Kamanda wa Kweli
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 1,448
- 845
Watu waseme hana nguvu za kiume kisa hajichanganyi na wanawake? Bila shaka maneno ya watu ni kitu kidogo mno kwa watu mithili ya mtoa mada. Hapana shaka anajielewa, hapelekeshwi na maneno kama hayoMkuu...You got my thumb again...Tatizo hawa mabaria feki watasema huna nguvu za kiume...ila kiuhalisia, nakuelewa sana.
Nisikilize, sijamlazimisha kuwa namimi wala kuolewa namimi, na tangu mwanzo kabisa kabla hata sijafanya naye chochote nilishamtahadhalisha kama nilivyosema hapo awali, pia tatizo sio yeye kuwa na mwingine, tatizo ni yeye kuwa namimi alafu pia kuwa na mwingine, kama simfai kwanini asiniambie?? Iweje aendelee kupokea hela yangu?? simple tu angenambia kuwa ameshindwa ningemuacha tena kiroho safi tu.
Ila kwa alilolifanya, revenge must.......
Hujalazmishwa kutoa hela, umetoa mwenyewe!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo maana ake, hata hili ninaloenda kufanya naenda kufany mwenyewe,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mzeee kama nakuona vile utakavyowatumia hizo screen shot za ushez wao
She got what she deserved. Hata hivyo siingiliagi mambo ya watu. Watajijua wenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi pia nipo neutral japo namlaumu dada kwa kufanya makosa,pia namlaumu kaka kwa reaction yake.
Sema Kuna watu wanapendaga kucheza na mioyo ya watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anajaribu aone utafanyaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli amepata nalichostahili,She got what she deserved. Hata hivyo siingiliagi mambo ya watu. Watajijua wenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23] huyu kaka kiboko shetani mwenyew akae pembeni ajifunze upya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aliprint kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani aliyetetea mwanamke kufanya dhambi?Ila Dada nimefuatilia utetezi Wako kwa huyo Dada Mwenzio Hata sijakuelewa..
Kweli are you ready kutoa 0713... Huko nje halafu ujifanye mtakatifu? Na utake huruma ya Mungu?
Ok tuseme that is what bidada likes most kwa Nini baada ya fedheha hakwenda kwa huyo aliyekuwa akimfukunyua 0713... ?
I guess you are into good relationship Je unaweza practice alichofanya huyo Dada kwa huyo uliyenaye?
I know huwezi kuwa Mwanaume but a bit jivike position ya huyo mkaka ungetoa adhabu gani kwa Aina ya wadada waongo ?
I hate wadada wanafiki na waongo Ni wauwaji..
Big congratulations kwa huyu jemba Huu ujumbe umekuwa funzo kubwa . Pambafu kwa wadada na Wanawake wasiokuwa na riziko na mahala walipo wanastahili hiki....
Unajua simu mtu anaweza akaipokonya na kuipasua ili apoteze ushahidi.[emoji23][emoji23][emoji23] huyu kaka kiboko shetani mwenyew akae pembeni ajifunze upya
Ni mwanaume mpuuzi tu na mwenye akili za kitoto anaweza kufanya upumbavu aliofanya huyo mjinga. Angekuwa Ndio amemfanyia mwanangu ningemalizana nae kiume na pengine asingekuwepo hapa kusimulia upuuzi wakeKwahiyo ulitaka amuoe mgawa tigo?
Kwahiyo ulitaka awa chagulie wanae mama mfirwaj*?
#YNWA
Hujanijibu swali langu TAFADHALI.Ni mwanaume mpuuzi tu na mwenye akili za kitoto anaweza kufanya upumbavu aliofanya huyo mjinga. Angekuwa Ndio amemfanyia mwanangu ningemalizana nae kiume na pengine asingekuwepo hapa kusimulia upuuzi wake
Ndo upambane kuwapa binti zako maadili ili haya yasiwakute, sio kila mtu unaweza ukamalizana naye tu kizembe, labda kama wazembe wengine, mimi naona jamaa yupo sahihi kabisa.Ni mwanaume mpuuzi tu na mwenye akili za kitoto anaweza kufanya upumbavu aliofanya huyo mjinga. Angekuwa Ndio amemfanyia mwanangu ningemalizana nae kiume na pengine asingekuwepo hapa kusimulia upuuzi wake
Watu wa Sodoma na Gomora waliteketezwa kwa Moto kasoro Ruth na mkewe.Dada alizingua sana ila adhabu aliyompa naona ni kubwa mno,na matokeo yake ni mabaya.
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
Dada unajua watu wa lutwi sodoma na gomola walipewa adhabu gani kwa kutoa 0713
Saint Anne
Point hapa ni adhabu aliyopewa sio nani anaempa.Watu wa Sodoma na Gomora waliteketezwa kwa Moto kasoro Ruth na mkewe.
Namimi nakuuliza Je,unajua ni nani aliyewaangamiza hao watu wa Sodoma na Gomora?
Ukishanipa jibu basi ujue hapo ndipo ilipo point yangu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Point yangu ni mtoa adhabu.Point hapa ni adhabu aliyopewa sio nani anaempa.
Unafanya jitihada kubwa sana kubadili mwenendo wa mtoa adhabu ingali tayari adhabu imeshatoka.
"Huenda nawewe ni mdau ndio maana unajaribu kuvaa viatu vya mpewa adhabu"
Ingekuwa anaomba ushauri atoe yeye adhabu au asitoe ndio point yako unayosema LABDA ingesikilizwa na mtoa adhabu, for now...unatwanga maji kwenye kinu ukidhani unapata nafaka!!!
King Kong III na mchumba wako Wangari Maathai mheshimiane bana yasijetokea haya hukuKwa ufupi hii ni taarifa tu, so ushauri wako hautabadili chochote wala kuongeza chochote, vipi lakin uzima upo??
Ni hivi, mi huwa siumizwi alafu anayeniumiza akabaki salama, nikiumizwa mi nakuumiza mara 10 alafu fresh, maisha yenyewe mafupi haya, mi niwe na stress alafu wew ucheke ili kiwe nini... sipendagi ubwege kabisa, na nitabaki kwenye kumbukumbu zako milele ukijifanya kuniletea habari za ajabu..
Miez 8 iliyopita nilidate na dada mmoja hivi mrembo, height moja hivi mauzo sana na mzigo wa kuvuta huko nyuma haukuwa haba, kifupi mvuto wa yule dem hauna shaka, kama ni maksi basi A ya 95+... mapema nikamwambia mambo ya kiboya sitaki, km utacheat jitahidi nisijue, nikijua umeumia....Akajifanya hadi kulia pale kwamba ananilove nyang'anyang'a na kamwe hakuna mwanaume kama mimi, nikasema poa but take my words ukinizingua hutoamini nitakachokufany, na km hunitaki niache uende, na kama pia itakuw mechi za dharula tu alafu kimya tuambiane, moyo wangu hauchezewi.. akasema nisiwe na shaka ananipenda, nikasema poa.
Tabia yangu ni kwamba kamwe siwezi kuwa na mpenzi zaid ya mmoja kwa wakati mmoja, so nikiwa na mmoja huyo huyo. Sasa mwezi mmoja nyuma nikausoma mchezo dizain kama demu wangu analiwa hivi, sikumuuliza, nikakomaa hadi nikapata password zake facebook na insta.. nikazama inbox yake, daah ni balaa tupu, ashapigwa mashine na mshikaji mmoja hivi, then jamaa dizain kama anakomaa naye amle 0715 hiv sema demu anabana.. text yake hii hapa..
"Baby naridhika sana nawew, ila unanibania side B, nyimbo za side A zote nimeskiliza why uninyime za side B mpenz?, kama side A nilsikilza kwa elfu 70 bas side B lazma dau lipande.. nielewe bas"
Demu akajibu..
"Mi nina mtu na tuna malengo je akigundua na kuniacha itakuwaje"
Jamaa..
"Hawezi gundua, kwani huwa anakagua huko, ila navyokujua huwez nibania.. nitakutoa out ukafanye shopping ya maana, na nitakutumia 100,000 kesho"
Demu...
"Mmh poa tutaangalia tukikutana tar.22 jamaa akiondoka kama tulivyopanga".
Zipo nyingi nying but hizo kiufupi,....
Mimi kwa huyu demu..., nampa nachopata, najinyima sana apate yeye, nishamtoa shopping za maana mara kibao na tayari nishaandaa pesa nzuri tu kwa ajili yake, Krismass na mwaka mpya, maana tar.hizo sitakuwepo kutokana na majukum ya kazi yangu, nammudu kiujumla, nguo, usafiri, pesa ya kula, malazi nafanya mimi.. yeye hana chochote zaid ya gamba lake la diploma. Muda wote huo sina demu zaid yake.. na on bed naperfom fresh hadi anaomba poo yeye..
Nilichokifanya baada ya kugundua hilo, nimescreenshot charting zote hadi picha walizopiga wakiwa lodge wametumiana kupitia fb messenger nimejitumia kwenye simu yangu, then nimeuchuna.. kifupi tayari nimeshampiga chini ila siwez kumwambia tuachane kiboya boya hiv bila yeye kuonja joto la jiwe kidogo, na kamwe sitafanya naye mapenz tena.. ambacho kimebaki kwake ni kumpa kidonda cha milele..
Ifahamike ananipenda japo tamaa anazo, ashanitambulisha kwa rafiki zake wote, dada yake, hadi mama yake.. kifupi anaitwa mrs mimi... na uchafu anaoufanya ni siri kubwa sana na ndo maana anatumia fb messenger maana anajua siwez hisi chochote huko.. tayari tarehe ya kupeleka barua ishapangwa, tarehe 07 jan... mashangazi zake wote wanajiandaa kwa tukio hilo.. upande wetu pia tunajiandaa..
Nataka nifanye nini?? Siku hiyo ya tukio la kwenda kwao kujitambulisha rasmi ndo siku yangu ya kumuumiza, maana kwao anaaminika sana, anaimba kwaya kanisan, ana vyeo vingi ving vya huko kanisani.. na huwezi mzania hata kidogo kama ni mshenzi.. siku hiyo mbele ya Mchungaji wake, ndugu zake, mama ake, mashangazi na marafiki zake wakiwa na smartphone zao naenda umiza mtu vibaya sana, sio kwamba nitampiga hapana, ila nataka nimafanyie tukio ambalo litaweka maumivu ya kudumu kwenye moyo wake na kamwe hatokuja nisahau..
Tarehe 7 january, save the date....
USIPOTEZE MUDA KUNISHAURI CHOCHOTE, HUWA NIKIPANGA SIPANGUI..
========
UPDATE: Mrejesho tayari fuatilia
Kufuatilia mrejesho wa tukio hili bonyeza link hapo chini
Mrejesho: Sehemu ya kwanza
Mrejesho: Sehemu ya pili
Mrejesho: Sehemu ya tatu
Mrejesho: Sehemu ya nne
Mrejesho: Sehemu ya tano
Mrejesho: Sehemu ya sita
Mrejesho: Sehemu ya saba
Mwisho
Alimfanyeje tena? 😀😀! King ataua mtu na ile sura yake😶King Kong III na mchumba wako Wangari Maathai mheshimiane bana yasijetokea haya huku
Soma yote hapo ni ndefu lakini haichoshi, ameleta hadi mrejeshoAlimfanyeje tena? 😀😀! King ataua mtu na ile sura yake😶
Haya babe ngoja nisome...Soma yote hapo ni ndefu lakini haichoshi, ameleta hadi mrejesho
See[emoji3]Point yangu ni mtoa adhabu.
Kama wewe umeamua kunisemea ni sawa pia[emoji1635]
Endelea kunipigia ramli mkuu.
Ila kwa kukusaidia tu mimi ni mkristo niliyeokoka si kwa ubabaishaji kama huyo dada.
Sent using Jamii Forums mobile app