[emoji23][emoji23][emoji23] Huyu st. Annie huyu utadhani anachokiongea humu kitamsaidia mdada wa watu asamehewe na kuReverse matukio yote, yaani hadi sasa anakaza tu kukazia issue ambayo ishatokeaMkomoaji ameshasema ameridhika kwa aliofanya ndio faida hiyo.
Na habadili maamuzi...vipi unatakaje?
Ni mbaya sana, japo lengo lilikuwa kumsahaulisha huyo binti aMove on. Angeambiwa jamaa yuko usa kapata kazi napo pia ni uongo ila kwa hilo la kusema jamaa yuko usa binti si angeshauza kabisa mali za wazazi ili akamsake jamaa hikohuko usa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au hamkusoma kipande cha mkasa ambapo aliiba fedha za dukani kwa wazazi wake ili tu akamtafute jamaa?Hakika
Huu uongo wa ajali ni mbaya..sijui kwanini watu wanajaribu kudanganyia kwenye ajali,ajali ni mbaya Jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly mkuu, na asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwenguHiyo ni adhabu kwa kosa lake...siku zote adhabu hutoa funzo na alama ili uko aendako asilete upuuzi tena.
Usikariri sana mkuu, kuna watu maisha yamewaachia somp lisilofutika kabisa na mpaka wakabadilika aiseew najua hutoamini ila ndio ukweli na chanzo cha tabia nyingi ni mazoea. Tabia nyingi sio za kuzaliwa nazo so hizo zinawezekana kubadilika, be flexible kifikraTabia ya mtu ni kama ngozi.. huwezi kubadilisha.
Lakini anyway,,,kila mtu ana namna yake ya kutatua matatizo.
Lakini hii naona Kama baadaye inaweza mletea matatizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hebu sasa tukuache, tumeshakuelewa kuwa uu mtu wa kusamehe tu haya bhana.Kumuacha kwa maana ya kutoendelea naye kimahusiano na bila kwenda kumdharirisha kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ukisikia perfectionists ujue hauko mbali na description yakeWe mbona unajifanya kichwa ngumu?
Utimamu wa akili yako una % ngapi.. Battery low???
In God we trust, but with human beings we need evidence.Angemuacha tu bila kwenda huko kwao.
Anayejua ukweli ni Mungu,kitu kama ni cha kweli,huna haja ya kuprove sana kwa watu maana Mungu anajua yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa aliyechochea hasira ni binti..Asingejisikia vizuri maana maumivu ya kusalitiwa na bado mhusika akakufanya mjinga mbele za watu huwa hayafutiki kirahisi hivyo, mimi naamini kama binti angekiri kumsaliti jamaa mbele ya familia nzima na kuomba msamaha walau jamaa asingeonyesha ushahidi wa zile texts etc walau nafsi yake ingetulia na kumaliza hilo jambo kiubinadamu kabisa. Shida ni mtu kapewa nafasi ya kukiri na badp akakaza kuwa hana kosa, kingine ni baba wa binti moto aliouchochea ndio huo jamaa akatoa ushahidi wote. Acheni kuyakandia maamuzi ya jamaa zingatieni mambo yaliyochochea hadi akaweka ushahidi hadharani.
Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
[emoji851][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu Mimi sisapoti upuuzi.
Nachukia sana upuuzi na huwa nakararishwa na watu wanaofaya upuuzi.
Lakini kwenye kulipa upuuzi ndipo hapo tunapopishana,,kazi ya kulipa ni ya Mungu,siyo yetu wanadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] We naye aiseeeHalafu ukute wewe ndio yule mwamba ulikuwa ukimchatisha binti wa jamaa kule fb[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly mkuu yote hayo alijitakia binti mwenye laiti angekiri kosa basi mleta uzi angechukua hatua tofauti ikiwemo kutoonyesha ushadi, binti kukanusha kukapelekea baba yake kupata ujasiri na jeuri ya kumbishia jamaa ambaye naye akaona isiwe taabu aweke ushahidi wote hadharani waone aibu na upuuzi wa binti yao waliyemwamini sanaAlikuwa hana budi kuthibitisha umma ujue uchafu wa binti..kama mbele ya watu binti aliambiwa aeleze wazi alikuwa na mahusiano na raia gani akagoma kuwa mkweli vipi kama angembiwa kimya kimya..nani angesadiki kama ni kweli binti mlokole anafanya uhuni huo
Hakuna ambaye angemuamini jamaa kama anasema ukweli..hiyo ndio dawa yake msaliti amefanya kichakani unumuumbua hadharani tena naona kama jamaa ana moyo wa upole sana adhabu zangu ninazotoa kwa huyu mwamba naweza kusema kwangu ni mwanafunzi wa chekechea
[emoji23][emoji23][emoji23] Huwajui watu wewe na huenda umeonana nao wa aina hiyo tu. Ngoja tukuache utaonana nao soonHuyo binti mlokole na kama kweli ameokoka na Roho mtakatifu yupo ndani,,nafsi ingemshuhudia tu!
Hakuna haja ya kutumia nguvu kubwa kutoa proof... Mungu huwa anawasuta watu nafsini.
Kwani kama hujafanya kitu na unajua kama unafanya na Mungu anajua hujafanya ila watu wanabisha na kukutuhumu kuwa umefanya..
Ikiwa Mungu mwenyewe anaujua ukweli na anakuamini,kwanini uwajali watu ambao hawaamini ?
Nje ya mada:
Tuhadithie visa vyako mkuu,tuone na tujifunze.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16] Take your time uwaelewe vizuri wanaume mkuu usikazie sana kumtetea huyo bintiTobaaaaa
Na wewe?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo jingine nimeliona kwenye malezi ya binti.Ni mbaya sana, japo lengo lilikuwa kumsahaulisha huyo binti aMove on. Angeambiwa jamaa yuko usa kapata kazi napo pia ni uongo ila kwa hilo la kusema jamaa yuko usa binti si angeshauza kabisa mali za wazazi ili akamsake jamaa hikohuko usa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au hamkusoma kipande cha mkasa ambapo aliiba fedha za dukani kwa wazazi wake ili tu akamtafute jamaa?
Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
Kamati ya misimamo [emoji41]Amepita bila kupingwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo mwishoni aisseee ila uliyoayasema mwanzoni uko sahihi kabisaTatizo jingine nimeliona kwenye malezi ya binti.
Yaani binti anajiamulia tu anajiuzia mali na kubeba hela kuondoka.
Na baada ya kurudi wazazi wake wakaona sawa tu!
Wakaanza na kumtafutia mume,ili tu wamrithishe binti..
Bado alikuwa anawapanda kichwani hadi wazazi wanakuwa pressurized kumtafuta huyu mwamba mtoa mada aongee naye eti ili apate nafuu.
Yaani makosa ayafanye binti na bado atishie eti hataki kula chochote anamtaka jamaa!Na wazazi wake wanatetemeka kweli !
Naona binti alifanikiwa kuwakamata wazazi wake na kuwapelekesha.
Mimi ingekuwa ndio mwanangu asingenipelekesha namna hiyo..hataki kula basi Cha asile hadi njaa imuue tuone kama ataweza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah ndio hivyo tenaNi kweli kabisa aliyechochea hasira ni binti..
Sema nadhani hakujua kabisa kama jamaa alipekenyua kote huko.
Kweli jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] Huyu st. Annie huyu utadhani anachokiongea humu kitamsaidia mdada wa watu asamehewe na kuReverse matukio yote, yaani hadi sasa anakaza tu kukazia issue ambayo ishatokea
Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuuNaona tatizo lipo hapo.
Mwamba aliwekeza sana kwa binti.
Nawashauri wanaume mlioko kwenye uchumba,msiwekeze sana kwa wapenzi wenu vitu vikubwa mno..uchumba siyo ndoa jamani.
Siku likitolea la kutokea uchumba utavunjika , maumivu mtakayopata yatakuwa makubwa mno.
Kama unajiona hutaumia endapo uchumba utavunjika basi wekeza.
Kuna wanaume wanahudumia mno wachumba kuliko hata wanavyowahudumia wazazi wao.
Sawa, jitahidi kuwa na balance.
Mabinti wengi wa siku hizi,ukimjali sana anaweza kukugeuza danga.
Msaidie but don't do that up to the extent that anskuchukulia kitega uchumi.
Mambo makubwa mfanyie mkeo halali wa ndoa ambaye umejiridhisha hadi kufikia kufunga naye ndoa.
Hawa wachumba wanaweza badili gia angani,usimuamini yoyote kwa asilimia 100.
Sent using Jamii Forums mobile app