Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Sawasawa jaji wetu walokole.Hao ndo wadada wa kilokole wenye makandokando ( chui kwenye ngozi ya kondoo ) kwaio lazima atetee
Umeeleweka mwamba[emoji1635]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawasawa jaji wetu walokole.Hao ndo wadada wa kilokole wenye makandokando ( chui kwenye ngozi ya kondoo ) kwaio lazima atetee
Simulia hata kwa ufupi,Kwa nimeshafeli hata kabla ya kuanza
Jamaa una roho ngumu wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Inawezekana ni kweli ninayo roho ngumu ila mimi mtu asije kujisumbua kunitisha kutokula akitegemea nitashtuka.Una roho ngumu wewe!
Zaaa kwanza halafu utoe mfano wa uchungu wa mtoto kihalali ili akifanyiwa hivyo na Wewe badala ya kuwa upande wa mwanao uwe upande wa Mkwe wako....Inawezekana ni kweli ninayo roho ngumu ila mimi mtu asije kujisumbua kunitisha kutokula akitegemea nitashtuka.
Nutachukulia anafanya fasting tu,akishamaliza mfungo chakula mbona anakitafuta[emoji23],njaa inanyoosha mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana pale juu Kuna comment nimesema kwamba nisiongee sana kwa sababu bado sina watoto.Zaaa kwanza halafu utoe mfano wa uchungu wa mtoto kihalali ili akifanyiwa hivyo na Wewe badala ya kuwa upande wa mwanao uwe upande wa Mkwe wako....
Tusiwe wepesi wakuongea uchungu wa mtoto aujuaye Ni Mzazi.. Kama hujawahi kuwa Mzazi kaa kimya tu hujui Chochote
Acha apate anachostahili hicho kitendo alichokuwa anataka kufanya ujue kimelaaniwa
Naona kawaida tu. Kama tahadhari alishapewa, ila akajifanya kuplay smart.Katika hii hadithi ni kweli kabisa mwanaume hakuwa msaliti na namsifu sana kwa kuwa na msimamo huo kwani ni wanaume wachache sana kama si pekeyake mwenye huo msimamo dunia yetu ya leo.
Mwanamke/binti amefanya usaliti na simtetei kwa kufanya usaliti kwa sababu ni tabia mbaya,pia ni halali yake kuachwa.
Shida ni namna mwamba alivyomuacha huyo binti,
Kulikuwa na ulazima gani wa kumdharirisha??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sometimes upole hausaidii mkuu anakuona kolo tu.Kabisa kaka
Mfano mimi hulka yangu ya upole naona inanicost sana kwenye maisha ya mahusiano
Unataka kusema mleta uzi wana undugu pia na mwendazake??Wewe unatoka ukoo mmoja na Olee Sabaya, sio kwa roho ngumu hiyo.
Ipo wazi mkuu sina shaka na hilo 😂Unataka kusema mleta uzi wana undugu pia na mwendazake??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona kawaida tu. Kama tahadhari alishapewa, ila akajifanya kuplay smart.
Huwa nasemaga, kama haupo tayari kuingia kwenye mahusiano, basi usitongoze au usikubali unapotongozwa.
Kama unajijua bado hujatosheka na kula ujana, basi endelea kuwa single, usiingie kwenye commitment.
Kama unajijua unamoyo au roho ya ubinafsi, basi haujawa tayari kuingia kwenye mahusiano.
So, kwa upande wangu kwenye huu mkasa nipo neutral, simtetei demu wala simpingi mshikaji.
Maumivu ya mapenzi hayajawahi kuzoeleka.
Unataka kusema mleta uzi wana undugu pia na mwendazake??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ipo wazi mkuu sina shaka na hilo [emoji23]
No kweli ni dhambi..Acha apate anachostahili hicho kitendo alichokuwa anataka kufanya ujue kimelaaniwa
[emoji1635][emoji120]Yameisha haina haja, tutakutana kwenye nyuzi zingine.
Chaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Pamoja na Yote una huruma sana... hata ajajiua..!! Mi ningemchezesha Sendoff kabisa halafu siku hiyo hiyo ndio namuumbua.
Hahaha sawa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ongeza ongeza bidii kujaji.Hahaha sawa [emoji23][emoji23][emoji23]