Million dollars
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,508
- 2,068
Wanaume huwa tunaumizwa sana tunapochapiwa wake zetu, tunaona wapenzi wetu wametudharau kwa kiwango cha mwisho. Ndio maana kuna wanaume huwa wanapogundua utapokea kichapo cha mbwa koko na kukuacha au wengine wanafikia hatua ya mauwaji.Mkuu sisi hatujapinga huyo binti kuachwa,usaliti ni kitu kibaya na sidhani kama kuna mtu anatetea usaliti.
Tunachosema sisi ni namna uliyomuacha.
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeeNikukupenda nusu sikupendi jua siku akija naemuelewa nakutema then Mimi nakuambia ukweli kua nna mtu! Sitaki mambo mengi
Tuhadithie kidogo mwamba.Wanaume huwa tunaumizwa sana tunapochapiwa wake zetu, tunaona wapenzi wetu wametudharau kwa kiwango cha mwisho. Ndio maana kuna wanaume huwa wanapogundua utapokea kichapo cha mbwa koko na kukuacha au wengine wanafikia hatua ya mauwaji.
Kwa alichokifanya huyu jamaa unaweza fikiri anamtesa tu huyo Binti kwa anayopitia kumbe anatumikia adhabu ya usaliti wake kihalali - maana alikubali miadi ya kuja kuliwa tigo ki roho safi
Kwa mwanaume maumivu ya kugongewa we yasikie tu kwa wengine, yakikukuta utaona hata yule jamaa aliyemchoma mkewake kwa gunia la mkaa ni kama ile ni adhabu ndogo.
Ilishawahi kunikuta hii kitu, sitaki hata kusimulia.
Wanaongea ongea kwamb mim sijafanya sawa ni mabinti, hawajui maumivu, hasira na uchungu wa demu wako unayempenda na kumpa thaman ya juu kugongwa alafu ukajua, watu huwa wanaua mbona mim kwa nilichokifanya hiki kdg sana, nafaa kupewa Ushemasi kbsWanaume huwa tunaumizwa sana tunapochapiwa wake zetu, tunaona wapenzi wetu wametudharau kwa kiwango cha mwisho. Ndio maana kuna wanaume huwa wanapogundua utapokea kichapo cha mbwa koko na kukuacha au wengine wanafikia hatua ya mauwaji.
Kwa alichokifanya huyu jamaa unaweza fikiri anamtesa tu huyo Binti kwa anayopitia kumbe anatumikia adhabu ya usaliti wake kihalali - maana alikubali miadi ya kuja kuliwa tigo ki roho safi
Kwa mwanaume maumivu ya kugongewa we yasikie tu kwa wengine, yakikukuta utaona hata yule jamaa aliyemchoma mkewake kwa gunia la mkaa ni kama ile ni adhabu ndogo.
Ilishawahi kunikuta hii kitu, sitaki hata kusimulia.
We chepuka tu kisha mumeo ajue ndio uje utusimulie,.Tuhadithie kidogo mwamba.
Hapo hakuna kisasi kilicholipwa, Kama ingelikuwa Mhusika Kaamua kulipa kwa kuchepuka hicho ndicho Kisasi, Alilofanya Mhusika Ni Darasa Huru. Inabidi Amshkuru Sana Kwa kumnyoosha bara bara.Yeye mwenyewe Mungu amesisitiza kuwa tusilipe kisasi,kisasi ni juu yake mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hakuna asiyejua maumivu ya kusalitiwa..hasa ukisalitiwa na mtu uliyekuwa mwaminifu Kwake..Wanaongea ongea kwamb mim sijafanya sawa ni mabinti, hawajui maumivu, hasira na uchungu wa demu wako unayempenda na kumpa thaman ya juu kugongwa alafu ukajua, watu huwa wanaua mbona mim kwa nilichokifanya hiki kdg sana, nafaa kupewa Ushemasi kbs
Una kamoyo kagumu sio?Lengo lake halikua kutisha mtu bali kumkomesha huyo demu,asa akikutana na ambae hakomesheki inakua ngoma droo!so hata kama wewe hutatishika ni sawa lakini na mimi hutanikomesha!yani we are even,
Yesu wangu[emoji2296]Hapo hakuna kisasi kilicholipwa, Kama ingelikuwa Mhusika Kaamua kulipa kwa kuchepuka hicho ndicho Kisasi, Alilofanya Mhusika Ni Darasa Huru. Inabidi Amshkuru Sana Kwa kumnyoosha bara bara.
Mkuu mimi kufanya usaliti siwezi.We chepuka tu kisha mumeo ajue ndio uje utusimulie,.
Mimi ilinitokea tena kwa mke niliefunga nae ndoa na kumsomesha chuo. Ni ishu ya miaka mitano huko nyuma lakini hasira zangu hata hapa naona zinataka kujirudia upya. Inatosha Siendelei kukuhabarisha.
Bahati mbaya sio mwepesi wa kuandika katika mtiririko mzuri ndio maana nashindwa kuleta hapa labda nipate mtu nimsimulie kisha alete jukwaaniHuyo binti mlokole na kama kweli ameokoka na Roho mtakatifu yupo ndani,,nafsi ingemshuhudia tu!
Hakuna haja ya kutumia nguvu kubwa kutoa proof... Mungu huwa anawasuta watu nafsini.
Kwani kama hujafanya kitu na unajua kama unafanya na Mungu anajua hujafanya ila watu wanabisha na kukutuhumu kuwa umefanya..
Ikiwa Mungu mwenyewe anaujua ukweli na anakuamini,kwanini uwajali watu ambao hawaamini ?
Nje ya mada:
Tuhadithie visa vyako mkuu,tuone na tujifunze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisimulie mimi then nitaileta jumwaani.Bahati mbaya sio mwepesi wa kuandika katika mtiririko mzuri ndio maana nashindwa kuleta hapa labda nipate mtu nimsimulie kisha alete jukwaani
Ni ngum stori ya uongo kuwa ndefu kihivyo, anaweza ongeza vitu vichache tu anaweza kuongezea ka chumvi, na hivi vidogo huwa haviasili storiStroy nzuri, ila kuna kitu kinaniambia ni story ya kweli kingine kinaniambia ni story ya kutunga
All in all hongera mkuu
Binadam wana tabia ya kupenda vilivyovigum kwao kupataDaah uyu jamaa ana roho ngumu mno.
Kisasi gani hicho kisichoisha ulipomuaibisha kwao ilikua imetosha kabisa.
Sa tatizo pia lipo kwa huyo manzi hajui kuacha mtu aende upendo gani huo, au wewe ndo ulimbikiri, yani unamwambia humtaki bado anakuganda namna iyo.
Story yangu inamafundisho makubwa sana kwenu nyie wanawake. Siku nikifurahi nitakuja kuifungulia uzi.Mkuu mimi kufanya usaliti siwezi.
Naomba uendelee kidogo kuelezea yaliyojiri.
Hakuna kisasi hapo, Mbona tendo Jema kabisa La Upendo.Yesu wangu[emoji2296]
Yaani wewe hata kisasi haukioni!
Huyo dem nae mnafki tu, kama anamsaliti rafk yke wa kila cku na wa miaka yote hyo unategemea nnBig up, msimamo ndo kila kitu. Ila huyo demu kula tu, hana madhara, na ikiwezekana weka ndani kabisa maana anajua misimamo yako
uligongewaa mkuuuWanaume huwa tunaumizwa sana tunapochapiwa wake zetu, tunaona wapenzi wetu wametudharau kwa kiwango cha mwisho. Ndio maana kuna wanaume huwa wanapogundua utapokea kichapo cha mbwa koko na kukuacha au wengine wanafikia hatua ya mauwaji.
Kwa alichokifanya huyu jamaa unaweza fikiri anamtesa tu huyo Binti kwa anayopitia kumbe anatumikia adhabu ya usaliti wake kihalali - maana alikubali miadi ya kuja kuliwa tigo ki roho safi
Kwa mwanaume maumivu ya kugongewa we yasikie tu kwa wengine, yakikukuta utaona hata yule jamaa aliyemchoma mkewake kwa gunia la mkaa ni kama ile ni adhabu ndogo.
Ilishawahi kunikuta hii kitu, sitaki hata kusimulia.
Sio sana and siko soft,i have learned life the hard wayUna kamoyo kagumu sio?