Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Katika hii hadithi ni kweli kabisa mwanaume hakuwa msaliti na namsifu sana kwa kuwa na msimamo huo kwani ni wanaume wachache sana kama si pekeyake mwenye huo msimamo dunia yetu ya leo.

Mwanamke/binti amefanya usaliti na simtetei kwa kufanya usaliti kwa sababu ni tabia mbaya,pia ni halali yake kuachwa.

Shida ni namna mwamba alivyomuacha huyo binti,
Kulikuwa na ulazima gani wa kumdharirisha??


Sent using Jamii Forums mobile app
Hajamdhalilisha popote, kumbuka baba yake aliposema ukishindwa kuthibitisha kama bint yangu ni msaliti nitakushtaki kwa udhalilishaji na kumchafua bint yangu.
 
Pamoja na yoote uliyoandika. Huyo mwanamke ndio alikuwa mkeo halali. Utakuja kumkumbuka. Mark ma word bro. Hii dunia haiko kama unavyofikir na kila binadam anapitia mambo mengi sana ujanan mpaka aje kuoa au kuolewa na ukizingatia na wewe utakuja kuzaa hukupaswa kufanya hivyo.
Na kwajins nikuonavyo huwez kuish na mwanamke. Nakuonea huruma aisee. Hv unafikir wewe ndio unavumbua maisha mkuu? Sio kila unachopanga kinakuwa kama unavyotaka vingine unadance accodingly. Hukupaswa kumfanyia binadam mwenzio hivyo hasa ukizingatia amekir kosa lake. Afanyeje sasa ili uelewe anajuta ajiue.? Nachokuahd mzee jiandae utapata dem kicheche hutaamin. Nachokushaur ndugu yangu. Usiishi kwa kukariri makosa ya watu. Vijana wenzio watakuona shujaa lakin cku ukiwa na watoto utajua ulikosea na mwanao afanyiwe hivyo utaumia sana.
Yaani unaandika kama Shekh Yahaya.Unajiona nabii kutambua yajayo.Nenda kamuoe wewe ili upate mke bora.
 
Halafu wanaume mnachekesha sana....eti mtu kutokuwa na mpango wa kando anachukulia ni kitu kikuubwa, anajiona mkamilifu au kama anamfanyia favour mwanamke wake. Yaani anatamani ukoo mzima wa mwanamke umshukuru, wamtungie na nyimbo za kumsifu kwa kuwa hana mchepuko. Unapokuwa kwenye mahusiano kuwa mwaminifu ni wajibu sio hisani nyie mbwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] (sijatukana, kwenye kikao chetu tulishakubaliana kuwa wanaume wote ni mbwa)

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Pamoja na yoote uliyoandika. Huyo mwanamke ndio alikuwa mkeo halali. Utakuja kumkumbuka. Mark ma word bro. Hii dunia haiko kama unavyofikir na kila binadam anapitia mambo mengi sana ujanan mpaka aje kuoa au kuolewa na ukizingatia na wewe utakuja kuzaa hukupaswa kufanya hivyo.
Na kwajins nikuonavyo huwez kuish na mwanamke. Nakuonea huruma aisee. Hv unafikir wewe ndio unavumbua maisha mkuu? Sio kila unachopanga kinakuwa kama unavyotaka vingine unadance accodingly. Hukupaswa kumfanyia binadam mwenzio hivyo hasa ukizingatia amekir kosa lake. Afanyeje sasa ili uelewe anajuta ajiue.? Nachokuahd mzee jiandae utapata dem kicheche hutaamin. Nachokushaur ndugu yangu. Usiishi kwa kukariri makosa ya watu. Vijana wenzio watakuona shujaa lakin cku ukiwa na watoto utajua ulikosea na mwanao afanyiwe hivyo utaumia sana.
Maneno kuntu mkuu...nakazia hapo uliposema hawezi kuishi na mwanamke. Sio mwanamke tu hata marafiki sidhani kama anao na nina mashaka hata wazazi wake wanamuogopa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Comrade! Mm na kubaliana na ww 99%

kasoro sehem mmoja tu.iko ivi KWA MTAZAMO wangu huyo binti alikua mwanamke sahihi sana kwenye maisha yako.

1. REVENGE lakini yeye akapokea as a LESSON. Nakama unavyo jua we all learn good lesson in hard times moreover lesson makes us change.kwa jinsi binti alivyo kupambania ni wazi alikua amedilika totaly.em fikiria alivyo kubali maisha yake yote akulilie wewe em fikiria maisha yake yote alivyo amua ku dedcate kwako,amekua kichaa kwa sababu yako (she learnd so so much) ulitakiwa umsamehe mwamba[emoji16].kwasababu allways angeishi na ww huku aki prove that haiwez rudia kosa pia asingekua teyari kuwa let down wazazi na ndugu zake na ndugu zako pia kubwa kuliko asingeweza kuji let down tena ateseke kama alivyo teseka.hata kama angekua fala mwenye matope kichwan angeogopa msimamo wako ulivyo mkal

2.SHE LOVES U THAN ANY ONE AS,hajakukatia tamaa hdi leo ni miaka mingapi imepita.sina haja hata ya kuelezea mwwnyew unaona achana na huyo mbwa rafiki ake matako yasikuchanganye hamna mwanamke hapo she loves u for something , na huyo ukimuingiza tu kwenye maisha yako nu fault teyari.
Yani anainekana ana makando kando teyar ..ningekua mm ni heri nimchague alienikosea kuliko huyo malaya manafik.maana hujui her worse side.

UNATAKIWA NA WW UTUAMBIE UMEJIFUNZA NN KUPITIA HI STORY YAKO MKUU. Uku ukiendelea kukumbuka kua too much is harmful.una msimamo ndio but is too much .lesson ilikua delivery .sasa hilo tukio hamna amabaye litamfundisha zaidi yake yeye hamna litakaye mbadili zaidi yake.hapakua na haja yakufanya vile kama haukua na sababu yakumpa funzo na kumsamehe..zaid zaid umempa majuto na sio funzo amabalo hawezi kuli apply maana moyo wake bado upo kwako.

NAAMINI HATA WW HUO MSIMAMO WAKO ULIONAO ULITOKANA NA LESSON MOJA ULO IPATAGAA SIVYOOO?

#WEWE SIO GAIDII
 
Pamoja na yoote uliyoandika. Huyo mwanamke ndio alikuwa mkeo halali. Utakuja kumkumbuka. Mark ma word bro. Hii dunia haiko kama unavyofikir na kila binadam anapitia mambo mengi sana ujanan mpaka aje kuoa au kuolewa na ukizingatia na wewe utakuja kuzaa hukupaswa kufanya hivyo.
Na kwajins nikuonavyo huwez kuish na mwanamke. Nakuonea huruma aisee. Hv unafikir wewe ndio unavumbua maisha mkuu? Sio kila unachopanga kinakuwa kama unavyotaka vingine unadance accodingly. Hukupaswa kumfanyia binadam mwenzio hivyo hasa ukizingatia amekir kosa lake. Afanyeje sasa ili uelewe anajuta ajiue.? Nachokuahd mzee jiandae utapata dem kicheche hutaamin. Nachokushaur ndugu yangu. Usiishi kwa kukariri makosa ya watu. Vijana wenzio watakuona shujaa lakin cku ukiwa na watoto utajua ulikosea na mwanao afanyiwe hivyo utaumia sana.
Moja kati ya sheria za maisha ni mpe mtu second chance sio third chance , fourth and so on

Fanya hivyo ukutane na mabalaa

It was a wise decision kum dump so sidhani kama kuna majuto hapo.
 
Hapo umefanya hivyo wanakuita katili,Bado ungemsamehe ukamuoa na kumuwekea michepuko bado wangesema bora ungemuacha.Mimi nakushauri ungenyonga kabisa.
Binadamu huwa hawaishi kutafuta fault somewhere yaani lazima watafute leverage .

Ukishajua hilo huumizi kichwa unafanya mambo yao ,mambo yao unawaachia wenyewe(kama asemavyo smart911)[emoji2]
 
Jilindeni; kama ndugu yako akikosa, mwonye; akitubu msamehe. Na kama akikukosa mara saba katika siku moja, na kurudi kwako mara saba, akisema, Nimetubu, msamehe.'' ( Luka 17:3-4 )
 
TUENDELEE...


Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.

Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.

Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.

Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.

Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.

Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.

MWISHO,
kuna watu wanaroho ngumu ukweli mimi siwezi kabisa roho yangu nyepesi na huruma nyingi
 
Halafu wanaume mnachekesha sana....eti mtu kutokuwa na mpango wa kando anachukulia ni kitu kikuubwa, anajiona mkamilifu au kama anamfanyia favour mwanamke wake. Yaani anatamani ukoo mzima wa mwanamke umshukuru, wamtungie na nyimbo za kumsifu kwa kuwa hana mchepuko. Unapokuwa kwenye mahusiano kuwa mwaminifu ni wajibu sio hisani nyie mbwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] (sijatukana, kwenye kikao chetu tulishakubaliana kuwa wanaume wote ni mbwa)

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mkuu punguza makasiriko[emoji23]
 
Una roho ngumu sana mzee....
Dunia hii ukitaka iwe nyepesi na rafiki kwako inakutaka uwe na roho ngumu hasa,pia jifunze usianze wewe kumuumiza mtu subiri aanze yeye kisha umuonyeshe action.

Wanaume tunakutana na changamoto nyingi sana za kimaisha so hawa pumbavu wakileta upumbavu inabidi wafundishwe adabu kweli kweli.
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Anacheka
 
Back
Top Bottom