Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Matatizo yote chanzo chake ni binti..hilo najua.
Ila kwa mazingira aliyokuwa nayo,si rahisi sana namna hiyo kukiri hilo kosa pale.


Ila haya mambo ni magumu sana,
Kuna wanawake hawajui wanataka nini maishani.
Kuna wanaume pia hawajui wanataka nini maishani... though upande wangu naona ningeacha tu bila kulipiza kisasi.


Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa mfano wa ni mwanaume, Ukisema umuache mwanamke kisa umegundua kakusaliti, utaacha wangapi, sometimes ni kukausha tu Saint Anne
 
Kwa mfano wa ni mwanaume, Ukisema umuache mwanamke kisa umegundua kakusaliti, utaacha wangapi, sometimes ni kukausha tu Saint Anne
Mkuu makosa ya usaliti hata maandiko yameainisha.


Halafu kumbuka hata ndoa walikuwa hawajafunga,
Na makubaliano yao ilikuwa hakuna kusalitiana,na endapo ikitokea usaliti basi usijulikane.
 
TUENDELEE...


Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.

Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.

Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.

Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.

Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.

Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.

MWISHO,
Kama ni mwislam, mna haki ya kulipa kisasi. Lkn ki ujumla, umefanya ujinga wa hali ya juu, maana mwisho wa siku hautavuna chochote cha maana. Na huo siyo uanamme, ni uboya tu kama uboya mwingine
 
We boya tu
Pamoja na mapungufu yake bora huyo binti hakuolewa na wewe, kama alikumiza wewe iweje uwaumize Hadi ndugu zake, utalipa kwa uliyofanya.
Jinga kabisa huyu jamaa. Huo siyo uanamme, ni ushetani. Na hautokuja kuoa tena bwege wewe
 
Wewe jamaa Mimi Nina roho ngumu. Na wanawake wapuuzi siwapendi hata akiwa mama yangu mzazi. Ila hii yako sio roho ngumu Ni roho hatari. Na sio mfano wa kuigwa [emoji23][emoji23]

Kuwafanyia jeuri Hadi wazazi huo Ni ungese. Maana Kama kumdharirisha ulisha fanya ila ulicho kuwa unataka Ni kumuua kabisa.

Na naamini hata Kama alikukosea kwa ulicho mfanyia umezidisha na utalipwa na wewe
Demu mwili ni wake
Maisha ni yake
Maamuzi juu ya mwili wake ni yake.
Umeona yameingilia interest zako, unapotea tu siyo kufanya revenge. Halafu uvune nini?
 
Kumbuka kuwa,mtu asiyesamehe na yeye hatasamehewa,hilo tendo ukilifanta utaishia kuwa mgonjwa milele moyoni mwako
Jamaa kajitahidi kulipiza kisasi..ila gharama ambayo ataishi.nayo ni kukosa amani ..maana pamoja anajiliwaza karevenge..ila nafsi haiwezi mtulia kabisaaa..na mbaya zaidi kumpata mwenzi wa maisha itakuwa mtihani sanaaa...!
 
TUENDELEE...


Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.

Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.

Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.

Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.

Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.

Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.

MWISHO,
Vp PM yako inaendeleeaje!?
 
Hivi ndivyo mwanaume anavyotakiwa kuwa, msimamo thabiti, hata ikibidi kufa, ni sawa tu. Tembea humo Mkuu achana na hawa wamama.
Ndugu koroe tunaokuelewa hapa ni watu wachache sana....
Mi niko ka wewe Hua siwezi Kuwa na wanawake wawili kwa wakati mmoja maana sio fair.
Mwisho inauma sana mwanaume unapokua huchepuki na huna mchepuko afu mwanamke wako awe anacheat.. aseee acha nikae kimya tu. Ila hongera sana koroe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom