BarajaMkush
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 1,633
- 2,975
Umpoteze kwa sababu wewe ndiwe mwenye Mamlaka Pekee sio!? Hongera sana.Fanya tu kwa wengine ila ukifanya kwa dada yangu kumbuka kwenda na maji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umpoteze kwa sababu wewe ndiwe mwenye Mamlaka Pekee sio!? Hongera sana.Fanya tu kwa wengine ila ukifanya kwa dada yangu kumbuka kwenda na maji
Matatizo yote chanzo chake ni binti..hilo najua.
Ila kwa mazingira aliyokuwa nayo,si rahisi sana namna hiyo kukiri hilo kosa pale.
Ila haya mambo ni magumu sana,
Kuna wanawake hawajui wanataka nini maishani.
Kuna wanaume pia hawajui wanataka nini maishani... though upande wangu naona ningeacha tu bila kulipiza kisasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu makosa ya usaliti hata maandiko yameainisha.Kwa mfano wa ni mwanaume, Ukisema umuache mwanamke kisa umegundua kakusaliti, utaacha wangapi, sometimes ni kukausha tu Saint Anne
Kama ni mwislam, mna haki ya kulipa kisasi. Lkn ki ujumla, umefanya ujinga wa hali ya juu, maana mwisho wa siku hautavuna chochote cha maana. Na huo siyo uanamme, ni uboya tu kama uboya mwingineTUENDELEE...
Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.
Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.
Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.
Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.
Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.
Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.
MWISHO,
Jinga kabisa huyu jamaa. Huo siyo uanamme, ni ushetani. Na hautokuja kuoa tena bwege weweWe boya tu
Pamoja na mapungufu yake bora huyo binti hakuolewa na wewe, kama alikumiza wewe iweje uwaumize Hadi ndugu zake, utalipa kwa uliyofanya.
Demu mwili ni wakeWewe jamaa Mimi Nina roho ngumu. Na wanawake wapuuzi siwapendi hata akiwa mama yangu mzazi. Ila hii yako sio roho ngumu Ni roho hatari. Na sio mfano wa kuigwa [emoji23][emoji23]
Kuwafanyia jeuri Hadi wazazi huo Ni ungese. Maana Kama kumdharirisha ulisha fanya ila ulicho kuwa unataka Ni kumuua kabisa.
Na naamini hata Kama alikukosea kwa ulicho mfanyia umezidisha na utalipwa na wewe
Acha vitisho weweFanya tu kwa wengine ila ukifanya kwa dada yangu kumbuka kwenda na maji
Acha vitisho wewe,hata wewe mwenyewe utabananishwa tuu.Asee huo upumbavu wafanyie wengine ila siyo kwa Dada yangu ..nitapandisha makalio kichwani halafu kichwa nitakishusha kwenye makalio ..pumbavu kabisa wewe jamaa
Hahahaha naona ndugu wa Msaliti mmeitana kuja kuponda na kutema mbovu.Jinga kabisa huyu jamaa. Huo siyo uanamme, ni ushetani. Na hautokuja kuoa tena bwege wewe
Revenge ndio dawa mujarabu kwa hawa viruka njia wasiojielewa. Big up kwa jamaa kapeperusha vyema bendera ya Uanaume halisi.Demu mwili ni wake
Maisha ni yake
Maamuzi juu ya mwili wake ni yake.
Umeona yameingilia interest zako, unapotea tu siyo kufanya revenge. Halafu uvune nini?
Jamaa kajitahidi kulipiza kisasi..ila gharama ambayo ataishi.nayo ni kukosa amani ..maana pamoja anajiliwaza karevenge..ila nafsi haiwezi mtulia kabisaaa..na mbaya zaidi kumpata mwenzi wa maisha itakuwa mtihani sanaaa...!Kumbuka kuwa,mtu asiyesamehe na yeye hatasamehewa,hilo tendo ukilifanta utaishia kuwa mgonjwa milele moyoni mwako
Vp PM yako inaendeleeaje!?TUENDELEE...
Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.
Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.
Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.
Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.
Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.
Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.
MWISHO,
Natamani niwe mimi ili nifanye kwa dada yako halafu nione hayo maji ya kwenda nayo.Fanya tu kwa wengine ila ukifanya kwa dada yangu kumbuka kwenda na maji
Hiyo ni kwako, ishi uonavyo na uwaache wengine waishi waonavyoKwa mfano wa ni mwanaume, Ukisema umuache mwanamke kisa umegundua kakusaliti, utaacha wangapi, sometimes ni kukausha tu Saint Anne
Imekuuma eeeeh? Inaonekana nyie ndio wala wake za watu wenyewe, unatakiwa kukatwa kichwa.Kama ni mwislam, mna haki ya kulipa kisasi. Lkn ki ujumla, umefanya ujinga wa hali ya juu, maana mwisho wa siku hautavuna chochote cha maana. Na huo siyo uanamme, ni uboya tu kama uboya mwingine
Wewe kama nani? Ndio kashafanya sasa unasemaje? Kama hutaki ungana na huyo mwanamke!Jinga kabisa huyu jamaa. Huo siyo uanamme, ni ushetani. Na hautokuja kuoa tena bwege wewe
Ndugu koroe tunaokuelewa hapa ni watu wachache sana....Hivi ndivyo mwanaume anavyotakiwa kuwa, msimamo thabiti, hata ikibidi kufa, ni sawa tu. Tembea humo Mkuu achana na hawa wamama.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we jamaa nimecheka kiboya sana, kwamba aungane na huyo nani? Emu ongeza volume!!!Wewe kama nani? Ndio kashafanya sasa unasemaje? Kama hutaki ungana na huyo mwanamke!