Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
===
Baada ya ukimya wa muda mrefu hatimaye Mhe Rhoda Kunchela Mbunge pekee mstaafu wa kike wa CHADEMA aliyechaguliwa kuongoza chama ngazi ya mkoa ataongea na wanahabari kesho katika Hoteli ya Safina.
Waandishi wa habari wote mnakaribushwa