Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Huyo Binti anasemaje kama nikimuoa mm tuanze upya na aliyoyafanya nasamehe
 
TUENDELEE..

Jioni ile binti alizinduka, lakin Daktari akaomba binti abaki wodin maana mapigo yake ya moyo hayapo vizuri na presha ipo juu kupita maelezo, lakin kutokana na nature ya tatizo lenyewe ni bora binti abaki kwa uangalizi na counseling maana anaweza kuchukua maamuzi mabaya, binti akabaki hospital na mama yake, wengine wakarudi home. Jioni ikafika kikao kikaitishwa.

Baba wa binti akaongea mengi km kunilauma mim, nikaon ananiletea uhuni, nikamchana kwamba nilishamweleza kwamba akifanya ushenzi namim nitafanya ushenz na hizo msg kwenye simu zipo na kama binti atakataa nazionesha vile vile jinsi tulivyokubaliana, basi ikabid busara zitumike, hasa mjomba wake ambaye alijitahidi kutuomb radhi kwa binti yao kukosa maadili kiasi kile japo limekuja wakat mbaya lakin lmesaidia sana kuelewa uhalisia wa binti yao ambao walikuwa hawaujui.

Baada ya dk kidogo mama yake akaja kutoka hospital akatukuta kwenye kikao, akaomba sana niende hospital nikamuone binti yake maana hakuna anachotaka zaid ya mimi na hayupo tayari kuishi km sitamsamehe, akaniomba sana niende hospital nikamtamkie msamaha hata wa kinafiki, nikakataa na sikwenda, nikawaambia wazee tusepe hapa hakuna jipya tena, hapakuwa na jins maana nilikaza kila kona, moyo wangu kwa dhati ulikusudia kulipa kisasi.

Nikatoka nje nikawaacha wazee wakiongea ongea, usiku ulikuwa umeshaingia tukaingia kwenye gari safari ya kwenda hom ikaanza.

Nyumban taarifa zilikuwa zimeshafika, kuna ambao waliona sawa na kuna wajinga na dhaifu wakasema ningesamehe tu nimuoe, wapuuzi.

Maisha mapya yalianza, siku moja nikawa nipo porini huko kwenye mishe zangu zikiwa zimepita km siku 4 hivi nikapigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwamba ni mwasaikolojia, akanambia kuhusu lile tukio na kwamba anaomba niongee na yule binti chochote kwa kuwa hataki kula na muda wote anachungwa maana anaonesha dalili zote za kutafuta namna ya kujinyonga, nikakataa. Nikamwambia aachane namimi kabisa.

Simu zilikuwa nying, mama yake, baba, na ndugu zake wengine lakin sikuwa na mpango tena, nikaona nibadili laini za simu zote. Nikajua nimesolve tatizo sasa, of course wakawa wanaongea na mzee wakiomba aongee namim niongee chochote na binti yao, nikakataa. Miezi kadhaa ikapita, siku moja nikiwa Tanga huko nikapokea simu ya rafik yangu akanijuza kwamba yule binti amekuja ghafla kwake, amekonda na kuchakaa. Kumbe alikuwa ametoroka kwao ili aje anitafute, alikuja kwangu kukawa kumefungwa akaona aende kwa mshikaji.

Nikamwambia kifupi tu, aishi naye pale kwake km anamhitaji ila mim kwa upande wangu ni hapana, jamaa akasema ameoa na ana familia so nafasi pale kwake ni ndogo na binti hataki kuelewa na amekataa kutoka pale kwake akaniomba niongee na yule binti, nikakataa.

Kumbe yule binti aliiba hela za baba ake dukan maana baba ake aliamua kumuweka auze duka la jumla la vifaa vya ujenzj ili angalau apunguze mawazo, akatoka na million 4 akatoroka na kuja kwa mshkaji, akakatalia kutoka hadi anione.

Jamaa akanisimulia mengi kwa kadri binti alivyomuelekeza, Na akaniomba nionane naye ili nimsaidie, nikakataa

Baada ya kukaa km wiki pale jamaa akashindwa ikabid amfukuze kwa nguvu, binti akaamua asafiri aende kwetu kwa wazazi wangu. Muda wote huo kwao hawajui binti yupo wapi, wakaenda kutoa taarifa polisi..

ITAENDELEA WAKUU..
Daah wew Mwamba upo kama mim., ukiamua kusonga mbele hata wapige kelele za namna gani hakuna kugeuka kucheki nyuma. Hawa watu wanaumiza saaana., wew unakuwa mwaminifu tena saaaana ila mwenzako yupo tayari hata kutoa 0713 kwa Masee wengine., wakati wew hujawahi hata kuwaza kama itakuja tokea kuomba 0713 kwa ke yeyote.
 
TUENDELEE..

Jioni ile binti alizinduka, lakin Daktari akaomba binti abaki wodin maana mapigo yake ya moyo hayapo vizuri na presha ipo juu kupita maelezo, lakin kutokana na nature ya tatizo lenyewe ni bora binti abaki kwa uangalizi na counseling maana anaweza kuchukua maamuzi mabaya, binti akabaki hospital na mama yake, wengine wakarudi home. Jioni ikafika kikao kikaitishwa.

Baba wa binti akaongea mengi km kunilauma mim, nikaon ananiletea uhuni, nikamchana kwamba nilishamweleza kwamba akifanya ushenzi namim nitafanya ushenz na hizo msg kwenye simu zipo na kama binti atakataa nazionesha vile vile jinsi tulivyokubaliana, basi ikabid busara zitumike, hasa mjomba wake ambaye alijitahidi kutuomb radhi kwa binti yao kukosa maadili kiasi kile japo limekuja wakat mbaya lakin lmesaidia sana kuelewa uhalisia wa binti yao ambao walikuwa hawaujui.

Baada ya dk kidogo mama yake akaja kutoka hospital akatukuta kwenye kikao, akaomba sana niende hospital nikamuone binti yake maana hakuna anachotaka zaid ya mimi na hayupo tayari kuishi km sitamsamehe, akaniomba sana niende hospital nikamtamkie msamaha hata wa kinafiki, nikakataa na sikwenda, nikawaambia wazee tusepe hapa hakuna jipya tena, hapakuwa na jins maana nilikaza kila kona, moyo wangu kwa dhati ulikusudia kulipa kisasi.

Nikatoka nje nikawaacha wazee wakiongea ongea, usiku ulikuwa umeshaingia tukaingia kwenye gari safari ya kwenda hom ikaanza.

Nyumban taarifa zilikuwa zimeshafika, kuna ambao waliona sawa na kuna wajinga na dhaifu wakasema ningesamehe tu nimuoe, wapuuzi.

Maisha mapya yalianza, siku moja nikawa nipo porini huko kwenye mishe zangu zikiwa zimepita km siku 4 hivi nikapigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwamba ni mwasaikolojia, akanambia kuhusu lile tukio na kwamba anaomba niongee na yule binti chochote kwa kuwa hataki kula na muda wote anachungwa maana anaonesha dalili zote za kutafuta namna ya kujinyonga, nikakataa. Nikamwambia aachane namimi kabisa.

Simu zilikuwa nying, mama yake, baba, na ndugu zake wengine lakin sikuwa na mpango tena, nikaona nibadili laini za simu zote. Nikajua nimesolve tatizo sasa, of course wakawa wanaongea na mzee wakiomba aongee namim niongee chochote na binti yao, nikakataa. Miezi kadhaa ikapita, siku moja nikiwa Tanga huko nikapokea simu ya rafik yangu akanijuza kwamba yule binti amekuja ghafla kwake, amekonda na kuchakaa. Kumbe alikuwa ametoroka kwao ili aje anitafute, alikuja kwangu kukawa kumefungwa akaona aende kwa mshikaji.

Nikamwambia kifupi tu, aishi naye pale kwake km anamhitaji ila mim kwa upande wangu ni hapana, jamaa akasema ameoa na ana familia so nafasi pale kwake ni ndogo na binti hataki kuelewa na amekataa kutoka pale kwake akaniomba niongee na yule binti, nikakataa.

Kumbe yule binti aliiba hela za baba ake dukan maana baba ake aliamua kumuweka auze duka la jumla la vifaa vya ujenzj ili angalau apunguze mawazo, akatoka na million 4 akatoroka na kuja kwa mshkaji, akakatalia kutoka hadi anione.

Jamaa akanisimulia mengi kwa kadri binti alivyomuelekeza, Na akaniomba nionane naye ili nimsaidie, nikakataa

Baada ya kukaa km wiki pale jamaa akashindwa ikabid amfukuze kwa nguvu, binti akaamua asafiri aende kwetu kwa wazazi wangu. Muda wote huo kwao hawajui binti yupo wapi, wakaenda kutoa taarifa polisi..

ITAENDELEA WAKUU..
wewe jamaa ni noma. Akitoka jiwe unafuata wewe.
 
Ndugu zangu mlioko kwenye huu uzi, napenda kuwaambia kwa uzoefu wangu na kwa usalama wa binti chukueni tahadhari kwa kutoenda PM ya mwenye uzi.

Taaluma inaonesha kwamba kuna baadhi ya binadamu ukiwashauri kuhusu jambo fulani wao ndio wana gain confidence na kukaza zaidi. Wako tayari kwa matokeo yoyote yale. Yawe mabaya au mazuri.
 
2742614_JamiiForums-223062044.gif
 
Malipo ni hapa hapa Duniani naona unasifiwa sana kwa maamuzi yako ya kijinga.

Wewe ni mkamilifu sana usiekosea? Wewe toka umekua umekua faithfull hadi leo? Haukosei watu?

Hukumu na Malipizi ni ya Bwana. Utakumbuka siku moja ujumbe huu..

Hakuna aliyejitosheleza na Hakuna asiyekosea ndio maana ya neno Binadamu.

Asiyekosea ni Mungu tu.
 
Malipo ni hapa hapa Duniani naona unasifiwa sana kwa maamuzi yako ya kijinga.

Wewe ni mkamilifu sana usiekosea? Wewe toka umekua umekua faithfull hadi leo? Haukosei watu?

Hukumu na Malipizi ni ya Bwana. Utakumbuka siku moja ujumbe huu..

Hakuna aliyejitosheleza na Hakuna asiyekosea ndio maana ya neno Binadamu.

Asiyekosea ni Mungu tu.
Akikosea na yeye atahukumiwa...
Tusiwahukumu wanaokosea sababu na sisi tunakosea?
 
Back
Top Bottom