Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Mimi naamini kwa sehemu ila huko kung'ang'ana kwa bibie ni kama kumetiwa chumvi. Halafu mtu aliyepambana namna hiyo anaambiwa mtu wako unayempenda kapata ajali amepelekwa India anakubali kirahisi tu na kuondoka? Haiingii akilini....hata hao wazazi jinsi walivyopambana kurejesha penzi naona kama haina uhalisia

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwamba wewe unajua undani wa story kuliko hata msimuliaji husika!
 
Halafu wanaume mnachekesha sana....eti mtu kutokuwa na mpango wa kando anachukulia ni kitu kikuubwa, anajiona mkamilifu au kama anamfanyia favour mwanamke wake. Yaani anatamani ukoo mzima wa mwanamke umshukuru, wamtungie na nyimbo za kumsifu kwa kuwa hana mchepuko. Unapokuwa kwenye mahusiano kuwa mwaminifu ni wajibu sio hisani nyie mbwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] (sijatukana, kwenye kikao chetu tulishakubaliana kuwa wanaume wote ni mbwa)

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Basi unajikuta mchambua uzi wote na comment za watu.
Mwanamke anapokua limbukeni 🙄🙄
 
Ni mwanaume mpuuzi tu na mwenye akili za kitoto anaweza kufanya upumbavu aliofanya huyo mjinga. Angekuwa Ndio amemfanyia mwanangu ningemalizana nae kiume na pengine asingekuwepo hapa kusimulia upuuzi wake
Ukifikia stage hio ya kufanya hivyo we unadhani yeye atakaa kiboya

Mfano mimi ukifikia stage ya kunitishia maisha na ukafanya attempt kabisa nikasalimika unadhani nitakuangalia tu[emoji2]
 
Hehehe mzee hongera kwa msimamo...

Ifike wakati tuheshimu mawazo ya mtu,,, ukiona unalofanya wewe ni sawa basi inatosha...

Ila mkuu kazi ya kuua / kunyonga unaweza kuifanya bila shida yoyote.... Muhimu watu wafike dau tu.. Nafikiri wew ni mfano wa shetani anayeishi.
 
Hehehe mzee hongera kwa msimamo...

Ifike wakati tuheshimu mawazo ya mtu,,, ukiona unalofanya wewe ni sawa basi inatosha...

Ila mkuu kazi ya kuua / kunyonga unaweza kuifanya bila shida yoyote.... Muhimu watu wafike dau tu.. Nafikiri wew ni mfano wa shetani anayeishi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
TUENDELEE...


Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.

Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.

Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.

Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.

Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.

Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.

MWISHO,
mama mmbwa ww,strong like a lion,story tamu.
 
Huyu ni mimi kabisa najiona, ninapoingia kwenye relation na mwanamke huwa kuna makubaliano tunayaweka ila huwa wanafikiria ni utani juu ya hilo

Utakapoenda tofauti na makubaliano yetu ya kimahusiano, Aisee siwezi kukuacha kirahisi kabisa na ni lazima lifanyike jambo la kukuachia kovu na jeraha kubwa ktk kumbukumbu za maisha yako
 
TUENDELEE...


Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.

Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.

Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.

Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.

Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.

Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.

MWISHO,
Aisee, ngoja niendelee kutafakari. Hata hivyo hongera kwa uandishi wako mzuri. Ila huo moyo? Hivi wewe hukosei watu hata huko ofisini? Wanakuahibisha hivyo hivyo?
 
Pamoja na yoote uliyoandika. Huyo mwanamke ndio alikuwa mkeo halali. Utakuja kumkumbuka. Mark ma word bro. Hii dunia haiko kama unavyofikir na kila binadam anapitia mambo mengi sana ujanan mpaka aje kuoa au kuolewa na ukizingatia na wewe utakuja kuzaa hukupaswa kufanya hivyo.
Na kwajins nikuonavyo huwez kuish na mwanamke. Nakuonea huruma aisee. Hv unafikir wewe ndio unavumbua maisha mkuu? Sio kila unachopanga kinakuwa kama unavyotaka vingine unadance accodingly. Hukupaswa kumfanyia binadam mwenzio hivyo hasa ukizingatia amekir kosa lake. Afanyeje sasa ili uelewe anajuta ajiue.? Nachokuahd mzee jiandae utapata dem kicheche hutaamin. Nachokushaur ndugu yangu. Usiishi kwa kukariri makosa ya watu. Vijana wenzio watakuona shujaa lakin cku ukiwa na watoto utajua ulikosea na mwanao afanyiwe hivyo utaumia sana.
 
Back
Top Bottom