Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Safi sana Mkuu KOROE wewe upo kama 100% ila mimi nimekuzidi kidogo. Mimi ningeshusha na kipigo ili kuweka alama ambayo ataikumbuka milele ningekata hata sikio moja ili kila akijiangalia kwa kioo akumbuke! Ulitakiwa umalize na kipigo cha Mbwa Koko
 
Mkuu sisi hatujapinga huyo binti kuachwa,usaliti ni kitu kibaya na sidhani kama kuna mtu anatetea usaliti.
Tunachosema sisi ni namna uliyomuacha.


Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume huwa tunaumizwa sana tunapochapiwa wake zetu, tunaona wapenzi wetu wametudharau kwa kiwango cha mwisho. Ndio maana kuna wanaume huwa wanapogundua utapokea kichapo cha mbwa koko na kukuacha au wengine wanafikia hatua ya mauwaji.

Kwa alichokifanya huyu jamaa unaweza fikiri anamtesa tu huyo Binti kwa anayopitia kumbe anatumikia adhabu ya usaliti wake kihalali - maana alikubali miadi ya kuja kuliwa tigo ki roho safi

Kwa mwanaume maumivu ya kugongewa we yasikie tu kwa wengine, yakikukuta utaona hata yule jamaa aliyemchoma mkewake kwa gunia la mkaa ni kama ile ni adhabu ndogo.

Ilishawahi kunikuta hii kitu, sitaki hata kusimulia.
 
Wanaume huwa tunaumizwa sana tunapochapiwa wake zetu, tunaona wapenzi wetu wametudharau kwa kiwango cha mwisho. Ndio maana kuna wanaume huwa wanapogundua utapokea kichapo cha mbwa koko na kukuacha au wengine wanafikia hatua ya mauwaji.

Kwa alichokifanya huyu jamaa unaweza fikiri anamtesa tu huyo Binti kwa anayopitia kumbe anatumikia adhabu ya usaliti wake kihalali - maana alikubali miadi ya kuja kuliwa tigo ki roho safi

Kwa mwanaume maumivu ya kugongewa we yasikie tu kwa wengine, yakikukuta utaona hata yule jamaa aliyemchoma mkewake kwa gunia la mkaa ni kama ile ni adhabu ndogo.

Ilishawahi kunikuta hii kitu, sitaki hata kusimulia.
Tuhadithie kidogo mwamba.
 
Wanaume huwa tunaumizwa sana tunapochapiwa wake zetu, tunaona wapenzi wetu wametudharau kwa kiwango cha mwisho. Ndio maana kuna wanaume huwa wanapogundua utapokea kichapo cha mbwa koko na kukuacha au wengine wanafikia hatua ya mauwaji.

Kwa alichokifanya huyu jamaa unaweza fikiri anamtesa tu huyo Binti kwa anayopitia kumbe anatumikia adhabu ya usaliti wake kihalali - maana alikubali miadi ya kuja kuliwa tigo ki roho safi

Kwa mwanaume maumivu ya kugongewa we yasikie tu kwa wengine, yakikukuta utaona hata yule jamaa aliyemchoma mkewake kwa gunia la mkaa ni kama ile ni adhabu ndogo.

Ilishawahi kunikuta hii kitu, sitaki hata kusimulia.
Wanaongea ongea kwamb mim sijafanya sawa ni mabinti, hawajui maumivu, hasira na uchungu wa demu wako unayempenda na kumpa thaman ya juu kugongwa alafu ukajua, watu huwa wanaua mbona mim kwa nilichokifanya hiki kdg sana, nafaa kupewa Ushemasi kbs
 
Wanaongea ongea kwamb mim sijafanya sawa ni mabinti, hawajui maumivu, hasira na uchungu wa demu wako unayempenda na kumpa thaman ya juu kugongwa alafu ukajua, watu huwa wanaua mbona mim kwa nilichokifanya hiki kdg sana, nafaa kupewa Ushemasi kbs
Mkuu hakuna asiyejua maumivu ya kusalitiwa..hasa ukisalitiwa na mtu uliyekuwa mwaminifu Kwake..
Ila ungefanya kuachana naye tu,ni adhabu tosha.


Yaani kwa kitendo chako upewe ushamasi![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yesu wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
We chepuka tu kisha mumeo ajue ndio uje utusimulie,.

Mimi ilinitokea tena kwa mke niliefunga nae ndoa na kumsomesha chuo. Ni ishu ya miaka mitano huko nyuma lakini hasira zangu hata hapa naona zinataka kujirudia upya. Inatosha Siendelei kukuhabarisha.
Mkuu mimi kufanya usaliti siwezi.

Naomba uendelee kidogo kuelezea yaliyojiri.
 
Huyo binti mlokole na kama kweli ameokoka na Roho mtakatifu yupo ndani,,nafsi ingemshuhudia tu!
Hakuna haja ya kutumia nguvu kubwa kutoa proof... Mungu huwa anawasuta watu nafsini.

Kwani kama hujafanya kitu na unajua kama unafanya na Mungu anajua hujafanya ila watu wanabisha na kukutuhumu kuwa umefanya..
Ikiwa Mungu mwenyewe anaujua ukweli na anakuamini,kwanini uwajali watu ambao hawaamini ?


Nje ya mada:
Tuhadithie visa vyako mkuu,tuone na tujifunze.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati mbaya sio mwepesi wa kuandika katika mtiririko mzuri ndio maana nashindwa kuleta hapa labda nipate mtu nimsimulie kisha alete jukwaani
 
Stroy nzuri, ila kuna kitu kinaniambia ni story ya kweli kingine kinaniambia ni story ya kutunga

All in all hongera mkuu
Ni ngum stori ya uongo kuwa ndefu kihivyo, anaweza ongeza vitu vichache tu anaweza kuongezea ka chumvi, na hivi vidogo huwa haviasili stori
 
Daah uyu jamaa ana roho ngumu mno.
Kisasi gani hicho kisichoisha ulipomuaibisha kwao ilikua imetosha kabisa.

Sa tatizo pia lipo kwa huyo manzi hajui kuacha mtu aende upendo gani huo, au wewe ndo ulimbikiri, yani unamwambia humtaki bado anakuganda namna iyo.
Binadam wana tabia ya kupenda vilivyovigum kwao kupata
 
Wanaume huwa tunaumizwa sana tunapochapiwa wake zetu, tunaona wapenzi wetu wametudharau kwa kiwango cha mwisho. Ndio maana kuna wanaume huwa wanapogundua utapokea kichapo cha mbwa koko na kukuacha au wengine wanafikia hatua ya mauwaji.

Kwa alichokifanya huyu jamaa unaweza fikiri anamtesa tu huyo Binti kwa anayopitia kumbe anatumikia adhabu ya usaliti wake kihalali - maana alikubali miadi ya kuja kuliwa tigo ki roho safi

Kwa mwanaume maumivu ya kugongewa we yasikie tu kwa wengine, yakikukuta utaona hata yule jamaa aliyemchoma mkewake kwa gunia la mkaa ni kama ile ni adhabu ndogo.

Ilishawahi kunikuta hii kitu, sitaki hata kusimulia.
uligongewaa mkuuu
 
Back
Top Bottom