengi. Labda hata binti na wazazi wangekuja kujua kuwa anatembea na rafiki yake na binti wangeweza kudhani labda huyo rafiki yake nae ndio sababu jamaa hataki kusikia kitu. Hiyo ingemletea shida pia huyo rafiki.
 
Yaani mwanaume kuchepuka siyo ajabu???

Nikisikia mtu amechepuka nitashangaa sana bila kujali jinsia yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kushangaa utashangaa. Nimekuwekea mfano hapo lakini. Je ni ipi itakushangaza zaidi?

Yani ipi itakufanya ujisikie aibu wewe kama mtoto kusikia baba yako kachepuka au kusikia mama kachepuka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…